Trending News

Editor Pick

Jinsi ya kuwa na muonekano mzuri katika vazi la sherehe

Jinsi ya kuwa na muonekano mzuri katika vazi la sherehe

Post By: Asha Charles 0 Comments
Alooo weeeee!! Guyz natumai ni wazima wa afya, kama kawaida yetu hatunaga mba mba mba yaani moja kati ya...
Jinsi ya kujitangaza kibiashara kwa bajeti ndogo mtandaoni

Jinsi ya kujitangaza kibiashara kwa bajeti ndogo mtandaoni

Post By: Aisha Lungato 0 Comments
Hellow!!! Niaje niaje wafanya biashara ya wajasiriamali ni matumaini yangu mko powa kabisa bwana kama il...


01
Mume avunja ndoa yake kisa mchepuko wa Facebook
Mume avunja ndoa yake kisa mchepuko wa Facebook

Ebanaee!!! ukiskia kivumbi na jasho ndo hii sasa, unaambiwa bwana Mume wa mtu kutoka nchini England aliye fahamika kwa jina la Stuart ...


01
Fei toto: Hersi akiondoka Yanga narudi kambini hata sasa hivi
Fei toto: Hersi akiondoka Yanga narudi kambini hata sasa hivi

Huku sakata la mchezaji Feisal Salum maarufu kama Fei Toto likiendelea, leo bwana kijana huyo amefunguka mazito baada ya kukaa kimya k...


31
Korea Kaskazini yazindua setelaiti
Korea Kaskazini yazindua setelaiti

Nchi ya Korea Kaskazini imezindua kile ilichokiita setelaiti ya angani kuelekea kusini kwa majira ya nchi hiyo, hatua hiyo imesababish...


31
Nandy akanusha kuwa na Supermarket
Nandy akanusha kuwa na Supermarket

Mwanamuziki, The African Princess, Nandy amlilia Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye baada ya watu wasi...


31
Vyombo vya habari kuchunguzwa
Vyombo vya habari kuchunguzwa

Waangalizi wa vyombo vya utangazaji vya nchini Uturuki, jana Jumanne, wametangaza kuchunguza vituo sita vya televisheni vya upinzani k...


31
Baby mama wa Dababby akamatwa kwa kusababisha ajali
Baby mama wa Dababby akamatwa kwa kusababisha ajali

Staa wa muziki kutoka nchini Marekani Danileigh ambae ni Baby mama wa Rapa Dababy, amekamatwa na Polisi kwa makosa matatu. Ikiwemo kos...


31
Muigizaji wa miaka 82 ampa binti ujauzito
Muigizaji wa miaka 82 ampa binti ujauzito

Ebanaee!! ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni, Imeoneka siku hizi wadada wanavutiwa kimahusiano na wazee hiyo imetokea kwa muigiza...


31
Paul Walker apata mrithi wa jina lake
Paul Walker apata mrithi wa jina lake

Kaka wa Marehemu Paul Walker, Cody Walker yeye na mke wake wameamua kumuenzi Staa huyo wa Filamu aliefariki katika ajali ya ...


31
Mhubiri mwenye watoto 289 kuhojiwa na polisi
Mhubiri mwenye watoto 289 kuhojiwa na polisi

Mhubiri Ronald Wanyama, anayejulikana pia kama Nabii Yohana raia wa Kenya, ametakiwa kufika mbele ya Kamanda wa Polisi wa Bungoma, Jun...


30
Diamond anaupiga mwingi kwenye maokoto
Diamond anaupiga mwingi kwenye maokoto

Ebanaee!!! Amkeni bhana we hivi unajua staa wa muziki wa bongo fleva Diamond platnumz anaingiza mkwanja wa kiasi kikubwa cha Tsh.milio...


30
Maua Sama: Naogopa sana magari
Maua Sama: Naogopa sana magari

Hahahahah! Make hapa kwanza nchike, wakati mimi na wewe msomaji tukitamani kumiliki mandinga na kutamba nayo mitaani kumbe kuna wenzet...


30
Hii Young Famous msimu huu inaupiga mwingi sana
Hii Young Famous msimu huu inaupiga mwingi sana

Nyie nyie mjini kumechangamka haswa baada ya lile jambo ambalo lilikuwa likisubiriwa kwa hamu Realiy show ya ‘Young, Famous, and...


30
Kariuki aikimbia klabu ya Arsenal
Kariuki aikimbia klabu ya Arsenal

Mwadada Bernice Kariuki kutoka nchini Kenya ambae mpishi wa wachezaji pamoja na benchi zima la ufundi la klabu ya Arsenal ametangaza k...


30
35 wahukumiwa adhabu ya kifo
35 wahukumiwa adhabu ya kifo

Mahakama nchini Libya siku ya jana Jumatatu ilitoa hukumu ya kifo kwa wanajihadi 35 waliokutwa na hatia ya kupigana pamoja na kundi la...


30
Waziri mkuu amuachisha kazi mwanae
Waziri mkuu amuachisha kazi mwanae

Waziri Mkuu kutoka nchini Japani, Fumio Kishida amechukua uamuzi wa kumuondoa mtoto wake katika cheo chake cha katibu mkuu kutokana na...


29
Davido atunukiwa tuzo ya heshima na rais
Davido atunukiwa tuzo ya heshima na rais

Staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, Davido sasa anatambulika kama Officer Of The Order Of The Niger (OON), cheo cha heshima na cheny...


29
Yammi awajia juu wanao msema kuhusu mavazi yake
Yammi awajia juu wanao msema kuhusu mavazi yake

Nyieee!! Amkeni huku kumekucha bhana hili suala la uvaaji wa mwanamuziki Yasiruni Yasini Shabani maarufu Yammi umevuka mipaka mpka mas...


29
Guchi apanga kuvujisha nyimbo aishutumu lebo yake
Guchi apanga kuvujisha nyimbo aishutumu lebo yake

Mwanamuziki wa Afropop kutoka nchini Nigeria, Guchi ameelezea kutoridhishwa kwake na lebo yake ya PG Records Entertainment kwa kuchele...


29
Abbah atia neno sakata la Marioo na Mbosso
Abbah atia neno sakata la Marioo na Mbosso

Ooooooh!!! Kivumbi leo, bwana bwana kumekuwa na sintofahamu kati ya wanamuziki wa kizazi kipya Mbosso Khan na Marioo baada ya mzee wa ...


29
Marekani, Mexico zaonya kuhusu mlipuko wa fangasi
Marekani, Mexico zaonya kuhusu mlipuko wa fangasi

Nchi ya Marekani na Mexico zimelitaka shirika la Afya Duniani (WHO) kutangaza dharura ya afya ya umma kutokana na mlipuko wa fangasi y...



More