24
G Son afariki dunia akiwa Marekani
Aliyekuwa rapa wa kundi la Xplastaz nchini, Godson Rutta G San (G Son) amefariki dunia akiwa nchini Marekani.Taarifa zinasema G Son ambaye jina lake halisi ni Godson Rutta ali...
24
Mama Mobetto afanya upasuaji kubadilisha mwonekano wake
Wengi walizoea kumuona Shufaa Lutenga 'Mama Hamisa Mobetto', katika mwili wa unene, lakini hilo limekuwa tofauti siku za hivi karibuni ambapo mwili wake unaonekana kupungua kw...
24
Serikali yaomba muda zaidi upelelezi kesi ya Nicole
Serikali yaomba muda kukamilisha upelelezi kesi ya msanii wa fani ya uigizaji, Joyce Mbaga (32) maarufu Nicole Berry na mwenzake, Rehema Mahanyu (31), wanaokabiliwa na kesi ya...
24
Kassim Mganga atoa maana ya collabo ya kimataifa
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nafanya ‘interview’ na msanii wa Bongo Fleva, Kassim Mganga. Ilikuwa ni kipindi ambacho wasanii wa Bongo walikuwa wamechachamaa kufanya...
24
Nikki wa Pili alivyo badilisha ndoto ya Dyna Nyange
Nyimbo zake za mwanzo kama Mafungu (2009) na Nivute Kwao (2011) ndizo zilimpatia umaarufu kimuziki Dayna Nyange na hadi sasa anaendelea na kazi yake hiyo ya kutoa burudani kwa...
23
Wasanii waliyosaidiwa na wasanii kutoboa
Kupeana tafu ndio mpango mzima kwenye maisha, hiyo imejidhihirisha kwa baadhi ya wasanii wa muziki nchini ambao wamezibeba historia za mafanikio ya wasanii.Katika historia ya ...
22
Mastaa wa muziki Bongo wamkazia Treyzah
Msanii wa Bongo Fleva Treyzah ameendelea kuupiga mwingi katika muziki huku akiachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Sitaki Tena Mapenzi’.  Ufundi wake wa kuchora nyi...
22
Diamond, S2kizzy Na Rayvanny Wakikutana Lazima Haya Yatokee
Peter Akaro Imekuwa ajabu kuona wimbo wa Rayvanny, Nesa Nesa (2024) uliotoka takribani miezi mitatu iliyopita ukirejea tena katika chati na sasa challange zake zimeshika kasi ...
22
Mfahamu Elissa Anayetamba Bongo Na Wimbo Wa Halali
Takribani miezi mitatu sasa watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania hususani TikTok na Instagram wamekuwa wakitumia wimbo wa ‘Halali’ katika machapisho ya...
22
Nyuma Ya Pazia John Legend Kufanya Kazi Na Lauryn Hill
Peter AkaroMwanamuziki wa Marekani, John Legend (46) amesema kipindi anarekodi na Lauryn Hill (46) alikuwa ni mwanafunzi wa chuo kikuu na hakutegemea kama kazi hiyo ingejumuis...
22
Bondia Foreman Afariki Dunia
Bondia Mstaafu George Foreman amefariki dunia jana Ijumaa, Machi 21, 2025 akiwa na umri wa miaka 76.Taarifa ya kifo cha Foreman imetolewa na familia yake ambayo hata hivyo hai...
21
Costa Titch Muda Mchache Mambo Makubwa
Nani kama Costa Titch? muda aliohudumu kwenye muziki ni mchache lakini alifanikiwa kuonesha kila juhudi na mafanikio kwenye kazi yake. Costantinos Tsobanoglou maarufu kama Cos...
21
Dcea Waanza Na Chid Benzi
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeanzisha mpango wa kusaidia wasanii wanaokabiliwa na uraibu wa dawa za kulevya, lengo likiwa ni kuwasaidia kupona...
21
Je, Hip Hop Bongo imekwama
Peter Akaro Baada ya rapa aliyetamba na kundi la Nako 2 Nako Soldiers na sasa Weusi, Lord Eyes kudai muziki wa Hip Hop Bongo kuna sehemu umekwama, wasanii wenzie wamejibu kaul...

Latest Post