Shirika la Afya duniani (WHO) limetaja nchi ambazo zimeathirika na ugonjwa wa kipindupindu, ambapo shirika hilo limesema kuwa ugonjwa huo umeenea duniani kote, haswa barani Af...
Hehehehe! Nyie nyie nani kasema wanawake hawawezi, basi bwana bondia mwanamke kutoka nchini Tanzania Stumai Muki ameshinda katika pambano la ngumi, dhidi ya Chimwe...
Watu saba kutoka kaya nne tofauti wamefariki baada ya kula nyama ya samaki aina ya kasa anayesadikiwa kuwa na sumu.
Kaimu RPC Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Canute Msacky amesema tu...
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na Wanaharakati wa Masuala ya Kijinsia wamependekeza Marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20 ili iweze ...
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini REA, Hassan Said, amesema Mradi mkubwa unaoendelea wa Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili utapeleka huduma ya ...
Ndugu na jamaa wa Mtanzania Nemes Tarimo aliyefariki nchini Ukraine wamepokea mwili wa kijana huyo leo alfajiri katika uwanja wa ndege, Jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa fam...
Ikiwa una wasiwasi juu ya kuwajibika kwenye kazi, pongezi. Ukweli tu kwamba una wasiwasi juu yake hukuweka mbele ya mfanyakazi mwenza mvivu, bosi hayupo, na watu wengine wote ...
Haya haya kama kauli mbiu yetu inavyosema hakuna kukaa kilelemama ni kufanya biashara tu, hakuna kumuogopa mtu wala kiumbe yoyote kukukatisha tamaa, sasa week hii tumekusogeze...
Alooooooooh! Kumbe jana wananchi walikuwa katika hali mbaya hivyo na hamkusema watu niwasiri sana, basi bwana yule mzee wa kuwakera Bernard Morrison(BM 3) ameeleza kuwa alijua...
Utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya kuhusu Afya ya Kinywa Nchini umeonesha zaidi ya Watu wazima Milioni 47 wameoza Meno na chanzo kikuu ni kutosafisha kinywa ipasavyo(vizuri)...
Oooooh! Haya haya kumekucha kumekuchwa wale vipenzi vya apple phone kuna ujumbe wenu hapa, basi bwana unaambiwa Simu mpya za iPhone 14 zimeanza kuuzwa rasmi nchini Tanzania le...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya, William Ruto wamekubaliana na kuagiza watunga sera na watendaji kuhakikisha wanaondoa vikwazo 14 vya biashara baina ya ...
Niaje wanangu wa faida? Manake hapo kwanza nicheke, 'asiyefunzwa na mamae atafunzwa na ulimwengu,' sio maneno yangu hayo ni maneno ya waswahili na hao walimwengu sasa ni Watan...