29
Video ya mateso aliyopitia Celine Dion dhidi ya ugonjwa wake
Baada ya mwanamuziki kutoka Marekani Celine Dion kuachia ‘trela’ ya filamu yake huku ikiteka vichwa vya habari baada ya kuonekana akimwaga machozi, hatimaye filamu...
19
Mume wa Simi afunguka kuwa na ugonjwa wa ‘Sickle Cell’
Mume wa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Simi, #AdekunleGold amefunguka kuwa na ugonjwa wa Sickle Cell ambapo ameweka wazi kuwa umekuwa ukimsumbua kwa muda mrefu. Tovuti ya ...
11
Ugonjwa wa Celine Dion ulimuanza mwaka 2008
Mwanamuziki wa Canada Celine Dion, ameweka wazi kuwa ugonjwa aliokuwa nao wa ‘Stiff Person Syndrome’ ulianza kumsumbua toka mwaka 2008. Dion ameyasema hayo wakati ...
17
Mwili wa O.J. Simpson kuchomwa moto
Mwili wa aliyekuwa mwanamichezo wa zamani ambaye pia alikuwa mwigizaji kutoka nchini #Marekani O. J. Simpson utachomwa moto baada ya kukamilisha taratibu za shughuli za mazish...
28
Siku kama ya leo Smith alimchapa kofi Chris Rock
Tarehe na mwezi kama wa leo miaka miwili iliyopita dunia ilishuhudia kile kilichoitwa utovu wa nidhamu baada ya mwigizaji Will Smith kumchapa kofi mchekeshaji ambaye pia ni mw...
09
Mtangazaji afichua kusumbuliwa na cancer akiwa live
Mtangazaji wa CNN aitwaye #SaraSidner ameweka wazi kuwa anasumbuliwa na saratani ya matiti wakati akiwa live kwenye kipindi cha asubuhi. #Sara amefichua ugonjwa huo kwa lengo ...
23
Wanaolala zaidi weekend hujiepusha na ugonjwa wa moyo
Utafiti wa hivi majuzi uliochapishwa katika jarida la Afya unaeleza kuwa kulala zaidi siku za weekend kunaweza kuboresha afya ya moyo na mishipa, hasa kwa wale wanaolala chini...
19
Kanye adai anadalili za ugonjwa wa akili
Mwanamuziki na mwanamitindo Kanye West amedai kuwa anadalili za ugonjwa wa akili ambazo zilisababishwa na ajali aliyoipata Oktoba, 2002. Kanye alimtumia rafiki yake wa karibu ...
04
Ugonjwa wa ajabu wawakumba wanafunzi wa kike Kenya
Ugonjwa wa ajabu wa maumivu katika magoti na kushindwa kutembea umewakumba wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Eregi iliyopo Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambapo...
05
Claudette: Ugonjwa wa Celine Dion hauna dawa
Dada wa mwanamuziki maarufu duniani Celine Dion, anaye fahamika kama Claudette Dion, kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni amedai kuwa hakuna dawa yoyote itakayoweza kumfany...
10
Kunywa bia kunasaidia kujilinda na magonjwa ya moyo
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeshauri jamii kupenda kufanya mazoezi, kupunguza kula vyakula vya sukari, wanga na kusisitiza kwa wanywaji wa bia, kunywa angalau t...
08
Fahamu zaidi kuhusu ugonjwa wa saratani ya koo (part 2)
Na Elizabeth Malaba Ooooiiih! Niaje niaje watu wangu wa nguvu, kama kawaida afya ndo jambo la muhimu katika maisha haya, sasa tunaendelea pale tulipo ishia katika suala zima l...
02
Fahamu zaidi kuhusu ugonjwa wa saratani ya koo
Na Elizabeth Malaba Saratani ya koo ni miongoni mwa magonjwa hatarishi na unaoshika kasi kuathiri watu na hata kusababisha kifo. Ingawa baadhi ya wagonjwa wa saratani ya koo w...
17
Fahamu zaidi kuhusu ugonjwa wa kifafa cha mimba
Na Elizabeth Malaba Hello!! Mambo niaje my people, I hope mko poa kama kawaida hatunaga shaka inapofikia swala la kukupa nondoo za Afya, kama kawaida tupo hapa kujuzana kuhusi...

Latest Post