Ikiwa jana ndiyo siku rasmi ambayo simu za Iphone 15 zilianza kuuzwa kwenye maduka mbalimbali maarufu duniani, umati wa watu wamejitokeza kwenye duka la ‘kampuni’ ...
Baada ya kampuni ya Apple kuzindua toleo jipya la Iphone 15 na kueleza kuwa simu hiyo haitatumia tena ‘chaji’ iliyozoeleka katika simu hizo na baada yake Iphone hi...
Weeeeeh! Vip hii imeshakufikia au bado, kama nawaona wenzangu na mie wapenda kuweka status nyingi huu ni muda wetu sasa basi bwana unaambiwa…
Serikali kutoka nchini Mar...
Mawaziri kutoka nchini Uingereza wamezuia kutimia mtandao wa TikTok katika vifaa vya ofisi. Uamuzi huo umetajwa kuwa ni kwa sababu za kiusalama.
Serikali nchini humo imekuwa i...
Kampuni ya teknolojia ya mawasiliano imeweka programu ya software inayowakumbusha waajiriwa kuondoka kazini kwa muda uliopangwa.
Tanvi Khandelwal, mwenye umri wa miaka 21, ali...
Kampuni ya kuunda vifaa vya kielektroni ya DELL itawaachisha kazi wafanyakazi 6,650 sawa na 5% ya wafanyakazi wote kutokana na mauzo ya kompyuta kupungua kwa 28% kila mwaka.DE...
Askari Polisi nchini Zambia wamepewa ruhusa ya kuwakamata ambao watakataa kutekeleza sheria inayokataza matumizi ya simu au uvaaji wa spika ndogo Sikioni (headphones) wakati w...
Kampuni ya mtandao ya Whatsapp yapigwa faini ya Tsh. bilioni 13.9 kwa kukiuka sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za watumiaji wao.
Tume ya Kulinda Data ya Ireland ...
Mmiliki mpya wa mtandao wa kijamii wa Twitter Elon Musk ameirejesha akaunti ya Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump. Hayo yameelezwa na mmiliki mpya wa kampuni...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hakutakuwa na mabadiliko ya bei za bando yoyote hadi tathmini ya gharama itakapokamilika.Tathmini hi...
Bilionea mkubwa duniani na mfanyabiashara wa Marekani Bill Gates yuko nchini Kenya ambapo anatarajiwa kufanya mazungumzo na Wakenya kuhusiana na masuala mbalimbali.Mwanzilishi...