Ikiwa jana ndiyo siku rasmi ambayo simu za Iphone 15 zilianza kuuzwa kwenye maduka mbalimbali maarufu duniani, umati wa watu wamejitokeza kwenye duka la ‘kampuni’ ...
Baada ya kampuni ya Apple kuzindua toleo jipya la Iphone 15 na kueleza kuwa simu hiyo haitatumia tena ‘chaji’ iliyozoeleka katika simu hizo na baada yake Iphone hi...
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Tottenham Hotspurs, Heung Min-Son ameomba radhi kwa shabiki aliyemuomba kupiga naye picha na kisha kukataa kuishika simu ya shabiki huyo ain...
Hatimaye microphone iliyorushwa kwa shabiki na Cardi B mwishoni mwa mwezi uliyopita imepata mteja siku ya jana , ambapo imenunuliwa kwa dola 100, 000 ambayo ni zaidi ya Tsh 24...
Microphone aliyorusha Cardi B kwa lengo la kumpiga shabiki yaingizwa sokoni kupigwa mnada kwa gharama ya juu.
Tarehe 29 wakati Card B aki-perform kwenye onyesho Las Vegas, sha...
Ikiwa zimepita siku chache baada ya mtandao wa Twitter kufanyiwa mabadiliko kwenye upande wa Logo yake kutokana na mmliki mpya wa mtandao huo Elon Musk kutaka kuanza upya kwa ...
Kampuni ya kutengeneza iPhone Foxconn inaweka dau kubwa kwenye magari yanayotumia umeme na kufikiri upya mahusiano kati ya Marekani na China.
Katika mahojiano maalum, mwenyeki...
Hellow! I hope mko pouwa watu wangu wa nguvu, tualikane basi hayo mabiriani sio mle wenyewe, au ndo mpaka tuongee kiarabu hahahah! (Jokes), kama kawaida katika kulizonge...
Aloooooweeeh! Aloootenaaa! Sijui tuseme wiki hii ni wiki ya mwamba La Pulga au Messi kuupiga mwingi kwa kuwazawadia wachezaji wake na benchi la ufundi kwa kuwapatia simu za ip...
Oooooh! Haya haya kumekucha kumekuchwa wale vipenzi vya apple phone kuna ujumbe wenu hapa, basi bwana unaambiwa Simu mpya za iPhone 14 zimeanza kuuzwa rasmi nchini Tanzania le...
Eeebwana eeeh mambo vipi kijana mwenzangu! Hivi ukihitaji kununua simu mpya unafahamu vigezo vya kuangalia kabla hujafanya maamuzi? Usiogope ni mambo madogo tu chukua hii hapa...
Yees! Mambo vipi mdau wa kipengele cha smartphone kama kawaida kila jumatano huwa tunajifunza mambo mbalimbali yanayohusu simu zetu.
Leo bwana nimekuandalia dondoo inayohusu j...
Mambo niaje! msomaji wa Mwananchi Scoop? Leo kwenye kipengele cha Smartphone bwana nakuletea namna simu janja zinavyotengenezwa bwana au sio fuatilia dondoo hii ili uweze kuji...
Ebwanaa eeh!! mambo vipi hivi unajua kama kila kukicha smartphone yako ina uwezo wa kufanya mambo kadha wa kadha ?.
Je unafahamu jinsi ya kuficha chats zako za whats up?leo kw...