16
Rais wa TFF Wallace Karia: mimi sio mwanachama wa simba
Haya haya kwa wale mnaosema Rais wa TFF Wallace Karia kuwa ni mwanachama wa Simba bwana mwenyewe kakanusha leo kaweka wazi kuwa yeye sio shabiki wa timu hiyo. Aidha Rais huyo ...
25
Manara: Nipo tayari nifungwe miaka 10 ikithibitika nimemtukana
Waswahili wanakamsemo kao bwana mambo yametaradadi huku kwa msemaji wa Yanga Sc Haji Manara ametoa kauli kuwa kama amemtukana au kumtolea maneno machafu Raisi wa shirikisho TF...
30
Mambo ya kuzingatia kwa mwanafunzi wa elimu ya juu
Inaendelea…… Kama unataka kutengeneza umoja katika kazi, kundi ulilokuwa nalo linakutafsiri mbele ya jamii ni nini hasa utakachokijenga maishani mwako. Kuna msem...
16
Vitu 10 Mwanachuo anapaswa kuvifanya mapema
Kipindi uko chuo ni kipindi ambacho una mambo mengi ya kufanya kwaajili ya masomo lakini pia muda mwingine una muda mwingi ambao unaweza ukauwekeza kwenye kujiendeleza wewe mw...
11
Fanya haya ufanikiwe kimaisha ukiwa chuoni
Leo katika Karia tunazo funguo za kukusaidia wewe Mwanachuo kupata maarifa watakayokufanya ufanikiwe kimaisha pindi bado upo chuoni. Nikuweke wazi tu kwamba unaweza kufanikiwa...
04
Mbinu 30 za kufaulu katika masomo
Jenga tabia ya kuyaombea masomo yako kila siku na kila mara, wanafunzi wengi waliofaulu walimweka Mungu mbele kwenye masomo yao. Yapende masomo yako na tena uyafurahie. Ni ve...
28
Zifahamu kazi zinazolipa zaidi
Watu wengi wamekuwa wakisoma kwa malengo maalum. Japo wengi huchagua kusomea taaluma fulani kwa kuwa ina soko kubwa la ajira na kuwa na malipo mazuri ya mishahara. Hakuna anay...
14
Soma vitabu ujiongezee maarifa
Ni watu wachache sana ndiyo wanaopenda na wanafahamu umuhimu wa kusoma vitabu. Watu wengi hasa waafrika hawapendi kusoma vitabu ikiwa hakuna kinachowalazimisha kufanya hivyo k...
07
maisha yana siri nyingi, komaa humu
Mpendwa msomaji wetu leo katika karia tumekusogezea siri ya maisha na kukusisitizia kwamba maisha hayana kanuni lakini yana siri nyingi. Jongea nasi kuzijua siri hizo…&...
28
Marafiki watakaokuwezesha kufikia malengo
Katika zama hizi za maendeleo ya kidijitali, ni rahisi sana kufahamiana na watu wengi ambao, hata hivyo, wanaweza wasiwe marafiki wala kuwa na msaada kwako. Unaweza, kwa mfano...
28
Nitapataje kazi bila kushikwa mkono
Ngoja leo tuambizane ukweli hapa mpambanaji wangu. Je, ni kipi unafikiria baada ya kumaliza masomo yako? Je, kauli hii inatembea kichwani mwako au umeamua kujitambua na kufany...
14
Maisha hayana formula, USIKARIRI
Mpendwa msomaji wetu leo katika karia tumekusogezea siri ya maisha na kukusisitizia kwamba maisha hayana kanuni lakini yana siri nyingi. Jongea nasi kuzijua siri hizo…&...
07
Tumia kipaji ulichonacho kujiingizia kipato
Habari za wakati huu kijana mwenzangu ambaye umekuwa ukitufatilia dondoo hii ya Karia inayokujia kwa lengo la kujuzana na kuelimishana mambo mbalimbali. Leo nimeona ni vema ku...
31
Ijue sheria, haki na wajibu wa domestic workers
Ebwana mambo vipi? kama kawaida ikiwa leo ni jumatatu ya mwisho katika mwezi January bwana ambapo siku hii huwa tunaleta zile makala za kazi, ujuzi na maarifa. Yap leo tutazun...

Latest Post