Hatimaye msanii maarufu wa uigizaji, Joyce Mbaga (32) maarufu ‘Nicole Berry’ na mwenzake Rehema Mahanyu (31), wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, wameachiwa k...
Sokwe wa aliyekuwa mfalme wa pop Michael Jackson ametimiza miaka 42 tangu kuzaliwa kwake.Sokwe huyo aitwaye Bubble ambaye kwa sasa anaishi katika hifadhi maarufu huko Florida ...
Rapa na mtayarishaji tokea Marekani, Kanye West anaripotiwa kuingia kwenye vita mpya na aliyekuwa mke wake mwanamitindo, Kim Kardashian kufutia rapa huyo kumshirikisha binti y...
Baada ya kuibuka kwa video zikimuonesha baba wa staa wa muziki kutokea Nigeria Asake, akidai hapati huduma kutoka kwa mwanaye. Hatimaye baba huyo amesema tayari ameanza kupati...
Licha ya kwamba kwa sasa ameishika dini vilivyo, aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya hususani singeli na filamu, Snura Mushi amewaomba watu wamuombee ili aweze kufika p...
Rapa na mkali wa mitindo tokea Marekani, A$ap Rocky ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kutumbuiza akiwa kwenye ndani ya 'Helicopter' kwenye tamasha la muziki la Rollin...
Wasanii wa muziki wamekuwa na utaratibu wa kuzirudia nyimbo zao ambazo tayari zimetolewa na kuzifanya kwa mtindo mwingine'Remix'.Kawaida remix hizo huhusisha zaidi kubadilisha...
Hadi katikati ya miaka ya 2000, Danny Msimamo alikuwa miongoni mwa marapa wakali katika Bongofleva akitambulika na wengi kama msanii mwenye uwezo wa kufikiri nje ya box na nyi...
Mwigizaji Joyce Mbaga a.k.a Nicole Berry, alipandishwa kizimbani juzi kati na kusomewa mashtaka ya uhujumu uchumi.Picha lilianza kwa kikundi cha watu kujitokeza wakidai kuwa w...
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, kutana na mwanaume kutoka India aitwaye Mahant Amar Bharati Ji ambaye amenyanyua mkono wake wa kulia juu kwa zaidi ya miongo minne (k...
Juzi kati nilikuwa mitaa ya kati. Nipo 'bize', natembea, nimevimbiana kama Aziz Ki mbele ya bibie Hamisa. Sina habari na mtu, sina hofu na maisha, sina pesa na mapenzi. Kifupi...
Rapa na mwanamuziki maarufu kutoka Canada, Drake ambaye anajulikana kwa maisha yake ya kifahari na mapenzi makubwa katika muziki, inaelezwa kuwa aliwahi kununua nyumba ya jira...
Mwanzilishi wa Taasisi ya Professor Jay (Professor Jay Foundatison), Joseph Haule akitoa ushuhuda wake kuhusu ugonjwa wa figo uliomsumbua kwa muda mrefu.Ushuhuda huo aliutoa b...
Baadhi ya watumiaji wa simu za mkononi wamekuwa wakijiuliza ni jinsi gani wanaweza kuficha meseji za kawaida kwenye simu zao ili mtu mwingine asizione wala kuzifungua.Zifuataz...