27
Harusi yaingia doa, Moto waua watu 100 ukumbini
Inadaiwa takribani watu 100 wamefariki na wengine zaidi ya 150 kujeruhiwa baada ya moto mkubwa kutokea ukumbini wakati wa sherehe ya harusi katika Wilaya ya Al-Hamdaniya nchin...
26
Mjukuu wa Mandela afariki dunia kwa saratani
  Zoleka Mandela, ambaye ni mjukuu wa Rais wa kwanza mzalendo nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela, amefariki dunia kwa saratani akiwa na umri wa miaka 43, familia yake i...
26
Kondoo wazidiwa baada ya kula bangi
Kundi la kondoo nchini Ugiriki kwenye mji wa Almyros limevamia nyumba ya kuhifadhia mimea na kula bangi  zilizokuwa zimehifadhiwa kwa ajili ya matibabu. Inadaiwa kuwa kon...
17
Wafanyakazi wa Ndege wanaswa wakiba vitu vya abiria
Wafanyikazi wawili wa Mamlaka ya Usalama wa Uchukuzi (TSA) wamefumwa wakiiba pesa na vitu vingine kutoka kwenye mifuko ya abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Miami F...
14
Akamatwa na polisi kwa kumshika makalio mwandishi wa habari
Mwanaume mmoja kutoka Madrid anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumdhalilisha mwandishi wa habari wa kike kwa kumshika makalio na kumfanyia ghasia eneo la kazi. &nb...
14
Mfungwa aliyetoroka gerezani adakwa tena
Mfungwa wa gereza la Pennsylvania, Danelo Cavalcante mwenye umri wa miaka 34 aliyetoroka gerezani siku chache zilizopita, amekamatwa baada ya msako mkali. Mfungwa huyo aliwekw...
14
Mwanamke adaiwa kufariki baada ya kula dagaa
Mwanamke mmoja adaiwa kufariki dunia na watu wengine 12 wamelazwa kwa matibabu baada ya kula dagaa wenye sumu katika Mgahawa mmoja huko nchini Ufaransa eneo la Bordeaux. Aidha...
11
Wezi wavunja na kuiba perfume zanye thamani ya zaidi ya sh 50 milioni
Wezi sita wavunja vioo vya duka la urembo la Macy’s lililopo Northridge, kwa kutumia nyundo na kisha kuiba manukato ya ...
11
Mlinzi wa shule apigwa risasi ya kichogo akiamulia ugomvi
Mlinzi wa shule ya Thomas R. Proctor, iliyopo New York apigwa risasi kichogoni wakati akizuia ugomvi, katika eneo la kuegesha magari lililopo karibu na uwanja wa mpira wa shul...
10
Marufuku watoto kucheza ‘show’ kwenye masherehe
Waziri Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ametoa onyo  watoto kutoruhusiwi kucheza ‘show’ kwenye masherehe hasa nyak...
07
Wajawazito wanaokunywa pombe kushitakiwa
Akizungumza katika kongamano la kukuza uelewa kuhusu athari za unywaji pombe kwa wajawazito nchini Afrika Kusini, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Hendrietta Bogopane-Zulu ...
06
Air Canada yaomba radhi kuwakalisha abiria kwenye viti vilivyo tapikiwa
Shirika la Ndege la Air Canada limeomba radhi baada ya kuwakalisha wateja wake wawili kwenye viti vilivyokuwa vimetapikiwa. Inaele...
13
Mtoto wa miaka 8 aiba gari kwa kutumia silaha
Mtoto wa miaka nane kutoka Alabama nchini Marekani amekamatwa na Polisi baada ya kuiba gari kwa kutumia bunduki na kuanza kukimbizana na Polisi. Kwa mujibu wa chombo cha habar...
13
Mchungaji ampa mjane sadaka zote
Mchungaji kutoka Nigeria na mwanzilishi wa #ShekinahArenaGospel Ministry International, #Agochukwu, amempa mwanamke mjane sadaka zote za waumini kama zawadi. Mtumishi huyo ame...

Latest Post