18
Morgan Freeman akerwa na tamasha la ‘Black history month’
Mwigizaji mkongwe wa Marekani Morgan Freeman amelikosoa tena tamasha la ‘Black History Month’ huku akidai kuwa analich...
26
Jina la kanumba bado linaishi
Wakati akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kuzunguka mataifa mbalimbali mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rayvanny akiwa South Africa amekutana na shabiki wa marehemu mwigizaji...
08
Chanzo cha siku ya wanawake duniani
Kila ifikapo tarehe kama ya leo Machi 8, dunia inaadhimisha siku ya wanawake. Wapo baadhi ya watu ambao huitumia siku hii kuwapa zawadi ndugu zao wa kike, wapo wanaoituma kwa ...
30
Chino alia na wasanii wanaomfungia vioo
Kwa kawaida ‘dansa’ na mwanamuziki wa #Bongofleva Chino Wanaman sio muongeaji lakini kwa hili ameamua kulia na wasanii ambao hawam-sapoti licha ya kipindi cha nyum...
18
Diamond awapiga wambea na kitu kizito
Baada ya ku-share taarifa kupitia Instastory yake kuhusu kuwa single mwanamuziki Diamond, ametengua kauli hiyo kwa kueleza kuwa hayupo single bado anaendelea kula raha hubani....
15
Diamond arudia nguo, Alivaa miaka minne iliyopita
Mwanamuziki wa Bongo Fleva kutoka nchini #DiamondPlatnumz ameweka wazi kuwa koti alilolivaa katika wimbo wake ‘Tetema’ ndilo hilo hilo alilolivaa kwenye wimbo wa K...
09
Diamond aitabiria Tanzania
Baada ya kuipeperusha Bendera ya Tanzania katika Tuzo ya #MTVEMA 2023 msanii Diamond ameendelea kuitabiria makubwa Tanzania kwa kudai kuwa soon bendera hiyo itakuwa katika Tuz...
06
Lukamba adai kuibiwa milioni 200
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Lukamba ameeleza sababu ya kukaa kimya bila kutoa wimbo amesema kuwa ametapeliwa tsh 200 milioni. Lukamba kupitia #Instastory yake ameandika ujumb...
25
Mwaka wa kwanza chuoni
Na Magreth BavumaNiaje niaje wakuu karibuni tena kwenye ‘kona’ yetu pendwa ya wanavyuo “unicorner” eneo moja tu linalowakutanisha wajanja wote walioko ...
18
Harmonize awatolea povu wanaodai anaendeshwa na mapenzi
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize amewatolea uvivu wanaodai kuwa anamawazo ya mapenzi, amesema katika ma-ex wake hakuna wa kumfanya alewe. Konde amefunguka hayo kupitia Instasto...
01
Rushaynah: Story mnazosikia kutoka kwa ex wangu sio za kweli
Akizungimza na vyombo vya habari nchini, aliyekuwa Ex wa #HajjiManara, #Rushaynah ameeleza kuwa kumuongelea Ex wako Kwa vibaya kwa watu wengine sio sawa. Aidha mwadada huyo am...
22
Mfahamu bondia aliyepata ulemavu baada ya kupigwa ngumi kichogoni
Tazama maisha ya bondia kutoka nchini Marekani Prichard Colon Melendez, yalivyo badilika kwa sekunde chache baada ya kupigwa ngumi akiwa ulingoni, na kusababisha maisha yake k...
18
Sam Asghari athibitisha kuvunjika kwa ndoa yake
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na ndoa ya muigizani na mwanamitindo Sam Asghari kuvunjika, hatimaye Sam amethibitisha na kuweka wazi kuvunjika kwa ndoa hiyo.Kupitia #InstaSt...
08
Mwaka wa kwanza chuoni ndo wakufanya maamuzi
Hahahaha! Make hapa kwanza ncheke maana sijui niseme vinachekesha au laah! Haya wale watu wangu wa segment yetu ya unicorner leo nimeona nikusogezee mada hiyo ambayo itakuamsh...

Latest Post