04
Wema sepetu: Filamu za tanzania hazitakuwa kama zamani tena
Baada ya mwigizaji mkongwe na aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu kufika nchini Korea kwa ajili ya ziara ya mafunzo kuhusiana na mswala mazima ya tasnia ya ui...
02
Diddy akifurahia maisha Wyoming
Wakati baadhi ya wadau wakisubiria mkali wa Hip-hop Diddy akamatwe kufuatia na shutuma zinazomkabili za unyanyasaji wa kingono, sasa msanii huyo ameonekana akiendelea kufurahi...
01
Tolani adai kutishiwa maisha na mashabiki wa Wizkid
Mwingizaji na nyota wa Big Brother Naija, kutoka nchini Nigeria, Tolani Baj amedai kutishiwa maisha na mashabiki wa #Wizkid. Tolani ameyasema hayo katika kipindi cha ‘Ba...
28
Mr Ibu azikwa, fahamu zaidi kuhusu maisha yake
Marehemu mwigizaji kutoka Nigeria John Okafor (62) maarufu Mr Ibu ambaye alifariki Machi 2, 2024 tayari amezikwa katika mji aliozaliwa wa #Amuri, Jimbo la #Enugu nchini humo.I...
27
Sanamu layeyuka kisa joto kali
Sanamu la aliyewahi kuwa rais wa Marekani na mwanasheria Abraham Lincoln lililopo Washington DC, limeripotiwa kuyeyuka huku sababu ikitajwa ni joto kali nchini humo ambapo mpa...
26
Simi aungana na Wakenya, Aumizwa na waliopoteza maisha
Mwanamuziki maarufu nchini Nigeria, #Simi, ametoa sauti yake katika maandamano ya kupinga ongezeko la kodi yanayoendelea nchini Kenya ambapo amedai kuwa inahuzunisha watu kupo...
24
Mke wa Jay Blades adai talaka
Mke wa wa mtangazi wa ‘The Repair Shop’ kutoka nchini Ungereza #JayBlades, #LisaMarieZbozen amepanga kudai talaka haraka baada ya kuona hakuna njia yeyote ya kuend...
22
Batshuayi atishiwa maisha kisa Galatasaray
Staa wa zamani wa Chelsea, Michy Batshuayi ameripotiwa kukumbana na ‘meseji’ za vitisho vya maisha baada ya uhamisho wa Galatasaray.‘Fowadi’ huyo mweny...
16
Kajala: Maisha ni yangu mazishi ya kwenu
Mwigizaji wa Bongo movie #KajalaMasanja amewatolea povu watu wanaofuatilia na kutaka kumuharibia jina lake amedai kuwa maisha ni yake ila mazishi ni yao. Kajala ameyasema hayo...
10
Head Master, Afunguka wachekeshaji wa zamani kukosa soko, Amtaja Joti
Na Aisha Charles Ni wazi kuwa baadhi ya vijana wameendelea kujipatia umaarufu na kipato kupitia sanaa ya vichekesho, kati ya vijan...
27
Biashara ya saa, mabegi, ilivyobadilisha maisha ya Swabri
Kama tulivyokubaliana katika makala zetu za nyuma kuwa katika upande wa biashara sasa tumeamua kuwasogeza vijana na wachakarikaji ambao wanaendesha maisha yao kupitia biashara...
15
Aliyembaka mwanaye na kumzalisha ahamishwa gereza
Mahakama nchini Austria imeidhinisha mfunguwa Josef Fritzl (89) aliyembaka binti yake na kumzalisha watoto saba kuhamishwa gereza baada ya tabia yake kubadilika. Inaelezwa kuw...
27
Ashinda taji la Miss Universe akiwa na miaka 60
Mwanamke mmoja kutoka nchini Argentina anayefahamika kwa jina la Alejandra Rodriquez, amezua gumzo mitandaoni baada kushiriki mashindano ya Miss Universe akiwa na miaka 60 na ...
04
Aliyekuwa akishikiria rekodi ya kuwa mzee zaidi afariki dunia
Mwanaume mmoja aitwaye Juan Vicente Perez Mora, kutoka nchini Venezuela ambaye pia alikuwa akishirikiria rekodi ya kuwa mwanamume mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na m...

Latest Post