Wakati wengine wakiendelea kuachia ngoma na kuzipambania zifike namba ‘one on trending’ kwa Mbosso Khan yeye ni tofauti kwa upande wake ameamua kuonesha jeuri ya p...
Mwanadada mfanyabiashara wa nywele za bandia kutoka nchini Nigeria aamua kukatiza barabarani kutoa zawadi ya pesa kwa vijana waliyokuwepo pembezoni mwa barabara hiyo.
Mrembo h...
‘Kocha’ wa ‘soka’ la vijana wa Virginia, Vince Villanueva adaiwa kupigwa na mzazi aliyetoka nje ya uwanja na kumvamia kwa kumpiga na chupa ya maji uson...
Mtayarishaji wa maudhui aliyejipatia umaarufu mkubwa kupitia mitandao ya kijamii kama #TikTok, #Instagram, #YouTube pamoja na #Twitch kutoka Marekani Kai Cenat, ameshiki...
Ikiwa ni Siku moja tangu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, kuitaka Serikali kuwawajibisha Waajiri wanaoshindwa kuwasilisha Michango pamoja na Mifuko kutolipa madeni ya Wanach...
Heeeeey!!sasa tuwekane sawa sasa hii ni weekend nyengine bhana I hope mko sawa wenetu wanguvu hatuna budi kukusogezea kipengele cha burudani na michezo ambapo utapata kuyajua ...
Taasisi ya Dini ya Kiislam ya Al- Hikma Foundation kutoka Jijini Dar es salaam, imetanganza kuwaozesha vijana 50 kwa kuwalipia mahari ambao bado hawajaoa kutokana na changamot...
Serikali imesema Utafiti wa Watu wenye uwezo wa kufanya Kazi wa Mwaka 2021 unaonesha Vijana wenye umri wa Miaka 15 hadi 35 ambao wana Ukosefu wa ajira ni 1,732,509 sawa na 12%...
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeandaa maeneo wezeshi ya kilimo kwa Vijana ili kuwekeza kwenye kilimo na kuwaondoa kwenye maisha ya ku-bet. Hayo yameelezwa na Naibu...
Inasemekana kuwa Kuanzia Mwezi huu wa January,2023 Vijana wa Ufaransa wataagana rasmi na bajeti za kununua condom kwakuwa condom zitaanza kugaiwa bure kwenye maduka yote nchin...
Wataalamu wa afya wanashauri watu kufanya mazoezi ili kuimarisha afya ya mwili lakini hii kwa vijana imekuwa tofauti wengi hutumia muda wao kushinda gym kwa kufanya mazoezi il...
Hahahahah! Make hapa kwanza ncheke hii ingekuwa katika serikali yetu ninavyo wajua watu wangelala bar, moja ya taarifa zilizozua taharuki ni nchi ya japan inahamasisha vijana ...
Hivi karibuni limetokea wimbi kubwa kwa vijana kuwa na matatizo ya afya ya akili na hivyo kupelekea wengi kukatisha uhai wao na wengine hata kuua wenzao bila ya sababu.
...
Eeeh bwana eeh! Tumefikiwa na sisi!!! Kama mnavyojua, jana Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (...