23
Umati wa watu wafurika kununua Iphone 15
Ikiwa jana ndiyo siku rasmi ambayo simu za Iphone 15 zilianza kuuzwa kwenye maduka mbalimbali maarufu duniani, umati wa watu wamejitokeza kwenye duka la ‘kampuni’ ...
13
Sababu ya Apple kubadili mfumo wa ‘chaji’
Baada ya kampuni ya Apple kuzindua toleo jipya la Iphone 15 na kueleza kuwa simu hiyo haitatumia tena ‘chaji’ iliyozoeleka katika simu hizo na baada yake Iphone hi...
07
Whatsapp kufanya maboresho, Kutumia namba mbili kwenye kwenye Application
WhatsApp wanakuja na toleo jipya la kutumia namba mbili (account) kwenye WhatsApp moja. Kama ilivyo kwa mitandao mingine kuweza ku...
31
Marekani kuleta intarnet kwa gharama nafuu nchini
Weeeeeh! Vip hii imeshakufikia au bado, kama nawaona wenzangu na mie wapenda kuweka status nyingi huu ni muda wetu sasa basi bwana unaambiwa… Serikali kutoka nchini Mar...
17
TikTok yapigwa marufuku Uingereza
Mawaziri kutoka nchini Uingereza wamezuia kutimia mtandao wa TikTok katika vifaa vya ofisi. Uamuzi huo umetajwa kuwa ni kwa sababu za kiusalama. Serikali nchini humo imekuwa i...
22
Kampuni inavyowalazimisha wafanyakazi kwenda nyumbani kwa muda
Kampuni ya teknolojia ya mawasiliano imeweka programu ya software inayowakumbusha waajiriwa kuondoka kazini kwa muda uliopangwa. Tanvi Khandelwal, mwenye umri wa miaka 21, ali...
07
Kampuni ya DELL kuwaachisha kazi wafanyakazi 6,650
Kampuni ya kuunda vifaa vya kielektroni ya DELL itawaachisha kazi wafanyakazi 6,650 sawa na 5% ya wafanyakazi wote kutokana na mauzo ya kompyuta kupungua kwa 28% kila mwaka.DE...
02
Zambia: Marufuku kutumia simu ukiwa unavuka barabara
Askari Polisi nchini Zambia wamepewa ruhusa ya kuwakamata ambao watakataa kutekeleza sheria inayokataza matumizi ya simu au uvaaji wa spika ndogo Sikioni (headphones) wakati w...
25
Maboss kuwekewa zuio la kuwapigia simu wafanyakazi baada ya saa za kazi
Bunge nchini Kenya limewasilisha muswada ukilenga kuweka zuio kwa waajiri kuwapigia simu waajiriwa wao baada ya saa za kazi.Endapo...
20
Whatsapp yapigwa faini ya Tsh. Billion 13.9
Kampuni ya mtandao ya Whatsapp yapigwa faini ya Tsh. bilioni 13.9 kwa kukiuka sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za watumiaji wao. Tume ya Kulinda Data ya  Ireland ...
29
Elon Musk adai kuwa Apple imetishia kuiondoa Twitter katika program zake
Mmiliki mpya wa kampuni ya mtandao wa kijamii wa Twitter, Elon Musk amedai kampuni ya Apple imeshasitisha mata...
21
Elon Musk airejesha akaunti ya Twitter ya Trump
Mmiliki mpya wa mtandao wa kijamii  wa Twitter Elon Musk ameirejesha akaunti ya Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump. Hayo yameelezwa  na mmiliki mpya wa kampuni...
21
Nape aeleza kuhusiana na mabadiliko ya bei za bando la internet
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hakutakuwa na mabadiliko ya bei za bando yoyote hadi tathmini ya gharama itakapokamilika.Tathmini hi...
15
Bill Gates awasili Kenya kwa ajili ya ziara yake
Bilionea mkubwa duniani na mfanyabiashara wa Marekani Bill Gates yuko nchini Kenya ambapo anatarajiwa kufanya mazungumzo na Wakenya kuhusiana na masuala mbalimbali.Mwanzilishi...

Latest Post