Baba mmoja kutoka Pakistan ambaye hajawekwa wazi jina lake amewavutia wengi kupitia mitandao ya kijamii baada ya kumvalisha binti yake kamera ya ulinzi (CCTV) kichwani ili kuf...
Ni kawaida kuona povu linalofanana na mate kwenye mimea hasa asubuhi au kipindi cha masika. Povu hilo wengi huamini ni mate ya nyoka na kusababisha kuogopa kuyashika.Licha ya ...
Mwanamke mmoja kutoka Agra, India ambaye hajawekwa wazi jina lake ameripotiwa kuomba talaka kwa mumewe ikiwa ni siku 40 tangu wawili hao kufunga ndoa, huku kisa kikiwa ni kuto...
Binti wa mfalme kutoka Dubai Princess Mahra bint Mohammed bin Rashid Al Maktoum, ameripotiwa kuzindua manukato yaitwayo ‘Divorce’ (Talaka) baada ya kuachana na mum...
Kati ya filamu za animation zilizojizolea umaarufu duniani ni Tom na Jerry iliyoanzishwa na mchoraji wa vibonzo William Hanna, raia wa Marekani aliyesomea uandishi wa habari k...
Kwa mujibu wa utafiti uliyochapishwa na tovuti ya Forbes umebaini kuwa kizazi cha Gen Z kinakunywa pombe kidogo zaidi kuliko vizazi vilivyotangulia.Utafiti huo unaeleza kuwa u...
Na Michael Onesha Mtu wa kwanza kutambua na kuamini kuwa wewe ni wa thamani anatakiwa kuwa wewe mwenyewe. Jione na jiamini kuwa mtu wa thamani kubwa na mwenye vingi, usikubali...
Aliyesema mapenzi upofu wala hakukosea, kwani watu hujikuta wakifanya baadhi ya mambo kwa lengo la kuwaridhisha wanaowapenda. Kutokana na mapenzi mfahamu Ethel Granger mwanama...
Waswahili wanasema ‘Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni’ msemo huu unatupeleka moja kwa moja kwa mwanamama Hetty Green, mwanamke ambaye ameishi akivaa nguo ya...
Kama wasemavyo waswahili binadamu ana sherehe tatu. Kwanza kuzaliwa, pili ndoa na tatu kufariki. Kutokana na maana hiyo kwa upande wa mtoto wa bilione Mukesh Ambani, Anant Amb...
Wanasayansi kutoka Japan wako mbioni kuzindua roboti lenye ngozi hai ambalo litakuwa na uwezo wa kucheka pamoja na kutabasamu kama binadamu.Ubunifu huo ulioongozwa na watafiti...
Na Michael Onesha
Mtu wa kwanza kutambua na kuamini kuwa wewe ni wa thamani kubwa ni wewe mwenyewe. Rule namba moja ukiwa kama kijana wakike au wa kiume unatakiwa kujiona wa t...
Kuacha sigara ni mchakato ambao baadhi ya watumiaji wamekuwa wakigonga mwamba kila uchwao, lakini kwa Ibrahim Yücel kutoka Uturuki ilikuwa rahisi baada ya kutengeneza kof...
Mwanamke mmoja kutoka New Zealand, aliyetambulika kwa jina la CL amemshitaki mpenzi wake wa zamani kwa kushindwa kumpeleka (kumsindikiza) uwanja wa ndege wakati wa kusafiri.Kw...