20
Harmonize atamani kufanya kazi na Meek Mill
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Harmonize ameamua kuzama DM ya ‘rapa’ kutoka Marekani #Meekmill akiomba kufanya naye kazi ya muziki. Kupitia #Instastori ya Harmonize ...
23
Frida aweka historia kwenye kongamano la kimataifa la vijana na hip-hop
Rapa na mtangazaji, Frida Amani ameweka historia ya kuwa msanii wa kwanza kushiriki katika mkutano maarufu wa kimataifa wa NEXT, u...
29
Man City ndiyo klabu bora duniani
‘Klabu’ ya #ManchesterCity sasa inaongoza katika orodha ya ‘vilabu’ bora duniani, ikichukua nafasi ya kwanza kutoka katika ‘klabu’ ya #Real...
22
Burna Boy kuandika historia tuzo za Grammy
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #BurnaBoy anatarajia kutumbuiza kwenye sherehe ya ugawaji Tuzo za #Grammy2024 zitakazofanyika Februari 4 katika ukumbi wa #Crypto nchini Ma...
05
Mwanariadha Pistorious kuachiwa huru leo
Ulimwengu wa wapenda michezo baadaye utashuhudia tukio la kuachiwa huru kutoka gerezani mwanariadha wa zamani wa mbio fupi, Oscar Pistorious, raia wa Afrika Kusini.Nyota huyu ...
26
Hii hapa historia ya Boxing Day duniani
Kila ifikapo Disemba 26, dunia husherehekea sikukuu ya ‘boxing day’ ambayo mara nyingi huenda sambamba na kutoa na kupokea zawadi. Na huwa inafanyika siku ya pili ...
16
Yanga yapanda viwango, Yashika nafasi ya nne
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limetoa takwimu ya viwango vya ‘Klabu’ kwa kipindi cha Novemba Mosi, 2022 hadi Oktoba 31, ...
01
Simba wafuzu makundi kwa jasho
Hatimaye ‘klabu’ ya Simba nayo imengia katika hatua ya makundi ya ‘Klabu’ Bingwa Afrika kwa sare ya mabao 3-3 nje ndani dhidi Pwer Daynamos. Historia i...
29
Maisha ya marehemu Mohbad, muziki wake, kukamatwa na polisi, mafanikio, changamoto na kifo chake
Whats Up familia?, its another Friday tumekutana hapa kupeana mawili matatu ya kiburudani, i hope mko njema kabisa lakini kwa wale...
20
Messi ain’garisha Inter Miami
Kama kawaida ya Leon Messi anapokuwa katika ‘timu’ anayoichezea katika kipindi hicho lazima kumbukumbu na  kujenga historia. Messi  amefanya hivyo pia ka...
23
Manara: Max ndio Signing bora kufanywa msimu huu
Baada ya #Yanga kuibuka kidedea siku ya jana kwa kuitandika  #Kaizerchief 'goli' moja,  kwenye uwanja wa Mkapa, ambapo 'klabu' hiyo ilikuwa ikisherekea siku ya #Wana...
26
Rostam adhamiria kuwekeza Zambia
Mfanyabiashara kutoka Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa katika gesi ya Liquefied Petroleum Gas (LPG) nchini Zambia, ambao utakuwa...
27
Historia ya hilda Baci mpishi alievunja rekodi ya dunia
Amkenii!!! Team Scoop inatambua uwepo wenu wanetu wa faida na ndio maana kila weekend lazima tuwe tuna jambo na nyie wakurungwa tena katika segemeti hii ya michezo na burudani...
21
Mtoto wa wakimbizi aliyekataa shule, anayesumbua EPL
Duh! Another weekend!! kama kawaida katika michezo hatuna muda wa kupoteza mapema tunakusogezea yaliojiri katika burudani na michezo na kama kawaida yetu tunakupa zile za uvun...

Latest Post