Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
Baada ya kufanya ‘kolabo’ ya ngoma yake inayotrend kupitia mitandao ya kijamii ya ‘Dah’ na Alikiba mwanamuziki Nandy ameweka wazi kuwa msanii kutoka nc...
Kama kuna wasanii wengine wa Bongo Fleva wanaandikiwa nyimbo na kuzitendea haki, basi Nandy ni namba moja, hadi sasa ameandikiwa nyimbo zaidi ya 10 na wasanii wenzake zaidi ya...
Aliyekuwa msemaji wa klabu ya Yanga Haji Manara, amvisha pete ya uchumba mpenzi wake Zaylissa siku ya jana Januari 18.Sherehe hiyo ya kuvishana pete ilienda sambamba na kusher...
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki na Meneja wa msanii Diamond, Babu Tale ameachia rasmi list ya wasanii waliomkosha kwa mwaka 2023.Babu Tale kupitia ukurasa wake wa Instagra...
Wanamuziki wa bongo fleva Zuchu na Harmonize ndiyo wasanii waliosikilizwa zaidi mwaka 2023 katika mtandao wa kuuza na kusikiliza muziki wa #Boomplaytz, kutoka Novemba 2022 had...
Katika harakati za kutambiana mikufu yenye thamani katika festival iliyofanyika siku ya Ijumaa mkoani Songea, msanii Billnass naye hakukaa kinyonge huku akidai kuwa mkufu wake...
Wakati wa uzinduzi wa video ya wimbo wa 'Maokoto' wa msanii Billnass, ameeleza kuwa hajaacha muziki wa hip-hop kuna mambo mengi mapya yanakuja amewataka mashabiki wake kukaa t...
Kwa sasa imekuwa kama Fashion kwa baadhi ya wasanii kuonesha sura za watoto wao mara baada ya kutimiza mwaka mmoja, kama ilivyokuwa kwa #Wolper alionesha sura ya mtoto wake wa...
Imekuwa jambo la kawaida kwa watu maarufu nchini kuficha sura za watoto wao , miongoni mwa ma-‘staa’ waliofanya hivyo ni Nandy, hakuna anayefahamu sura ya mt...
Kwa #Bongo ukizungumzia penzi la watu maarufu ambalo limedumu hadi kuingia kwenye ndoa huwezi acha kumzingumzia #Nandy na #Billnass.
Wanandoa hao unaweza kuwaita ndege wawili ...
Mwanamuziki, The African Princess, Nandy amlilia Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye baada ya watu wasio waaminifu kutumia jina lake kutapeli um...