Mambo vipi msomaji wetu wa dandoo za fashion, namshukuru Mungu kwa kutupatia pumzi katika siku hii ya leo na kutufanya tuendelee na majukumu yetu ya kila siku.
Mpendwa m...
Habari kijana mwenzangu karibu kwenye makala za Kazi ujuzi na maarifa , leo tutazungumzia umuhimu wa kuchunga muda mahali pa kazi.
Bila shaka imezoeleka kuchelewa katika...
Mila na desturi zetu zilikuwa zinahimiza kwamba, kabla ya vijana hawajaamua kuwa pamoja, ilikuwa ni lazima wazazi kujua kuhusu familia ya mwingine.
Hata kama haina maana kuwa ...
Habari msomaji ni siku nyingine tunakutana tena kupitia mwananchiscoop ambapo ninaamini kuwa u mzima wa afya na unaendelea na majukumu yako ya kila siku ya kulijenga taifa.
Le...
Habari msomaji wa dondoo hii ya fashion, siku nyingine tena tumekutana ili kujuzana mambo mbalimbali kuhusiana na mitindo, urembo na mavazi ambayo najua unayajua ila mimi naku...
Habari msomaji wetu wa dondoo za fashion, ni siku nyingine tena tunakutaka hapa ili kuweza kujuzana mambo mbalimbali kuhusiana na masuala mitindo, urembo na mavazi ambayo naju...
Natumaini u mzima wa afya msomaji wa mwannachiscoop, na unaendelea vema n amajukumu yako ya kila siku ikiwemo masomo.
Najua tunaelekea mwisho wa mwaka na wanafunzi wengi wanam...
Tunajua kuwa moja ya vitu vinavyowasumbu wanafunzi wengi ni kusoma na kisha kusahau kile ulichokisoma au kufundishwa.
Kutokana na changamoto hiyo leo katika Karia tumeamua kuk...
Najua kuwa neno kipaji si jina geni masikioni mwako ila mimi leo nakujuza kuwa ni uwezo wa kuzaliwa nao mtu wa kufanya jambo fulani kwa ngazi ya juu bila kufundishwa au baada ...
Vijana ndiyo nguvu kazi ya Taifa inayotegemewa katika kujenga jamii bora itakayokuwa imara hapo baadae, pamoja na vijana kutegemewa zaidi na serikali bado kundi hilo lina...