Leo Julai 15, 2025 Tanzania imepata ugeni, Miss World 2025, Suchata Chuangsri 'Opal'. Mrembo aliyezaliwa mwaka 2003 huko Phuket, Thailand. Na yeye ndiye mwanamke wa ...
Mchekeshaji na mwigizaji wa filamu nchini, Juma Omary maarufu Jol Master amesema mwanaume hupaswi kuoa kwa mkumbo au kumuonea huruma mwanamke.Akizungumza na Mwananchi Jol ames...
Mwigizaji wa filamu nchini, Alex Mgeta 'Ngosha' ameweka wazi sababu ya kufanya maigizo mengi yanayomuonesha kama mwanaume mwenye msimamo.Akizungumza na Mwananchi, Ng...
Mrembo wa Dunia 2024, Suchata Chuangsri maarufu kama Opal, ametua nchini leo Julai 15, 2025 kwa ziara maalumu ya kuunga mkono mpango wa Royal Tour, unaolenga kutangaza utalii ...
Simba na Yanga zamani waliishia raundi ya kwanza tu. Tena wakipangiwa timu za Waarabu walifungwa kabla ya mechi. Ajabu hivi sasa Waarabu ndo hawataki kukutana na hizi timu za ...
Wakati wanaanza Bongo Movie enzi hizo ilikuwa vituko tu. Mtu anaigiza kama malaika, halafu anamwambia mwenye shida kuwa: "Usijali, Mungu wa mbinguni atakusaidia." Malaika gani...
Mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya, Ommy Dimpoz amesema kuna siri kubwa juu ya maisha yake ambayo watu wengi hawaijui.Nyota huyo anayetambulishwa na ngoma kadhaa zikiwamo...
Ikiwa ni miaka mitano tangu ametoka rasmi kimuziki, Zuchu amefanikiwa kuwa chapa kubwa yenye ushawishi katika Bongofleva na kimataifa ambapo ameshirikiana na wasanii wakubwa n...
Mahakama ya Coroner ya Ikorodu, Lagos, Nigeria, imetoa ripoti rasmi kuhusu chanzo cha kifo cha mwanamuziki Ilerioluwa Aloba, maarufu kama Mohbad aliyefariki dunia Septemba 12,...
Kama uliwahi kumkatia tamaa msanii wa Bongo Movie, Kajala Masanja kwa kudai umri umeenda na hatoweza kuolewa, basi imekula kwako, kwani tayari ameshavalishwa pete ya uchumba n...
Mkali wa Hip Hop kutoka Canada Drake, amezua gumzo mitandaoni baada ya kuonekana amefuta tattoo ya mchezaji nyota wa mpira wa kikapu, LeBron James, aliyokuwa ameichora kwenye ...
Peter Akaro
Staa muziki Marekani, French Montana ambaye pia ana asili ya Morocco ameonekana kwa mara nyingine tena akiwa na anayetajwa kuwa mpenzi wake mpya, na huyu si ...
Baada ya kuwepo kwa sintofahamu katika ndoa ya mwanamuziki Juma Jux na mke wake Pricy akidaiwa kufunga ndoa ya Kikristo na Kiislam hatimaye msanii huyo ameweka wazi kuhusiana ...
Michael Anderson
Huwa hatupendi kukosea kwa sababu tunachukulia kukosea ni kutokujua na kushindwa.
Lakini kukosea ndiyo mwanzo mzuri wa kujifunza. Unapokosea unakuwa na fursa...