24
Achapwa viboko hadharani kwa kufumaniwa na mke wa mtu
Mwanaume mmoja aliyefahamiaka kwa jina la Katayo Bote, Mkazi wa Kijiji cha Kibwera, mkoani Geita, amechapwa viboko hadharani pamoja na kulipishwa faini ya shilingi laki mbili ...
24
Watakaokula hadharani wakati wa mfungo wataadhibiwa
Polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano, kaskazini mwa Nigeria wametumwa misikitini ili kuhakikisha usalama wa maisha na mali katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kufuatia taari...
24
193 wawekwa karantini ugonjwa wa Marburg
Kufuatia ugonjwa hatari wa Marburg kutoka mkoani Kagera watu 193 wawekwa karantini kwaajili ya uchunguzi zaidi, Miongoni mwa watu hao ni watumishi wa afya 89 na weng...
23
WHO yataja nchi zilizoathirika na kipindupindu
Shirika la Afya duniani (WHO) limetaja nchi ambazo zimeathirika na ugonjwa wa kipindupindu, ambapo shirika hilo limesema kuwa ugonjwa huo umeenea duniani kote, haswa barani Af...
23
Wafanyakazi waongezewa mshahara kwa 100%
Serikali kutoka nchini Zimbabwe imetaka wafanyakazi wote wa umma kuongezewa mshahara kwa 100%, aidha imebainisha kuwa lengo la ongezeko hilo ni kurahisisha maisha kwa Wananchi...
22
TCRA yaonya vyombo vya habari kurusha maudhui kuhusu dini
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonya vikali vyombo vya utangazaji nchini humo zikiwemo Radio na Televisheni kuacha kurusha maudhui ya kufikirika hasa yanayogusa iman...
21
Zaidi ya watu 400 hawajulikani walipo kufuatia kimbunga freddy
Mamlaka nchini Malawi zinasema idadi ya watu ambao bado hawajulikani walipo kufuatia kimbunga Freddy imeongezeka kutoka 349 hadi 427, huku nchi nyingi zikiendelea kutuma misaa...
21
Mwanafunzi wa chuo auawa kwa risasi katika maandamano nchini Kenya
Mwanafunzi wa chuo kikuu aliyefahamika kwa jina la William Mayange amepigwa risasi shingoni na polisi, mjini Kisumu, katika maandamano dhidi ya serikali yaliyoandaliwa na vion...
20
Aliyetuhumiwa kumuua mwalimu mwenzake naye adaiwa kujiua
Mwalimu Samuel Subi wa shule ya msingi Igaka, anayetuhumiwa kumuua mwalimu mwenzake kisa uongozi, amekutwa amejinyonga kwa kutumia shati alilovaa akiwa mahabusu Machi 17,...
20
Mmoja apigwa risasi wakati wa maandamano nchini Kenya
Mtu mmoja amepigwa risasi karibu na soko, katika makazi duni ya Kibera katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, wakati maandamano yakiendelea katika jiji hilo. Moja ya chombo cha ha...
20
Polisi yapiga marufuku maandamano ya Odinga
Kufuatiwa na maandamano makubwa jijini Nairobi yaliyoitishwa na kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga kutokana na madai ya mfumuko mkubwa wa bei na gharama za maisha ...
17
Waliofariki kwa kimbunga Freddy wafikia 400
Idadi ya watu waliofariki kwa mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Freddy wapata 400, ambapo idadi hiyo inajumuisha vifo vilivyotokea tangu kimbunga hicho kilipoingia barani ...
17
5 wafariki kwa ugonjwa usiojulikana Kagera
Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa tahadhari juu ya uwepo wa ugonjwa ambao bado haujajulikana mkoani Kagera, katika Wilaya ya Bukoba Vijijini, ambapo watu 7 wanasadikika k...
16
Maombolezo siku 14 baada ya kimbunga freddy kuua watu 225
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ametangaza siku 14 za maombolezo baada ya kimbunga freddy kuuwa zaidi ya watu 225.  pia ameagiza Bendera kupepea nusu mlingoti kwa si...

Latest Post