Mtoto wa rais wa Uganda Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Jenerali wa Jeshi, kupitia ukurasa wake wa Twitter amethibitisha kugombea kiti cha Urais wa N...
Mgombea wa chama tawala Bola Tinubu ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliokumbwa na utata mkubwa nchini Nigeria. Mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka...
Taarifa kutoka nchini Kenya ambapo Kapteni Paul Rukaria, amefungua mashtaka dhidi ya Rais William Ruto na Mwanasheria Mkuu wa Serikali akipinga kutenguliwa Uenyekiti wa B...
Taarifa kutoka nchini Nigeria ambapo mke wa Rais nchini humo, Aisha Buhari amewataka wadukuaji kuondoa taarifa za Uongo walizoweka kwenye kurasa zake za Instagram na Face...
Mke wa Rais wa Marekani Jill Biden anatarajiwa kufanya Ziara nchini Namibia na Kenya siku ya Jumatano anapoanza ziara yake ya siku tano barani Afrika.
Ikulu ya White House ili...
Aliyekuwa Rais wa zamani nchini Pakistan Pervez Musharraf ambaye alishiriki Mapinduzi ya Kijeshi Mwaka 1999 amefariki akiwa na umri wa Miaka 79 alipokuwa akipatiwa Matibabu&nb...
Rais nchini Zambia, Hakainde Hichilema amewataka raia wa nchi hiyo kuacha kuchunguza simu za wenzi wao na maoni hayo yamekuja kwa kujaribu kupunguza viwango vya talaka nchini....
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Merrick Garland amemteua Mchunguzi maalumu kuchunguza tukio la kupatikana kwa nyaraka za siri katika makazi ya Rais Biden yaliyoko Wilm...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema mapigano bado yanaendelea kwenye mji muhimu mashariki mwa nchi hiyo wa Soledar ambao mamluki wa kundi binafsi la ulinzi kutoka Urusi...
Kutoka nchini Brazil ambapo waandamanaji waliokamatwa ni wafuasi wa Rais aliyepita, JairBolsonaro ambao walivamia Bunge, Mahakama ya Juu na Ikulu Jijini Brasili...
Saa chache baada ya kuapishwa kwake, Rais mpya wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva, anatarajiwa kuhudhuria hafla ya kumuaga nguli wa soka wa taifa hilo Pele.
Kiongozi huyo mpy...
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amefuta sheria ya hukumu ya kifo na pia amebadili sheria ya ukosoaji wa Kiongozi wa Nchi kuwa kosa linaloadhibiwa kisheria. Kupitia mabadili...
Akihotubia Bunge, Rais wa Mozambique, Filipe Nyusi amesema anafuta nyongeza ya mshahara wa 13 kwa wafanyakazi, hatua hiyo imesababishwa na changamoto za kiuchumi na ...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa taarifa leo kuwa yuko safarini kuelekea nchini Marekani ambako atakutana kwa mazungumzo na Rais Joe Biden kwa lengo la kile alichosem...