Mwanamuziki na mwanamitindo Kanye West amedai kuwa anadalili za ugonjwa wa akili ambazo zilisababishwa na ajali aliyoipata Oktoba, 2002.
Kanye alimtumia rafiki yake wa karibu ...
Ugonjwa wa ajabu wa maumivu katika magoti na kushindwa kutembea umewakumba wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Eregi iliyopo Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambapo...
Dada wa mwanamuziki maarufu duniani Celine Dion, anaye fahamika kama Claudette Dion, kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni amedai kuwa hakuna dawa yoyote itakayoweza kumfany...
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeshauri jamii kupenda kufanya mazoezi, kupunguza kula vyakula vya sukari, wanga na kusisitiza kwa wanywaji wa bia, kunywa angalau t...
Na Elizabeth Malaba
Ooooiiih! Niaje niaje watu wangu wa nguvu, kama kawaida afya ndo jambo la muhimu katika maisha haya, sasa tunaendelea pale tulipo ishia katika suala zima l...
Na Elizabeth Malaba
Saratani ya koo ni miongoni mwa magonjwa hatarishi na unaoshika kasi kuathiri watu na hata kusababisha kifo. Ingawa baadhi ya wagonjwa wa saratani ya koo w...
Na Elizabeth Malaba
Hello!! Mambo niaje my people, I hope mko poa kama kawaida hatunaga shaka inapofikia swala la kukupa nondoo za Afya, kama kawaida tupo hapa kujuzana kuhusi...
Msaani wa miondoko ya Hip-Hop, Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay ameonekana akiwa studio akirekodi nyimbo ikiwa ni baada ya mwaka mmoja tangu atoe nyimbo ya “Hands U...
Na Shufaa Nassor
Hellow!!! I hope mko pouwaah, mimi kila siku niko hapa kuelekezana kuhusiana na maswala mazima ya Afya hususani ya wanawake, maana wengi wenu mnanitambua kama...
Watu tisa wamefariki na wengine zaidi ya 80 kulazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana katika kaunti ya Marsabit kaskazini mwa Kenya.
Msimamizi wa eneo hi...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia leo tarehe 4 April 2023, jumla ya waliougua ugonjwa wa Marburg Wilaya ya Bukoba vijijini, Kagera ni nane na kati yao wat...
Madaktari kutoka nchini Kenya wamewataka wananchi kuwa waangalifu kufuatia kugunduliwa kwa aina mbili mpya za magonjwa ya zinaa (STIs).
Wanasayansi katika Taasisi ya Utafiti w...
Mark Lewis
Hivi karibuni waziri wa afya, jinsia na ustawi wa jamii, Ummu Mwalimu alithibitisha watu watano kati ya wanane kufariki dunia kutokana na ugonjwa wa virusi vya homa...
Kufuatia ugonjwa hatari wa Marburg kutoka mkoani Kagera watu 193 wawekwa karantini kwaajili ya uchunguzi zaidi, Miongoni mwa watu hao ni watumishi wa afya 89 na weng...