02
Hanscana ammwagia sifa Diamond
Mtayarishaji wa video za muziki nchini Hanscana ammmwagia sifa msanii Diamon kwa kuipigani tasnia ya muziki wa Bongo.Wakati akimtakia kheri katika siku yake ya kuzaliwa Hansca...
02
Mambo matatu kwa Mondi akiwa na miaka 35
Ikiwa leo Oktoba 2, mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul 'Diamond' anasheherekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 35, ndani ya miaka hiyo msanii huyo tayari ame...
02
Diddy aongeza mawakili apate dhamana
Nguli wa Hip Hop, Sean ‘Diddy’ Combs anapambana kujinasua kutoka kwenye mikono ya sheria baada ya kukusanya wanasheria mashuhuri kuhakikisha wanamtetea na kupata d...
02
Mwigizaji wa Coming to America afariki dunia
Mwigizaji wa Marekani John Amos ambaye alipata umaarufu kupitia filamu ya ‘Coming to America’ na ‘Good Time’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84....
02
Matendo ya R.Kelly yamchukiza binti yake
Mtoto wa mwanamuziki R. Kelly, Joanne Kelly amepanga kuachia filamu fupi (Documentary) itayoeleza matendo ya unyanyasaji yaliyokuwa yakifanywa na baba yake.Kupitia filamu hiyo...
02
Diddy akabiliwa na kesi mpya 120, unyanyasaji wa kingono
Mkali wa Hip-Hop wa Marekani Sean “Diddy” Combs ameripotiwa kuhusishwa katika kesi mpya 120 za unyanyasaji wa kingono zinazotarajiwa kuwasilishwa mahakamani siku 3...
01
Mwenye miaka 80 ashiriki Miss Universe
Mwanamitindo kutoka Korea Choi Soon-hwa mwenye miaka 80 ameripotiwa kushiriki katika mashindano ya Miss Universe 2024, huku akitajwa kuwa mshiriki mwenye umri mkubwa zaidi kat...
01
BASATA yalaani tukio la Zuchu kurushiwa vitu jukwaani
Baraza la Sanaa la Taifa 'BASATA' limelaani vikali tukio lililotokea Septemba 28, mkoani Mbeya la mwanamuziki Zuhura Othman Soud 'Zuchu' kurushiwa vitu jukwaani wakati akitumb...
01
Wema Sepetu hajarudia makosa
Mwigizaji mkongwe na mfanyabiashara Wema Sepetu ni kama amejifunza kutokana na yaliyotokea mwaka 2023 katika kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake, kwani mwaka huu amefanya sher...
01
Siku ya Muziki ya Kimataifa, unapenda kusikiliza ngoma za aina gani
Kwa wapenzi wa burudani katika upande wa muziki, leo ni siku yao maalumu kwani dunia inaadhimisha siku ya Muziki ya Kimataifa.Uwep...
01
Diamond kutoana jasho na mastaa wa Nigeria, tuzo za AEAUSA
Mwanamuziki anayetamba na wimbo ‘Komasava’ Diamondplatnumz anachuana na mastaa kutoka Nigeria katika tuzo za African Entertainment Awards USA (AEAUSA) zinazotaraji...
30
Sh2 milioni kugombaniwa kwa atakayechora picha ya kuvutia watalii
Katika kukuza sekta ya utalii Tanzania wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, wanaosoma sanaa ya ubunifu pamoja na wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita kutoka shul...
30
Utajiri wa Diddy ni balaa
Ndiyo hivyo, hata mbuyu hufika wakati ukaanguka. Ndivyo inavyotokea kwa watu wengi. Ilianza kwa O. J. Simpson, Bill Cosby, R Kelly na wengine wengi na hasa wakihusishwa n...
30
Hisia za mashabiki zinavyokera wasanii
Awali ilizoeleka kuwa wasanii ndiyo hurusha vitu vyao kama nguo, saa na hata kofia kwa mashabiki kama zawadi, lakini pia kwa upande wa mashabiki hao hutumia vitu kama vile pes...

Latest Post