28
Naira adai kurudi Nigeria akihakikishiwa usalama wa maisha yake
Baada ya msanii kutoka nchini Nigeria, Naira Marley kushutumiwa kuhusika na kifo cha msanii mwenzie MohBad na wananchi kutoka nchini humo, msanii huyo ameweka wazi kuwa yupo t...
25
Tory ahofia kupoteza maisha akiwa gerezani
Ikiwa ni takribani wiki moja tangu msanii wa Hip-hop kutokea nchini Marekani Tory Lanez aanze kutumikia rasmi kifungo cha miaka 10 katika gereza la North Kern State  lili...
15
Ibraah adai anapitia maisha magumu kwenye sanaa
Mwanamuziki Ibraah ameweka wazi kuwa anapitia maisha magumu kwa sasa kwenye upande wa sanaa, bila kusema kinachopelekea apitie hayo, Ibra amedai anawapenda sana mshabiki wake ...
28
Mwanamuziki dayoo aeleza kupotezana na baba yake, Safari ya kumtafuta, Ugumu wa maisha, Mafanikio ya muziki wake
Nisikuchoshe wala nisijichoshe burudani imepata waburudishaji na waburudikaji, week hii tupo na Mangi haha ukisikia naitwa “...
23
Cr7: Nitakuwa na mama yangu kila wakati
 Mchezaji kutoka ‘klabu’ ya #Al-Nassr, Cristiano Ronaldo ameeleza sababu ya kutomjengea mama yake na badala yake anaishi naye licha ya kuwa na utajiri wakutos...
21
Zuchu: Muheshimiwa anaimba ‘Honey’, Acheni kuwa serious na maisha
Mwanamuziki #Zuchu amewataka watu waache kuwa serious sana na maisha badala yake waburudike na wimbo wake wa #Honey unaozidi kufan...
17
Bibi wa miaka 84 aliyechagua rangi ya kijani kuendesha maisha yake
Imekuwa jambo la kawaida kwa wanawake na mabinti kuvutiwa na rangi ya ‘Pinki’ huku baadhi yao wakipendelea kuwa na vitu vya rangi hiyo kwa madai ya kuwa inawapa mu...
15
Davido: Albamu ya timeless imebadilisha maisha yangu
Mwanamuziki kutoka Nigeria, #Davido amefunguka kuwa albamu yake mpya aliyoiachia mwanzoni mwa mwaka huu ya Timeless imebadilisha maisha yake. Hii inakuja baada ya kuulizwa swa...
14
Harmonize: Nikiwaonesha maisha mazuri haina maana kuwa nawatambia
Mwanamuziki Harmonize wakati akiwakumbusha mashabiki wake ujuo wa single again remix anayotarajia kutoa na @rugerofficial amedai kuwa akionesha maisha ya kifahari anayoishi ha...
01
Roma: Maisha yana siri simama na Mungu
“Unaweza ukapambana Kutafuta pesa Kwa miaka mingi ukamwaga jasho machozi na damu….Ukabahatika Kupata Hata 100M, ukasema Sasa Nianze kujijenga kimaisha, hapo hapo ...
27
Raya: Sijaja kwenye maisha ya Barnaba kwa bahati mbaya
Raya ambaye ni mke wa mwanamuziki Barnaba Classic kupitia mahojiano yake na moja ya chombo cha habari amefunguka na kueleza kuwa hakuingia kwenye maisha ya barnaba kwa kukurup...
18
Romyjons: Diamond anamaisha ya watu wengi nyuma yake
Kaka wa nyota wa muziki nchini #Romyjons, ameendelea kuonesha upendo kwa dua zake dhidi ya #Diamond, kwa kumuombea maisha marefu. Kwenye dua hizo #Romy ameomba Mungu kumbariki...
15
Maisha ya mtaani baada ya kumaliza vyuo vikuu
Na Magreth Bavuma Ouyah!! wanangu wa moyoni eeeeh mambo ni gani, it’s another blessed week karibu nyumbani “unicorner” Tuone ni nini kona yetu imebeba, dua y...
22
Madee atangaza kuacha muziki
Mwanamuziki mkongwe wa Hip Hop, Hamadi Ally Seneda maarufu kama Madeeali ametangaza rasmi kuachana na muziki baada ya kuufanya kwa miaka 20. Kupitia mitandao yake ya kijamii m...

Latest Post