03
Mauzo ya simu za Iphone yashuka duniani
Mauzo ya simu za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple yameshuka duniani kote kwa asilimia 10 katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2024.Hayo yamebainishwa na utafiti u...
09
Huyu ndiye siri wa kwenye Iphone
Imekuwa kawaida kwa watumiaji wa iPhone kuhitaji baadhi ya usaidizi kutoka kwa Siri, kama vile kumuuliza maswali. Hivyo basi kutana na Susan Bennett, ambaye ndiye mwenye sauti...
13
Fahamu kazi ya mistari iliyopo kwenye pini za earphone
Imekuwa jambo la kawaida kukutana na mtu akiwa amevaa earphone masikioni mwake kwa ajili ya kuzuia sauti anayosikiliza isisikiwe na wengine. Lakini wakati wa ununuzi wa vifaa ...
06
Apple kuwalipa watumiaji wa iphone za zamani
Kampuni ya Apple inatakiwa kuwalipa watumiaji wa simu za iphone za zamani nchini Canada baada ya watumiaji kushinda kesi ya Batterygate kesi ambayo ilikuwa inaonesha kampuni h...
10
Apple yafikisha bidhaa 2.2 bilioni zinavyotumika duniani
Katika taarifa yake na vyombo vya habari Mkurugenzi Mtendani kampuni ya Apple, Tim Cook ameeleza kuwa mpaka kufikia Januari walipozingua ‘Vision Pro’ kampuni hiyo ...
29
Sasa Iphone kama Android
Baada ya watumiaji wa simu za Iphone kushindwa kupakuwa (download) application mbalimbali nje ya App Store, hatimaye kampuni ya simu hizo imefanya mabadiliko. Kampuni ya Apple...
25
Wanaochangia earphone hatarini kupata fangasi za masikio
Dar es Salaam. Kutokana na maendeleo ya teknolojia, kumekuwa na uzalishaji wa vitu vingi vyenye kurahisisha maisha ambavyo awali havikuwepo, huku wataalamu wa masuala hayo wak...
17
Mbinu ya kuskiliza voice note, bila watu wa pembeni kuskia kitu
Wapo baadhi ya watumiaji wa mtandao wa WhatsApp wamekuwa wakipata shida kusikiliza Voice Note wanazotumiwa wakiwa mbele za watu kwa kuhofia jumbe zao kusikiwa na watu wa pembe...
08
Ommy Dimpoz: Kama hauna i phone 15 usinisalimie
Msanii wa muziki nchini #OmmyDimpoz ame-share video katika InstaStori yake akionyesha simu yake mpya ya I phone 15 na kuandika ujumbe wa matani akiwaambia watu kama hawana ain...
23
Umati wa watu wafurika kununua Iphone 15
Ikiwa jana ndiyo siku rasmi ambayo simu za Iphone 15 zilianza kuuzwa kwenye maduka mbalimbali maarufu duniani, umati wa watu wamejitokeza kwenye duka la ‘kampuni’ ...
13
Sababu ya Apple kubadili mfumo wa ‘chaji’
Baada ya kampuni ya Apple kuzindua toleo jipya la Iphone 15 na kueleza kuwa simu hiyo haitatumia tena ‘chaji’ iliyozoeleka katika simu hizo na baada yake Iphone hi...
12
Son aomba radhi kukataa kushika Iphone, Akilinda mkataba wake
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Tottenham Hotspurs, Heung Min-Son ameomba radhi kwa shabiki aliyemuomba kupiga naye picha na kisha kukataa kuishika simu ya shabiki huyo ain...
09
Microphone aliyorusha Cardi B kwa shabiki yapata mteja
Hatimaye microphone iliyorushwa kwa shabiki na Cardi B mwishoni mwa mwezi uliyopita imepata mteja siku ya jana , ambapo imenunuliwa kwa dola 100, 000 ambayo ni zaidi ya Tsh 24...
03
Microphone aliyorusha Card B kwa shabiki yaingizwa sokoni
Microphone aliyorusha Cardi B kwa lengo la kumpiga shabiki yaingizwa sokoni kupigwa mnada kwa gharama ya juu. Tarehe 29 wakati Card B aki-perform kwenye onyesho Las Vegas, sha...

Latest Post