Ripoti mpya ya Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu Kenya (KNBS) imebaini kuwa Wanaume Wakenya wana wastani wa wapenzi (7) katika maisha yao huku wanawake wakiwa na wastani wa wapenzi ...
Mahakama ya Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha imemuhukumu kifungo cha maisha, John Sanare Lukuaya Mkazi wa Kijiji cha Kimnyaki, kwa kosa la kumbaka Mtoto wa miaka mitatu na miez...
Hahhahaha! Make hapa kwanza ncheke, natumai ni wazima wa afya watu wangu wa nguvu, leo basi katika UniCorner tumekuja na mada konki kabisa, I hope wengi wenu itawajenga zaidi ...
Msanii maarufu wa muziki wa rap wa Marekani 50 Cent ametangaza kuwa anatengeneza msururu wa vipindi vya televisheni (series) kuhusu maisha ya mfungwa - Mnigeria na tapeli ...
Niaje wanangu wa vyuo mbalimbali, hii ni yenu sasa. Kama kawaida yetu katika segment ya UniCorner tumekusogezea mada ambayo kama kweli wewe una akili basi utaelewa lakini ukif...
Na Habiba MohammedEbwanaa mambo vipi? Basi bhana kwenye mitandao ya kijamii kumetaradadi sio powa, staa wa bongo movie Steve Nyerere ameandika ujumbe kuntu kama tunavyojuaga y...
Oooooohoooooh! I hope mko good sana watu wangu wa nguvu haya sasa leo kwenye mahusiano yani kama kawaida yetu tunakuletema mada ambazo zitakujuza mambo kadha wa kadha.
Wewe ki...
Alooooo! Mapema leo kupitia ukurasa wake wa instagram yule kaka wa mwanamuziki mashuhuri ndani na nje ya nchi Diamond, Romyjons ambae pia ni msanii ameandika ujumbe kuntu sana...
Aisee kutoka moja kwa moja kwenye ukurasa wa Instagram wa Muigizaji Shamsa Ford Kwenye ameachia ujumbe huu mzito akiwasihi watu kuishi kwenye uhalisia wao.
''...
Ndugu yangu msomaji hapo ulipo unakabiliwa na changamoto katika maisha na ujui utawezaje kukabiliana nazo?
Je ukikabiliwa na changamoto hizo unatafuta njia za kuweza kuzitatua...
Leo katika Karia tunazo funguo za kukusaidia wewe Mwanachuo kupata maarifa watakayokufanya ufanikiwe kimaisha pindi bado upo chuoni.
Nikuweke wazi tu kwamba unaweza kufanikiwa...
Moja ya story iliyozuwa gumzo katika mitandao ya kijamii ni kauli aliyoitoa msani wa hip hop na Mkuu wa Wilaya ya Kisaware Nikki wa Pili.
Nikki amefunguka na kusema kuwa maish...
Mpendwa msomaji wetu leo katika karia tumekusogezea siri ya maisha na kukusisitizia kwamba maisha hayana kanuni lakini yana siri nyingi.
Jongea nasi kuzijua siri hizo…&...