Yees!! Karibu sana mdau kwenye ukurasa wa entertainment bila shaka huu ndiyo ukurasa muhimu kabisaa wa kuyafahamu mengi yanahusu burudani bwana ama nini?
Bila kukupotezea muda...
Name; Hadatha Mylose
Birthday; January, 14
Kazi; Musician
Oooooyeeeeeah! It’s another friday mwendo ni ule ule hatupoi wala hatuboi, basi bwana leo kwenye kile kip...
Aloooooweee! Kumbe nyie mapenzi matamu na hamsemi, binadamu mnasiri sana bwana ahahahha! Yule chalii kutoka Rchuga Dogojanja anatutishia Amani wanangu wa Instagram kuwa atatub...
Oyaaaah! Weeeh! Kwani wanadamu mnanini nyie lakini? Make hapa kwanza ncheke, leo bwana katika gumzo mitandaoni kuna balaa zito baada ya mwanadada mkongwe katika tasnia ya bong...
Aloooh weeeh!!! Hii rasmi kabisa kutoka kwa Msanii wa Muziki hapa nchini Barnaba amefunguka kwasasa hawezi tena kuwa na mahusiano na mtu maarufu kwa kile alichodai kuwa haitaj...
Ebwana eeeh!! Ulikua unalifahamu hili? Kama bado acha nikujuze Zaidi kuhusiana na siku hii ya tarehe 21 june ambapo ni siku ya Muziki Ulimwenguni, Siku ya kuFanya Muziki ambay...
Katika hali ya kuchekesha, bi dada mmoja (asiyejulikana) aliacha kope zake za kubandika (fake) katika 'washroom' ya club ya Maison.Maison ilikuwa inasherehekea miaka minne tan...
Msanii Wa Bongo Fleva, Kusah ameachia ngoma mpya iitwayo "No Time".Kusah amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiandika, "Another Hit from your favor...
HII NI RASMI sasa...Eeeeh bwana eeeh! Klabu ya Yanga imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya 28 baada ya ukame wa misimu minne, huku ikiwa na michezo mitatu mkononi kufua...
YANGA imekamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Asec Mimosas, Stephano Ki Aziz wakati huo huo taarifa za ndani ya klabu hiyo zinaeleza imekamilisha usajili wa Benard Morriso...
Niajeee! Wanangu wa Mwananchiscoop najua mtakuwa mmetumisi sana, basi leo tumekuja kukata kiu yenu na shauku mliokuwa mnaisubiri kuhusu new mwananchiscoop na leo kwenye buruda...
Walikutana studio ya muziki na kuunganishwa na rafiki mmoja, na sasa wanajulikana kati ya wachekeshaji wakubwa nchini Tanzania. Pamoja na Carpoza kufukuzwa kazi katika siku ya...
“Sijawahi kutamani kuwa maarufu (star), wala sifurahishwi sana na maisha ya kuwa mtu maarufu katika jamii kwani sio maisha bora kwangu nayakumbuka maisha yangu ya ...
Aisee hii nayo ni kubwa kuliko Mrembo Poshy Queen amesema kuwa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa yake na aliyekuwa mumewe na baba mtoto wake John kutoka Nigeria zimesa...