21
Mashabiki Waitamani Ndoa Ya Paula Na Marioo
Baada ya kumalizika kwa sherehe ya Hamisa Mobetto na Aziz Ki, sasa mashabiki wamehamia upande wa Paula Paul na Marioo wakiwataka wawili hao waoane.Kupitia mitandao ya kijamii,...
21
Ex Wa Elon Musk Alia Kutopata Huduma Za Watoto
Grimes ambaye ni mwanamuziki na mzazi mwenza wa tajiri na mmiliki wa mtandao wa X, Elon Musk, anadai kuwa tajiri huyo hajiuhusishi na mahitaji ya mtoto huku akidai kuwa hapoke...
21
T-Pain Aungana Na Wiz Khalifa Harbour View Equity
Mwanamuziki wa marekani T-pain anaripotiwa kuuza katalogi yake ya uchapishaji (mkusanyiko wa nyimbo) pamoja na baadhi ya masters zake za muziki kwenye kampuni ya HarbourView E...
21
Mwonekano Wa Ariana Wamuweka Tate Matatani
Bibwa wa zamani wa kickboxing Andrew Tate, amejikuta akikalia kuti kavu kwenye mtandao wa X (Zamani Twitter). Baada ya kuchapisha ujumbe unaokosoa mwonekano wa mwanamuziki na ...
20
The Godson Ya Marioo Imeshindikana
Albamu ya Marioo 'The God Son' imeshindikana kwenye Chart za muziki nchini. Hii ni baada ya kukaa kwa muda mrefu kama albamu namba moja inayosikilizwa zaidi.Albamu hiyo iliyoa...
20
Sababu Wanasoka Kupendelea Kuoa Wanamitindo
Kwenye ulimwengu wa mapenzi, inaonekana nyota wengi wa mpira wa miguu wanavutiwa zaidi na wanamitindo. Na hii siyo tu kwa Aziz Ki ambaye Februari 16, 2025 alifunga ndoa na mwa...
20
Yaliyojiri kwenye sherehe ya Hamisa, Aziz Ki
Historia imeandikwa. Ni katika sherehe ya harusi ya msanii na mfanyabiashara Hamisa Mobetto na mumewe kiungo wa Yanga Stephane Aziz Ki. Ambao jana Februari 19,2025 walifanya s...
19
2006 Jay-Z, Beyonce Walitua Bongo Kwa Lengo Hili
Mwanamuziki Beyonce na mume wake Jay-z ni moja ya watu ambao wametembelea nchi mbalimbali kwa lengo la kutoa msaada huku nchini namba moja ikiwa ni Tanzania ambapo wawili hao ...
19
Ubaguzi Ulivyomtesa Tyla
Mwanamuziki wa Afrika Kusini, Tyla amekiri kuwa amewahi kujichukia, kutokana na rangi yake kuwa nyeusi huku akitaja sababu ni kutokana na mazingira.Alipokuwa kwenye mahojiano ...
19
Miaka 24 Jela Yampitia Kushoto Mume Wa Rihanna
Baada ya uchunguzi uliyofanywa kwa takribani wiki tatu. Hatimaye rapa na mwanamitindo A$AP Rocky ameachiwa huru baada ya mahakama kumkuta hana hatia kwenye tuhuma mbili zilizo...
19
Jose Chameleone Kufanyiwa Upasuaji Leo
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone leo Februari 19,2025 anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kongosho nchini Marekani katika Hospitali ya Allina Health Mercy iliyopo Coon Rapid...
18
Jay Z, Familia Yake Wapokea Vitisho Vya Kuuawa
Rapa Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutokana na kesi ya ubakaji kwa binti wa miaka 13 anayodaiwa kufanya akiwa na Diddy mwaka 2000.Jay anadai am...
18
Grand P Atambulisha Mpenzi Mpya
Mwanamuziki na mfanyabiashara tajiri kutoka Guinea, Moussa Sandiana maarufu Grand P, amemtambulisha mpenzi wake mpya aitwaye Mariame, baada ya kuachana na mwimbaji na mwanamit...
18
Dimpoz Kuirudisha Lebo Ya Pozi Kwa Pozi
Baada ya record lebo ya ‘Pozi Kwa Pozi’ (PKP) iliyokuwa chini ya msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz kufanya vizuri miaka ya 2016 ikiwa na msanii wake Nedy Music, h...

Latest Post