Hellow! kama tulivyo kubaliana ni mwendo wa kufanya biashara tu mpaka uchumi ukae sawa ama mnasemaje wachakarikaji wenzangu? yani ni mwendo wa kushushiana vitu konki kama mnav...
Haya kumekucha jamani siku zinakimbia hatuna muda wa kujieleza, mwendo ni uleule kufanya biashara na kuongeza kipato si kukaa kizembezembe.
Leo katika segment yetu ya biashara...
Wengi wetu tunachukulia kupika halfcake ni jambo gumu lakini leo nimekuja kuvunja kauli hiyo kwa kuwaonesha na kuelekezana jinsi ya kutengeneza kitafunwa hicho ambacho wengi w...
Hellow vipenzi vyangu kama mnavyojua kuwa maendeleo hayana chama basi nami sina hiyana kuwaelekeza yale yote yanayohusiana na ujasiriamali na kuchakalika, mwendo ni ule ule ha...
Leo katika biashara mwendo ni ule ule tunapeana madini kuhusiana na kutengeneza vitu mbalimbali kwa ajili ya biashara na leo tunajuzana na kufundishana jinsi ya kuandaa ...
Hakikisha haukai kizembe ndugu yangu changamsha akili na maarifa au siyo? Leo nakupa hii hapa jinsi ya kutengeneza mafuta ya Nazi simple kabisa bila mambo mengi.Kama tunavyoju...
Na Aisha Lungato
Hapo zamani kanga ilikuwa sare ya msiba au sherehe, lakini hivi sasa vazi la madera na vijora limechukua nafasi ya khanga.
Sio tu kwa ajili ya sare bali mavaz...
Hey guyz mambo zenu, najua wengi wenu mtashangaa kwanini nimekuja na mada hii katika biashara, hivi mnajua mitaani humo nimekuta stori nyingi sana kuhusu watu kujua kupika kek...
Eeeeeeeh! Mwamba huyu hapa, I hope mko good watu wangu wa nguvu, sasa leo bwana tuko na kitu najua sio kigeni sana ila kuna baadhi ya watu kinawasumbua kutengeneza au kupika.
...
Hellow! Vipenzi vyangu kama kawaida yetu ni mwendo wa biashara tuu, vipi kwanza edi iliendaje pande hizo, basi mkala nyama zenu bila kunialika, ila hakuna shida tuendelee na k...
Oyaaaweeeeh! Kwahiyo tumekubaliana kuwa hakuna cha kututenganisha na kufanya biashara, yaani sasahivi nimekuja na moto wa kuotea mbali, kama kawaida yangu sinaga mba mba mba k...
Nawasalimu kwa jina la ubuyuu, semeni basi biashara ziendeleee, na hapa hatuzungumzii ubuyu ule mnaoujua nyie wa umbea hapa nazungumzia kufanya biashara, kutafta hela kwa kuch...