Ouyah eeh! mambo niaje, hopefully wote tuko poa kabisa karibu tena kwenye corner yetu pendwa ya wanavyuo alafu usisahau kuwaambia na wanao kwamba ujanja ni kuwa sehemu ya hii ...
Kuna wakati unakutana na changamoto ya kunyanyaswa kijinsia na usiwe na uelewa kwamba kitendo ulichofanyiwa ni unyanyasaji lakini kwa sababu ya ukosefu wa uelewa juu ya elimu ...
Mwanadada mfanyabiashara wa nywele za bandia kutoka nchini Nigeria aamua kukatiza barabarani kutoa zawadi ya pesa kwa vijana waliyokuwepo pembezoni mwa barabara hiyo.
Mrembo h...
Dunia ina mengi ya kujifunza kila kukicha , kuna wakati matukio yanatokea kwa sababu jamii haina elimu ya kutosha kuhusiana na mambo fulani, ni vyema kwenye jamii kwanzia ngaz...
Kama ilivyo kawaida kwa baadhi ya binadamu kuwa na tabia ya kujaribu kila jambo, hata yale ambayo wengine wanadhani ni magumu kufanyika, leo hii mfahamu raia wa Ufaransa aliye...
Kama ilivyo kawaida kwa baadhi ya watu mashuhuri ifikapo katikati au mwisho wa mwaka huachia ‘listi’ ya ngoma wapendazo kusikiliza, kama ilivyo utaratibu wa ya Rai...
Walimu wengi huwa na mitindo ya kufanana kwenye mavazi, mavazi ya heshima yasiyiweza kuonesha maungo yao ni sheria kwao.
Lakini hiyo imekuwa tofauti kwa mwalimu Lulu maarufu k...
Duniani kuna mengi ya kustaajabu na kufurahisha, ukizungumzia vitu asilia basi suala kama hili huwezi kuacha kuligusia kuhusiana na viumbe wenye ulemavu wa ngozi.
Ukiangalia b...
Wakati baadhi ya wanawake wakitumia mbinu mbalimbali ili kupendezesha midomo yao, huku wapo wale wa kupaka vitu kama vile lips ticks na kufanya upasuaji wa midomo.
Wafahamu wa...
Waswahili wanasema mgeni njoo mwenyeji apone, msemo huu umesaidiki, kupitia kijana David Murage ambae amejipatia umaarufu kwa siku tu baada ya kumsafirisha kiongozi wa Muungan...
Bwana bwana sijui kama umekutana nayo hii katika status au mitandao ya kijamii kuhusiana na kijana Athumani Yengayenga mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa Shanwe Manispaa ...
Mwanaume mmoja nchini Kenya, mwenye umri wa miaka 45 aliefahamika kwa jina la John Rugala, amefariki kwa kujiua baada ya Mke wake kuripotiwa kukataa kumpikia kuku akiwa nyumba...
Mwanamama aliefahamika kwa jina la Laura Llg mwenye umri wa miaka 31 amepoteza maisha baada yakupigwa risasi na mtoto wake wa kiume wa miaka 2.
Polisi wa eneo hilo wamesema ku...
Kampuni ya kutengeneza iPhone Foxconn inaweka dau kubwa kwenye magari yanayotumia umeme na kufikiri upya mahusiano kati ya Marekani na China.
Katika mahojiano maalum, mwenyeki...