Filamu kuhusu maisha ya aliyekuwa Mfalme wa Pop wa Marekani, Michael Jackson, iitwayo ‘Michael’, imeripotiwa kuwa haitatolewa mwaka huu kama ilivyotangazwa awali, ...
Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi uliyofanywa na Dr. Bodo Winter, mtaalamu wa isimu ya utambuzi kutoka Chuo Kikuu cha Birmingham, unaeleza kuwa jina Sophia (au Sofia) linataj...
Jamie Foxx, mwigizaji na mchekeshaji kutoka Marekani amekanusha vikali uvumi na madai ya kuwa mwanamuziki Sean “Diddy” Combs alijaribu kumuua mwaka 2023.Jamie amek...
Baada mfanyabishara Kim Kardashian kutoa ushahidi katika mahakama jijini Paris kuhusiana tukio la kuvamiwa na majambazi kwenye moja ya hoteli nchini Ufaransa, hatimaye Kim ame...
Mfanyabiashara maarufu Marekani, Kim Kardashian amehitimu rasmi masomo yake ya sheria katika levo ya ‘Law Office Study Program (LOSP)’ levo ambayo ni njia mbadala ...
Msanii wa muziki wa hiphop nchini, Rapcha ambaye kwa sasa anatamba na Mixtape yake mpya ya ‘Usichukue Sifa za Mungu’ iliyotoka Aprili 25,2025, ameelezea namna amba...
Wakati kesi ya shirikisho ya usafirishaji wa binadamu kwa ajili ya ngono inayomkabili Sean "Diddy" Combs mjini New York ikiendelea, rapa Kid Cudi ametoa ushahidi katika kesi h...
Mwanamuziki wa nyimbo za Taarabu na mwigizaji nchini Hanifa Maulid ‘Jike la Chui’ ameweka wazi sababu ya muziki huo kushuka akitaja kuwa ni wasanii wenyewe kushind...
Rapa kutoka Marekani, Tory Lanez amehamishwa gereza jingine baada ya maafisa kuhofia usalama wake katika gereza la California Correctional Institution.Kwa mujibu wa TMZ, rapa ...
Mtangazaji na msanii mpya wa Hiphop nchini, Oscar Oscar leo Mei 22, 2025, ameitikia wito katika ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ambapo aliitwaa baada ya kuachia wim...
Mwigizaji Wema Sepetu amesema kuitwa kwake na Bodi ya Filamu Tanzania kumemfanya atambue thamani yake.Wema amesema hayo leo Mei 22,2025 baada ya kumaliza mazungumzo katika ofi...
Wakati mashahidi wakiendelea kuongezeka mahakamani kufuatia na kesi ya Diddy, na sasa imeripotiwa kuwa aliyekuwa mfanyakazi binafsi wa Diddy, George Kaplan, siku ya jana Jumat...
Nyota wa R&B kutoka Marekani Chris Brown, ameachiwa kwa dhamana na mahakama Jijini London leo Jumatano Mei 21, 2025, baada ya kukaa rumande kwa takribani siku sita.Chris a...
Baada ya kuwapo kwa tetesi kuhusu msanii Lavalava kuondoka katika lebo ya WCB, Diamond Platnumz ameweka wazi akisema msanii huyo yupo huru kuondoka.Diamond ambaye anamiliki Le...