17
Mastaa waliokabidhi mikoba kwa watoto wao
Waswahili wanasema vya kurithi vinazidi. Ni kawaida kuona watoto wakifuata nyayo za wazazi wao na kuendeleza urithi wa vipaji. Ingawa wapo baadhi ya wasanii ambao hawapendi ku...
17
Uhusika wa Nathan kwenye The Boys ni uhalisia wa maisha yake
Katika ulimwengu wa filamu, wahusika hujulikana zaidi kwa uwezo wao wa kuigiza, lakini wakati mwingine, ukweli wa maisha yao hujitokeza kwenye filamu hizo au wengine hupatiwa ...
16
Miaka miwili ya ndoa, Billnass ajivunia mtoto
Mwanamuziki Billnass ameeleza kuwa katika miaka miwili ya ndoa yake na Nandy, kuna vingi anajivunia lakini kikubwa ni kupata mtoto wa kike."Tunashukuru Mungu kwa kila jema ali...
15
Teknolojia ilivyorahisisha mambo kwenye Burudani
Katika miaka ya hivi karibuni, teknolojia imekuwa na mchango mkubwa katika sekta ya burudani. Kuanzia muziki, filamu, michezo, hadi sanaa nyingine kama vile uchoraji, teknoloj...
15
Yamal Mchezaji Bora Chipukizi Euro 2024
Kiungo wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Hispania, Lamine Yamal akiwa na mdogo wake baada ya kuchaguliwa kuwa Mchezaji Bora Chipukizi wa Michuano ya EURO 2024.Yamal am...
14
Muziki na maajabu yake kwenye maisha ya binadamu
Umewahi kujiuliza kwanini unasikiliza muziki? Au muziki una faida gani kwenye maisha yako? Kama hukuwahi fahamu kuwa muziki unavingi vya kuvutia na umuhimu kwenye maisha yako ...
14
Francois Regis atajwa kuwa CEO mpya Simba
Uongozi wa Simba umefikia makubaliano ya kumwajiri Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ili achukue nafasi ya Imani Kajula anayejianda...
13
Baada ya mika sita ya uchumba Eddie Murphy afunga ndoa
Mwigizaji kutoka nchini Marekani, Eddie Murphy amefunga ndoa na mpenzi wake wa Paige Butcher baada ya kudumu mika sita kwenye uchumba. Inaelezwa kuwa wanandoa hao waliokuwa kw...
13
Vijana wanavyoitazama sanaa kama sehemu ya kutokea
Moja ya biashara ambayo imekuwa na mafanikio makubwa kama utaweka jitihada na nguvu katika kujifunza ni sanaa. Kutokana na hilo, sekta hii imekuwa ikikimbiliwa na vijana wengi...
13
Maokoto yanavyowafanya wasanii wa vichekesho kukimbilia YouTube
Siku za hivi karibuni huwenda mambo ni rahisi kwa wasanii wa vichekesho baada kuyakimbiza maudhui yako katika mitandao ya kijamii kama YouTube tofauti na ilivyokuwa zamani. Ak...
13
Chris Brown amuonya Tigo Fariah
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Chris Brown amemtolea povu msanii Tigo Fariah anayedaiwa kuiga swaga zake na kujinadi kufanana na staa huyo. Tovuti mbalimbali zimeeleza ku...
13
Ayra Starr, Tems vinara Spotify
Wanamuziki maarufu wa Nigeria, Ayra Starr na Tems wametangazwa kuwa mwaka huu nyimbo zao ndio zinasikilizwa zaidi kutokea nchini humo kupita Jukwaa la Spotify. Inaelezwa kuwa ...
13
Arsenal, Calafiori ni suala la muda tu
Imeripotiwa kuwa, Arsenal inakaribia kufikia makubaliano ya kumnunua beki wa Italia na Klabu ya Bologna, Riccardo Calafiori. Aidha inaelezwa kuwa, Bologna imeweka dau la pauni...
13
Mfumo unamgharimu kuwika kimataifa
Wameingia kwenye mfumo!. Ni kauli aliyoitoa staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz baada ya wimbo wake ‘Komasava’ kubamba sehemu nyingi duniani ikiwemo Nigeria ambap...

Latest Post