Ebwana hii nayo kubwa kuliko kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Maua Sama ameandika ujumbe huu hapa bwana akisema kwambaa!.
"JIMBO LIPO WAZI " ambayo kwa tafsiri ya w...
Wewe mwenzangu na mie ukihangaika na vifollowers vyako 100 wenzako huku wanashikilia nafasi za juu za kuwa na wafuasi wengi (followers)
Raia wa Senegal Khaby Lame ametajwa kuw...
Ebwana eeh!! moja kati ya ujumbe ulioibua gumzo mtandaoni ni huu hapa uliotoka kwa msanii wa Muziki wa Bongo fleva Mario ambapo ameshusha waraka mzito unaowahusu wasanii wa bo...
Ebwana eeh!! hii nayo kubwa kuliko hatimaye Msanii na mwigizaji Menina Alegria ameweka bayana aina ya Wanaume ambao anawahitaji Kwenye Maisha Yake.
Msanii huyo ame...
YES!!! Moja kati ya suala ambalo limeibua mjadala huko mitandaoni ni hili hapa linalohusu maadhimisho ya siku ya baba duniani ambapo siku hiyo hutambuliwa kila ifikapo tarehe ...
Hellow guys! I hope mko good eeeeeh! Bwana bwana, leo kwenye gumzo mitandaoni baada ya ukimya mrefu yule nguli wa bongo fleva, Dully Sykes ameuliza Watanzania wenzake kuwa nch...
Machafuko, vita na mateso vinafanya zaidi ya watu milioni 80 duniani kote kufungasha virago na kuzikimbia kaya zao huku wakiacha kila kitu kwa ajili ya kuokoa maisha yao na ya...
Mkuu wa mkoa wa wilaya ya Kisalawe Mh,Nikki wa pili kupitia ukurasa wake wa Tweet amefunguka na kutoa maneno kuntu ambayo yanahamasisha kwa namna moja ama nyingine
Aidha alifu...
Oooyeeeeh! It’s monday mtu wangu leo bwana kwenye gumzo mitandaoni sio poa yanii watu wanapendana halafu hamsemi watu mnasiri sana bwana hahhaha!
Aiseee acha nikupe haba...
Eeeh bwana eeh! Tumefikiwa na sisi!!! Kama mnavyojua, jana Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (...
Haloo weeh!!! Haloo tenaaa!! Hivyo ndivyo watoto wamjini wanasema bwana ambapo Baba mtoto wa msanii wa filamu nchini Jacqueline Wolper amesema harusi yao inatarajiwa kufungwa ...
Hellow! Bwana bwana waswahili wanasema usiku wa deni haukawii kukucha leo tutakudondoshea taarifa mbalimbali kuhusu bajeti kuu, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba...
Kati hali ya kufurahisha, katika graduation ya 52 UDSM, mlemavu wa macho, mwalimu Celestine Karuhawe amefanikiwa kutunukiwa Shahada ya Uzamivu katika Elimu (PhD) akiwa ni...
Wanafunzi watatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana jioni katika moja ya barabara zilizopo ch...