Baraza la Madiwani Jijini Mbeya limesitisha usajili mpya wa Usafiri wa Bajaji kutokana na kuwa nyingi jijini humo kuliko Ma...
Taarifa kutoka kwa Spika wa Bunge , Dkt. Tulia Ackson,ambapo amesema wanaotoa taaarifa za ukatili walindwe. Dk Tulia ameyasema wakati ...
Uongozi mkuu wa Kanisa la Kiorthodox nchini Ethiopia (Synodi), ambalo ni Kanisa kubwa zaidi nchini humo, umetishia kuitisha mikutano y...
Polisi nchini Kenya wamewakamata walimu sita wa shule ya msingi katika eneo la magharibi mwa nchi, kufuatia clip ya video iliyotrend m...
Askari Polisi nchini Zambia wamepewa ruhusa ya kuwakamata ambao watakataa kutekeleza sheria inayokataza matumizi ya simu au uvaaji wa ...
Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambapo amewataka wanaorekodi matukio na kuyarusha mitandaoni kuacha t...
Ofisi ya Umoja wa Mataifa (UN) inayosimamia Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) imesema kuna kasoro kadhaa katika kuripoti k...
Mwanamuziki kutoka nchini Uganda Edrisah Musuuza maarufu kama Eddy Kenzo ameteuliwa kuwania tuzo ya Grammy kitengo cha muziki bora una...
Wanyama aina ya panya wa msituni wanaofahamika kama quolls, waliomo katika hatari ya kutoweka wanashindwa kulala kwa ajili ya kufanya ...
Msanii wa Krygystan Azamat Zhanaliev ameandaa zawadi maalumu ya sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa ajili ya mchezaji maarufu wa soka duni...
Jimbo la Canada la British Columbia linaanza awamu ya kwanza nchini humo kuhalalisha kiasi kidogo cha dawa haramu kama vile kokeni na ...
Muimbaji maarufu nchini Marekani R. Kelly anauwezekano wa kutotoka gerezani kwa mujibu wa Wakili wa Jimbo la Cook Kim Foxx aliwaambia ...
Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamua kwamba wenzi wanaoishi pamoja bila nia ya kufunga Ndoa hawawezi kutambulika kama Wanandoa moja kw...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alikutana na Idris Elba na Mkewe Sabrina ambao wao katika Uwekez...
Taarifa kutoka Uingereza ambapo aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amefichua kwamba Rais wa Urusi, Vladmir Putin ...
Wooooiiiih! Make hapa kwanza ncheke bwana bwaana, kwa mujibu wa tafiti mbalimbali unaonyesha kuwa wanaume hutumia masaa 7 kwa mwaka ku...
Mwanamke mmoja mkoani Kigoma ambae ambaye jina hakuweza kufahamika, aliekuwa akitokea Geita mjini akielekea Kasuru amelazimika ku...
Taarifa tulizonazo kwa sasa kuhusiana na uchaguzi mkuu kwenye klabu ya simba ni hizi hapa ambapo Murtaza Mangungu ameshinda katika Uc...
Muimbaji na muigizaji maarufu nchini Marekani, Marc Antony amefunga ndoa na mwanamitindo Nadia Ferreira, ambaye aliiwakilisha nch...
Mwanamke mmoja nchini Uganda aliyefahamika kwa jina la Fortunate Kyarikunda ambaye aliuumiza moyo wa mchumba wake Richard Timwine amea...