Nchi ya Korea Kaskazini imezindua kile ilichokiita setelaiti ya angani kuelekea kusini kwa majira ya nchi hiyo, hatua hiyo imesababisha kutolewa kwa tahadhari ya dharura, na o...
Mahakama nchini Libya siku ya jana Jumatatu ilitoa hukumu ya kifo kwa wanajihadi 35 waliokutwa na hatia ya kupigana pamoja na kundi la Islamic State katika nchi hiyo iliyopo A...
Waziri Mkuu kutoka nchini Japani, Fumio Kishida amechukua uamuzi wa kumuondoa mtoto wake katika cheo chake cha katibu mkuu kutokana na kuonesha tabia isiyofaa katika jamii.
Ha...
Mamboz!! Once again tunakutana on this weekend wanetu wa faida kwenye hii sgment yetu ya maswala ya kazi, hapa tunawekana sawa kuhusiana na mambo mbalimbali ya kazi.
Wiki ilio...
Msichana wa kazi za ndani (house girl) aliefahamika kwa jina la Zuhura Ramadhani mwenye umri wa miaka 30, amemshtaki bosi wake Khadija Katusi Muoza katika Serikali ya Mtaa ya ...
Mambo vip!! Mtu wangu wanguvu ni weekend tena tunakutana hapa hapa Mwananchi ili tuweze kujuzana machache kuhusiana na maswala mazima ya kazi.
Leo katika segment ya kazi tumek...
Mkuu wa utumishi wa umma kutoka nchini Kenya Felix Koskei ametoa uamuzi wa kuwasimamisha maafisa 27 kwa kuingiza sokoni sukari ilio haribika dhidi ya mdhibiti mkuu wa viwango....
Watu wenye silaha kali nchini Nigeria wameshambulia msafara wa magari ya Marekani siku ya jana jumanne katika jimbo la kusini mashariki mwa nchi hiyo eneo la Anambra.
Po...
Shirika la Kimataifa la Kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limesema katika ripoti yake kuwa idadi ya watu waliouawa kwa kunyongwa ulimwenguni kote mwaka uliopi...
Niaje wanetu sana naeleweka mko njema sana tunakutana tena this weekend kukujuza za ndani kabisa hasa katika segment hii ya kazi, binafsi mimi napendaga fursa bila shaka hata ...
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametanga kuwa serikali inaongeza mishahara ya wafanyakazi wake kwa asilimia 45, na hii ni siku tano kabla ya uchaguzi mkuu.
Kura za maoni ...
Mambo vipi!!!wanetu sana najua mko swalama kabisa kama kawaida yetu sisi lengo letu mahususi kabisa ni kukuhabarisha ya usio yajua na unayo yasikia basi mwananchi scoop inakuj...
Kiongozi Mkuu wa Kanisa la katoliki nchini Ufaransa Papa Francis amechukua uamuzi wa kumtimua Padri Wenceslas Munyeshyaka mzaliwa wa Rwanda ambaye alikuwa akitumikia kanisa hi...
Serikali imewasimamisha kazi watendaji 7 wanaofanya kazi uwanja wa taifa (Benjamin Mkapa stadium) ambapo walisimamishwa kazi kutokana na hitilafu ya umeme iliyojitokeza katika...