Alooooweeee! Alootenaaa! Ila tuache masihara bwana watu wangu wa segment ya burudani nimewamisi mnoo, haya leo bwana tumeshuka na mada ambayo baadhi ya watu watakuwa wanajua l...
Kampuni maarufu ya kutengezea nguo, viatu na vifaa mbalimbali ya Adidas imevunja mkataba wake na mwanamuziki mashuhuri kutoka nchini Marekani Beyonce, kutokana na mauzo ya bid...
Hehehehe! Nyie nyie nani kasema wanawake hawawezi, basi bwana bondia mwanamke kutoka nchini Tanzania Stumai Muki ameshinda katika pambano la ngumi, dhidi ya Chimwe...
Mshambuliaji wa klabu ya Paris St-Germain (PSG) Kylian Mbappe ameteuliwa kuwa nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ufaransa ambapo mshambuliaji huyo anamrithi mlinda mlango wa Tot...
Mahakama kutoka nchini Marekani imewakuta na hatia ya mauaji ya daraja la kwanza na wizi wa kutumia silaha Dedrick Williams mwenye umri wa miaka (26), Trayvon Newsom (24) na M...
Tajiri wa vyombo vya habari kutoka nchini Australia Rupert Murdoch, mwenye umri wa miaka 92, ametangaza kuchumbiana na mpenzi wake Ann Lesley Smith 66, kasisi wa zamani wa pol...
Mkongwe wa muziki wa Taarabu nchini Tanzania, Khadija Kopa amepewa tuzo ya Mwanamke wa Shoka kwenye sanaa yake ya muziki.
Tuzo hiyo alipatiwa kufuatiwa na kongamano la si...
Ebwana eeeeh!!! Daaah hivi unajua ili uwe mwanamuziki wa Hip-Hop unatakiwa ufahamu vitu gani haswa vya msingi? Je unajua kuwa unatakiwa uwe mbunifu, lakini pili uwandishi wa m...
Msanii wa muziki wa bongo fleva Anjella amefunguka na kusema kuwa toka achore tattoo ya jina la aliyekuwa boss wake Harmonize, bado hawajawasiliana kabisa licha ya staa h...
Baada ya kusambaa kwa List ya ngoma kutoka kwenye albam mpya ya star kutoka nchini Nigeria Davido ikiwa inaonesha jina la Staa wa muziki kutoka Nchini Alikiba likiw...
Alooooh! Watu siku hizi wanapenda kuwa natural bwana, ni kuhusiana na mwanamitindo kutoka US Blac Chyna ambaye ameianza safari ya upasuaji kuondoa maumbile yote ya bandia kwen...
Aloooooh! Sio powa wewe ukijiona umependeza wenzio wanakuona kituko basi bwana, Msanii kotoka nchini Nigeria Tems amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya vazi lake a...
Ebwana eeeh, hii ni Ijumaaa tulivu kabisa. Karibu sana kwenye makala za burudani ambapo wiki hii nakukutanisha na kijana machachari wanamuita ‘Kontawa.’ Bila shaka...
Hahahahah! Make hapa kwanza ncheke, bwana hivi mnaweza kuamini kuwa ile hakuwa ndoa? Basi bwana kwa mujibu wa Mama mzazi wa Paula Majani, Kajala amefunguka na kusema kuwa...