Zuchu na Harmonize wakimbiza 2023

Zuchu na Harmonize wakimbiza 2023

Wanamuziki wa bongo fleva Zuchu na Harmonize ndiyo wasanii waliosikilizwa zaidi mwaka 2023 katika mtandao wa kuuza na kusikiliza muziki wa #Boomplaytz, kutoka Novemba 2022 hadi Oktoba 2023.

Kwa upande wa wanamuziki wakike Zuchu ameshika usukani huku kwa wanaume Harmonize akisimama kidedea katika chat hiyo iliyotolewa na #Boomplay ya #BOOMPLAYRECAP2023.

Katika list hiyo msanii Diamond ameshika nafasi ya tatu, huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Mbosso, kwa wanawake msanii Nandy ameshika namba mbili, namba tatu imechukuliwa na Yammy.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post