16
Mtoto wa museveni atangaza nia ya urais 2026
Mtoto wa rais wa Uganda Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Jenerali wa Jeshi, kupitia ukurasa wake wa Twitter  amethibitisha kugombea kiti cha Urais wa N...
01
Tinubu atangazwa mshindi wa urais Nigeria
Mgombea wa chama tawala Bola Tinubu ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliokumbwa na utata mkubwa  nchini Nigeria. Mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka...
23
Mwanajeshi mstaafu amshtaki Rais Ruto
Taarifa kutoka nchini Kenya ambapo Kapteni Paul Rukaria, amefungua mashtaka dhidi ya Rais William Ruto na Mwanasheria Mkuu wa Serikali akipinga kutenguliwa Uenyekiti wa B...
22
Mke wa Rais alalamika account zake kudukuliwa
Taarifa kutoka nchini Nigeria ambapo mke wa Rais nchini humo, Aisha Buhari amewataka wadukuaji kuondoa taarifa za Uongo walizoweka kwenye kurasa zake za Instagram na Face...
22
Mke wa Biden aanza ziara yake nchini Kenya na Namibia
Mke wa Rais wa Marekani Jill Biden anatarajiwa kufanya Ziara nchini Namibia na Kenya siku ya Jumatano anapoanza ziara yake ya siku tano barani Afrika. Ikulu ya White House ili...
06
Mwili wa rais wa zamani Pakistani kurejeshwa nyumbani
Aliyekuwa Rais wa zamani nchini Pakistan Pervez Musharraf ambaye alishiriki Mapinduzi ya Kijeshi Mwaka 1999 amefariki akiwa na umri wa Miaka 79 alipokuwa akipatiwa Matibabu&nb...
23
Rais Hakainde: Acheni kupeleleza simu za wapenzi wenu
Rais nchini Zambia, Hakainde Hichilema amewataka raia wa nchi hiyo kuacha kuchunguza simu za wenzi wao na maoni hayo yamekuja kwa kujaribu kupunguza viwango vya talaka nchini....
13
Rais Biden kuchunguzwa kwa kukutwa na nyaraka za siri
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Merrick Garland amemteua Mchunguzi maalumu kuchunguza tukio la kupatikana kwa nyaraka za siri katika makazi ya Rais Biden yaliyoko Wilm...
12
Rais wa Ukraine asema hatma ya mji wa Soledar
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema mapigano bado yanaendelea kwenye mji muhimu mashariki mwa nchi hiyo wa Soledar ambao mamluki wa kundi binafsi la ulinzi kutoka Urusi...
10
Waandamanaji 1500 wanaopinga matokeo ya Urais wakamatwa
Kutoka nchini Brazil ambapo waandamanaji waliokamatwa ni wafuasi wa Rais aliyepita, JairBolsonaro ambao walivamia Bunge, Mahakama ya Juu na Ikulu Jijini Brasili...
02
Rais mpya wa Brazil kuhudhuria hafla ya kumuaga nguli wa soka Pele
Saa chache baada ya kuapishwa kwake, Rais mpya wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva, anatarajiwa kuhudhuria hafla ya kumuaga nguli wa soka wa taifa hilo Pele. Kiongozi huyo mpy...
26
Rais wa Zambia afuta hukumu ya kifo
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amefuta sheria ya hukumu ya kifo na pia amebadili sheria ya ukosoaji wa Kiongozi wa Nchi kuwa kosa linaloadhibiwa kisheria. Kupitia mabadili...
21
Rais Nyusi afuta nyongeza ya mshahara wa 13 kwa wafanyakazi
Akihotubia Bunge, Rais wa Mozambique, Filipe Nyusi amesema anafuta nyongeza ya mshahara wa 13 kwa wafanyakazi, hatua hiyo imesababishwa na changamoto za kiuchumi na ...
21
Rais Volodymyr Zelensky kufanya ziara nchini Marekani
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa taarifa leo kuwa yuko safarini kuelekea nchini Marekani ambako atakutana kwa mazungumzo na Rais Joe Biden kwa lengo la kile alichosem...

Latest Post