18
SHUFAA NASSOR: Mhitimu aliyeamua kuwa muhamasishaji wa hedhi salama
Haya haya wanangu sana. I hope mko good wafuatiliaji wa segment yetu ya UniCorner. Leo tumekuja na kitu kipya kabisa yaani sio kil...
18
BATA BATANI: Explore the giraffe manor
Whats up my adventurous people? Ni wiki nyingine tena ambapo tunakutana katika segment ya Bata Batani nikikujulisha kuhusiana na sehemu mbalimbali unazoweza kwenda kuenjoy ya ...
11
Ngare Sero mountain lodge conservancy
Whats up my adventurous people? Ni wiki nyingine tena ambapo tunakutana katika segment ya Bata Batani nikikujulisha kuhusiana na sehemu mbalimbali unazoweza kwenda kuenjoy ya ...
12
Changamoto wanazokumbana nazo wapaka rangi za kucha
Hellow! Wafanya biashara wenzangu, its another Friday kwenye chimbo letu la  biashara tukitoa nondo zinazohusiana  na wajasiliamali wazee wenzangu wa kuchakarika. Ba...
05
Kuwa mwanafunzi wa chuo kunamaanisha nini kwako
Ooooyeeeeeh! It’s another Sunday, kama nawaona wanangu wa kula bata mshajipanga mnaenda kukidibua wapi hahahah! ni time ya kupotea kama soksi moja. Haya tuachane na hayo...
27
Kenya yaweka agizo la kuwa na sehemu moja ya starehe kila mji
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua ametoa amri kwa viongozi wa serikali za mitaa nchini humo kutekeleza agizo la kuwa na sehemu ya starehe (bar) moja kwa kila mji. Rigathi ...
26
Trump kufunguliwa akaunti yake ya Facebook na Instagram
Aliekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ataruhusiwa kurudi kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram, baada ya Meta kutangaza kumfungulia akaunti zake. Akaunti zake ...
22
Tips zitazokusaidia kujitafuta mapema
Oyaaaah! Wanangu, majobless tuwaambie hawa watu au tuwaache kidogo waone joto la jiwe hahaha!, Lakini wacha tuwajuze wasije kujuta baadae. Haya sasa leo katika segment yetu il...
21
Muuguzi aliyeguka mwalimu wa taekwondo nigeria
Niaje mwana burudani mwenzangu karibu sana kwenye kipengele chako pendwa kinachokuondolea stress angalau unaswazisha kichwa bhana kupitia masuala ya michezo na burudani.  ...
17
Idadi ya watu nchini China yapungua
Idadi ya watu nchini China imepungua kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 60, huku kiwango cha uzazi nchini humo kikifikia rekodi ya chini watoto 6.77 kwa kila wanawake...
09
Kajala: Niko tayari kuwa mama tena
Oooooooooh! Niaje niaje wanangu sana, naona kama week inataka kuanza na moto hivi. Muigizaji wa filamu nchini Tanzania Kajala Frida ameweka wazi kuwa kwa sasa yupo t...
25
Urafiki chuoni uko hivi
Wanangu wa chuoni mambo vipi. I hope mko pouwa kabisa, sasa leo katika segment yetu ya UniCorner tunakusogezea elimu ambayo hutaipata kwa mtu yoyote bali Mwananchi Scoop tu, s...
24
Timu 5 duniani zilizocheza mechi nyingi za ligi bila kupoteza
Mabingwa wa kihistoria Tanzania, klabu ya Yanga imezuiwa kufikia rekodi ya kucheza michezo 50 mfululizo ya ligi kuu Tanzania bara bila kupoteza.   Ni klabu ya Ihefu, amba...
23
BATA BATANI: TAJ MAHAL in INDIA
Mambo vipi adventurous people! Kama kawa tunakutana hapa kujua ni sehemu gani tunaweza kwenda kurefresh na kujionea dunia, au sio? Basi leo nakuletea sehemu moja hiyo kutoka k...

Latest Post