20
Tabu za Taarabu na taratibu za Dunia ya Yutyubu
Taarab katika ubora wake haikuhitaji promo na kelele nyingi kwenye vyombo vya habari. Taarab ilijiuza kwa sababu ina njia zake ambazo ni za kipekee sana. Ni muziki wenye dunia...
04
Aliyekuwa akishikiria rekodi ya kuwa mzee zaidi afariki dunia
Mwanaume mmoja aitwaye Juan Vicente Perez Mora, kutoka nchini Venezuela ambaye pia alikuwa akishirikiria rekodi ya kuwa mwanamume mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na m...
01
Michael Jackson alipokutana na hayati Mwinyi Dar
Kwenye picha ni hayati Mzee Mwinyi akiwa na mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson alipotembelea nchini Tanzania mwaka 1992.Michael alifika Tanzania siku ya Jumatano, Februar...
01
Mastaa wamlilia hayati Mzee Mwinyi
Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
01
Baba mzazi wa Bacca atua Dar kumshuhudia mwanaye
Baba mzazi wa mchezaji wa ‘Klabu’ ya Yanga, Ibrahim Bacca mzee Abdallah Hamad tayari amewasili Dar es salaam akitokea kisiwani Zanzibar kwa ajili ya kuishuhudia &l...
05
Bwax: Mimi ndiye msanii mkubwa wa singeli Tanzania
Msanii wa muziki wa singeli nchini Mzee wa Bwax amedai kuwa yeye ndiye msanii mkubwa wa singeli Tanzania amesema hayo baada ya kuitwa katika tamasha la Wasafi Festival. Mzee w...
02
Kijana akamatwa kwa kupigana na mzee wakigombania kiti
Kijana wa miaka 27, Jesse Montez Thorton atiwa mikononi mwa polisi kwa kupigana na mzee wa miaka 63 wakati wakigombania kiti kweye Ukumbi wa Sinema uliopo Pompano Beach, Flori...
27
Vyakula vya kuzingatia ukifikisha miaka 40 na zaidi
Wanasemaga uzee mwisho Chalinze mjini kila mtu kijana, sasa bwana kama unahitaji kuendelea kuwa kijana ungana nasi ili uweze kupata elimu kuhusiana na vyakula gani vitakufanya...
08
Kobe mzee duniani asheherekea kutimiza miaka 190
Kobe mwenye umri mkubwa zaidi duniani alietambulika kwa jina la Jonathan amesherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 190. Jonathan anadhaniwa kuzaliwa mwaka 1832 n...
07
Kiduku afunguka kuhusiana na pambano lake
Weeeuweeeh! Mzee wa show show bwana kama kawaida yake hanaga mbambamba ameweka wazi kuhusiana na pambano lake analotarajia kulifanya hivi karibuni na kuwaahidi mashabiki kutow...
02
Mayele yupo yanga mpaka 2024
Wananchiiiiiii! Wenye wanakamsemo kao wanakwambia tabu ipo pale pale, Mshambuliaji wa Yanga SC Raia wa Congo DR Fiston Mayele au mzee wa kutetema ameongeza mkataba wa kusalia ...
31
Mtoto wa mzee Mwinyi afariki
Kwa taarifa zilizotufikia hivi punde kutoka katika ukurasa rasmi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan kutoa salamu za pole kwa mzee Mwinyi kwa kufiwa...
09
Mzee wa buga kweli ni jipu, angalia matukio alioyafanya mwaka huu
Alooooweeeeh! Alooooohtenaaah! Jamani jamani kumbe kijana wa buga yuko fire kwenye haya matukio kama unavyotujua watu wa bongo yani hatunaga mba mba mba tayari watu washafukua...
09
Wolper: Nimependa alichokifanya mzee wa Buga
Aloooooooooooh! Mama k nae yuko moto bwana hajamua kukaa kimya kwa hili lililo tokea jana la gumzo la mwanamziki anaetamba na nyimbo yake ya Buga ambayo inafanya vizuri kupiti...

Latest Post