Haya haya kwa wale mnaosema Rais wa TFF Wallace Karia kuwa ni mwanachama wa Simba bwana mwenyewe kakanusha leo kaweka wazi kuwa yeye sio shabiki wa timu hiyo.
Aidha Rais huyo ...
Waswahili wanakamsemo kao bwana mambo yametaradadi huku kwa msemaji wa Yanga Sc Haji Manara ametoa kauli kuwa kama amemtukana au kumtolea maneno machafu Raisi wa shirikisho TF...
Inaendelea……
Kama unataka kutengeneza umoja katika kazi, kundi ulilokuwa nalo linakutafsiri mbele ya jamii ni nini hasa utakachokijenga maishani mwako. Kuna msem...
Kipindi uko chuo ni kipindi ambacho una mambo mengi ya kufanya kwaajili ya masomo lakini pia muda mwingine una muda mwingi ambao unaweza ukauwekeza kwenye kujiendeleza wewe mw...
Leo katika Karia tunazo funguo za kukusaidia wewe Mwanachuo kupata maarifa watakayokufanya ufanikiwe kimaisha pindi bado upo chuoni.
Nikuweke wazi tu kwamba unaweza kufanikiwa...
Jenga tabia ya kuyaombea masomo yako kila siku na kila mara, wanafunzi wengi waliofaulu walimweka Mungu mbele kwenye masomo yao.
Yapende masomo yako na tena uyafurahie.
Ni ve...
Watu wengi wamekuwa wakisoma kwa malengo maalum. Japo wengi huchagua kusomea taaluma fulani kwa kuwa ina soko kubwa la ajira na kuwa na malipo mazuri ya mishahara.
Hakuna anay...
Ni watu wachache sana ndiyo wanaopenda na wanafahamu umuhimu wa kusoma vitabu.
Watu wengi hasa waafrika hawapendi kusoma vitabu ikiwa hakuna kinachowalazimisha kufanya hivyo k...
Mpendwa msomaji wetu leo katika karia tumekusogezea siri ya maisha na kukusisitizia kwamba maisha hayana kanuni lakini yana siri nyingi.
Jongea nasi kuzijua siri hizo…&...
Katika zama hizi za maendeleo ya kidijitali, ni rahisi sana kufahamiana na watu wengi ambao, hata hivyo, wanaweza wasiwe marafiki wala kuwa na msaada kwako.
Unaweza, kwa mfano...
Ngoja leo tuambizane ukweli hapa mpambanaji wangu. Je, ni kipi unafikiria baada ya kumaliza masomo yako? Je, kauli hii inatembea kichwani mwako au umeamua kujitambua na kufany...
Mpendwa msomaji wetu leo katika karia tumekusogezea siri ya maisha na kukusisitizia kwamba maisha hayana kanuni lakini yana siri nyingi.
Jongea nasi kuzijua siri hizo…&...
Habari za wakati huu kijana mwenzangu ambaye umekuwa ukitufatilia dondoo hii ya Karia inayokujia kwa lengo la kujuzana na kuelimishana mambo mbalimbali.
Leo nimeona ni vema ku...
Ebwana mambo vipi? kama kawaida ikiwa leo ni jumatatu ya mwisho katika mwezi January bwana ambapo siku hii huwa tunaleta zile makala za kazi, ujuzi na maarifa.
Yap leo tutazun...