30
Simulizi:sehemu ya 11
Na Innocent Ndayanse Alitembea harakaharaka ili kufanya dereva asione  kuwa anacheleweshwa. Dakika chache baadaye alikuwa ndani ya nyumba aliyoishi. Huko ndani alimkuta H...
27
simulizi
Na Innocent Ndayanse “Nimekufanyia hivyo tu kwa kuwa uko na msh’kaji wangu, Kipanga,” Masumbuko alisema. Kisha kama aliyekumbuka kitu, akamuuliza, “Kwa...
16
Kwa Udi na Uvumba
Innocent NdayanseHILDA alibaki kinywa wazi baada ya kuisikia simulizi hiyo ya kutisha. Akamtazama Panja kwa makini na kuigundua hasira iliyojikita moyoni mwake na kutoa taswir...
13
Simulizi: Kwa Udi na Uvumba
Na Innocent Ndayanse “…Nilikuwa nimekutengea milioni hamsini ndani, sio za kufuata benki” yalikuwa ni maneno yaliyojirudiarudia kichwani mwake mara kwa mara...
06
Simulizi: Kwa Udi na Uvumba 04
Na Innocent Ndayanse Sehemu ya 04 Panja akakohoa kidogo kisha akamuuliza, “Hushangai kuona mara nipo, mara sipo?” “Hata nikishangaa itanisaidia nini? Najua k...
03
Simulizi: Sehemu ya tatu (3) Kwa Udi na Uvumba...!
Sehemu o3 Daladala la Mwananyamala lilipofika Hilda alipanda, Panja naye hakubaki nyuma, akajitoma garini. Bado alikuwa ni mwanamume wa ‘kutesa.’ Alipoingia ndani ...
29
Simulizi: Sehemu ya pili Kwa Udi na Uvumba
Na Innocent Ndayanse SIKU Panja alipotoka gerezani, fikra zake zote zilikuwa juu ya Kipanga. Hakuchukua zaidi ya nusu saa nyumbani, Kinondoni ‘A’ jirani na Kanisa ...
25
Simulizi: Kwa Udi na Uvumba..!
  Na Innocent Ndayanse(Zagallo) NI usiku wa manane. Saa saba! Kwa wapenzi hawa wawili, bado ilikuwa mapema sana. Walikuwa hawajaambulia hata lepe la usingizi. Na zaidi, n...
22
SIMULIZI YA KIWEMBE: Mapenzi yamuweka matatani
SEHEMU YA KWANZA KIGOMA MJINI, MACHI, 2005 ALIPOCHEKA, alipendeza. Tabasamu lake zuri, tabasamu linaloshawishi na kubembeleza, huwafanya watu, hususan wanawake wamsogelee na k...
09
AKANIAMBIA SHEMEJI PIGA MZIGO
 Nilikutana na binti huyu mwaka 1990 wakati huo nikikaa na kaka yangu maeneo ya Mwenge. Siku hiyo nilikuwa nimetumwa maeneo ya Ubungo na nilikuwa naendesha gari la kaka y...

Latest Post