Miongoni mwa waigizaji wapya wanaotikisa kiwanda cha filamu nchini ni Abdulrazak ambaye anaonekana kwenye tamthilia ya Jua Kali.Licha ...
Unakatiza zako kitaa. Iwe Mlimani City ama Sinzani kwenye maduka yao yale ya shumizi na vijora. Mara paap unakutana na karembo flan hi...
Haipiti muda mrefu unanunua charger mpya ya simu yako? Inawezekana kuna sehemu unakosea. Zingatia haya unapotaka kununua charger mpya....
Mwanamuziki wa Bongo Flava, Lulu Diva anayetamba na nyimbo kama Utamu, Ona, Amezoea, Nilegeze na nyingine, amesema ifikie mahala watu ...
Baada ya mwanamuziki kutoka Marekani, Kanye West kurepotiwa kurudisha utajiri wake na kumfanya kuwa msanii anayeongoza kwa utajiri dun...
Msanii wa muziki wa Injili, nchini Goodluck Gozbert amezua gumzo katika mitandao ya kijamii, baada ya kuchoma moto gari alilopewa na m...
Kati ya picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuwadatisha baadhi ya kina dada, tangu mwishoni mwa 2024 hadi sasa 2025 ni za...
Mwigizaji na mchekeshaji kutoka Marekani Jamie Fox ameripotiwa kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Alyce Huckstepp baada ya kudumu kwa m...
Mwanamuziki wa Marekani, Kanye West ameuanza mwaka vizuri kwa kupata maokoto ya kutosha, hii ni baada ya kuripotiwa kuwa mwanamuziki t...
Nyota anayetamba na ngoma ya ‘Not Like Us’ Kendrick Lamar ambaye atatumbuiza katika onyesho la Halftime la Super Bowl amer...
Baada ya kuwepo na minong’ono mingi kuhusiana na ndoa ya aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Marana na mwigizaji Zaylissa kutokufik...
Na Michael ANDERSON Tanzania kuna tatizo la baadhi ya vijana kuchagua kazi. Tatizo hili ni kubwa hasa kwa vijana wakiume. Baadhi yao w...
‘Material Girl’ ni wimbo wa mwanamuziki kutoka Uingereza Madonna ambao aliuachia rasmi Januari 23, 1985 wimbo huo ulimpati...
Baada ya kuandamwa na kesi mfululizo za unyanyasaji wa kingono, hatimaye rapa Diddy ameamua kurudisha mashambulizi. Anadaiwa kufungua ...
Mzazi mwenzie na Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari the Boss Lady’ amedai kinachokwamisha Wabongo wengi kutoshiriki kw...
Kama hukuwahi kuona hii, fahamu kupitia Mwananchi Scoop wakazi wa kijiji cha Shirakawa-go, Wilaya ya Gifu nchini Japan wametengeneza m...
Msanii Diamond Platnumz anaripotiwa kununua gari zingine mbili aina ya mercedes Benz nyeusi ambapo inaelezwa kuwa moja kati ya hizo ha...
Mwanamuziki Chris Brown amewashtaki watayarishaji wa makala inayoeleza unyanyasaji aliyowahi kuufanya, iitwayo ‘Chris Brown: A H...
Kesi inayowahusisha ndugu wawili Lyle (56) na Erik Menendez (53), inatarajiwa kusikilizwa tena mahakamani baada ya kugundulika kuwa nd...
Kila ifikapo Januari 22 dunia inaadhimisha Siku ya Kukumbatiana. siku ambayo ilianzishwa mwaka 1986 na mchungaji Kevin Zaborney huku l...