Mwanamuziki wa Hip-Hop hapa nchini, Webiro Wassira 'Wakazi' amedai kuwa ubora wa wasanii duniani kote hutambuliwa kwa vigezo vinavyofanana huku akigoma msanii Zuchu kupewa taj...
Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Damas Ndumbaro anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye Tamasha la Gland Gala Dance litakalofanyika Superdome Masaki jijini Dar es Salaam.Hayo...
Kabati alilokuwa akihifadhia nguo marehemu Kobe Bryant, lililokuwa kwenye Uwanja wa Michezo wa Staples Center, uliopo Los Angeles, Marekani linapigwa mnada.Kabati hilo ambalo ...
Wakitajwa watu ambao wamehusika kwa kiasi kikubwa kuupeleka kimataifa muziki wa Nigeria ni ngumu kuacha kumtaja Dj maarufu nchini humo Oluseye Desmond Sodamola au DJ Spinnal.S...
Na Mintanga Hunda Kutokana na baadhi ya wasanii kutolipa madeni ya mikopo waliyopewa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Naibu Waziri wa Wizara hiyo Hamisi Mwinjuma...
Duniani kuna tuzo nyingi kwenye sekta ya muziki ambazo hutolewa kama ishara ya heshima na mafanikio katika tasnia hiyo. Kati ya vitu ambavyo wasanii huvihesabu kama sehemu ya ...
Msanii wa nyimbo za Injili, Bony Mwaitege amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mtandao wa kijamii.Mwaitege amezungumza na Mwananchi akisema yeye ni mzima wa afy...
Kutokana na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini, Bony Mwaitege amefariki dunia, Seme Shitindi ambaye ni mtu wa ...
Kiungo wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Hispania, Lamine Yamal ambaye hivi karibuni ametikisa vichwa vya habari baada ya kuwa Mchezaji Bora Chipukizi wa Michuano ya E...
Kila kazi huna na changamoto zake, bila kujali ukubwa au udogo wake. Katika tasnia ya uigizaji wasanii hutumia mbinu mbalimbali ili kuzipa ubora kazi zao, lakini mbinu hizo wa...
Taarab katika ubora wake haikuhitaji promo na kelele nyingi kwenye vyombo vya habari. Taarab ilijiuza kwa sababu ina njia zake ambazo ni za kipekee sana. Ni muziki wenye dunia...
Mwigizaji wa Nigeria, Chinedu Ikedieze 'Aki', aliyejipatia umaarufu kupitia filamu ya 'Aki na Ukwa' amethibitisha kuachana na mkewe wa kwanza aliyemuoa mwaka 2011.Aki na aliye...
Msanii wa zamani wa Kaole na mwigizaji wa filamu nchini, Dorah Mwakatete maarufu kama Kadadaa, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Kariakoo, Dar es Salaam na kusomewa sht...