Serikali imesema Utafiti wa Watu wenye uwezo wa kufanya Kazi wa Mwaka 2021 unaonesha Vijana wenye umri wa Miaka 15 hadi 35 ambao wana Ukosefu wa ajira ni 1,732,509 sawa na 12%...
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeandaa maeneo wezeshi ya kilimo kwa Vijana ili kuwekeza kwenye kilimo na kuwaondoa kwenye maisha ya ku-bet. Hayo yameelezwa na Naibu...
Inasemekana kuwa Kuanzia Mwezi huu wa January,2023 Vijana wa Ufaransa wataagana rasmi na bajeti za kununua condom kwakuwa condom zitaanza kugaiwa bure kwenye maduka yote nchin...
Wataalamu wa afya wanashauri watu kufanya mazoezi ili kuimarisha afya ya mwili lakini hii kwa vijana imekuwa tofauti wengi hutumia muda wao kushinda gym kwa kufanya mazoezi il...
Hahahahah! Make hapa kwanza ncheke hii ingekuwa katika serikali yetu ninavyo wajua watu wangelala bar, moja ya taarifa zilizozua taharuki ni nchi ya japan inahamasisha vijana ...
Hivi karibuni limetokea wimbi kubwa kwa vijana kuwa na matatizo ya afya ya akili na hivyo kupelekea wengi kukatisha uhai wao na wengine hata kuua wenzao bila ya sababu.
...
Eeeh bwana eeh! Tumefikiwa na sisi!!! Kama mnavyojua, jana Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (...
Julai 2020 Umoja wa Mataifa (UN) ilitoa ripoti mpya ambayo ilibaini kwamba ujasiriamali unaweza kuwa suluhu kubwa ya ajira kwa vijana na kusaidia jamii nyingi zisizojiweza.
Kw...
Tatizo la vijana wengi nchini kuchagua kazi na kukaa vijiwani limekuwa likigonga vichwa vya habari licha ya serikali pamoja na wadau wengine wa maendeleo kupambana ili kutokom...
Games are a part of making someone to have fun at a certain moment, do you appreciate this young ladies and gentlemen? Let’s say something unique kwenye masuala ya miche...
Sara Akoko, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) anayechukua course ya Bachelor of Art in Geography and Environmental Studies.
Akoko anajihusisha na biasha...
Changamoto ya ajira ni kilio cha dunia nzima hususan kwa vijana ambao wengi hujikuta wakizurura mitaani au kuzungunga na vyetu vyao wakisaka ajira ambazo zinazidi kuwa finyu k...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewahimiza vijana Nchini kuchangamkia fursa zilizomo kwenye sekta ya Mawasiliano kwa kuzingatia matumizi bora y...