27
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac aomba kuachiwa huru
Mshukiwa wa mauaji ya ‘rapa’ kutoka Marekani Tupac Shakur, Duane “Keefe D” Davis, amewasilisha ombi la kuachiwa huru kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa...
16
Squid Game 2 kutoka Desemba 2024
Mwigizaji na mtengenezaji wa filamu kutoka Korea Kusini, Lee Jung-jae ameweka wazi kuwa filamu ya Squid Game msimu wa pili inatarajiwa kuoneshwa kwa mara ya kwanza Desemba 202...
08
J.Cole ajuta kumuongelea vibaya Kedrick
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani J.Cole amemuomba msamaha Kendrick Lamara katika onesho la Dream Ville usiku wa kuamkia leo. Cole ameeleza kuwa anajuta kumuongelea vibaya &l...
02
Ray C awapa funzo wasanii Bongo
Mwanamziki Rehema Chalamila, maarufu kama Ray C ametoa fuzo kwa wasanii nchini Tanzania, kudumisha upendo ili kazi zao ziweze kufanya vizuri zaidi. Kupitia ukurasa wake wa mta...
31
Beyonce amwaga maua kwa Tyla
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #Beyonce ameshindwa kujizuia kwa kumpongeza mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, #Tyla kwa kutoa Album yake ya kwanza iitwayo “Tyla&rdqu...
15
Young Soo ahukumiwa kwenda jela miezi nane
Muigizaji maarufu kutoka nchini Korea Oh Young-soo, ambaye alijulikana zaidi kupitia filamu yake ya ‘Squid Game’ amekutwa na hatia kwenye kesi ya unyanyasaji wa ki...
30
Netflix yaachia reality show ya Squid Game
Kampuni ya #Netflix imeachia rasmi Squid Game the Challenge ambalo ni onesho la shindano la uhalisia lililohamasishwa na Tamthilia ya #Kikorea ya #SquidGame. Ambapo washiriki ...
02
Lady jaydee, afunguka maandalizi ya ‘mambo matano’, siri ya kudumu kwenye game na utunzi wake
Hellow watu wangu wa nguvu tumekutana tena hapa kwenye segment yetu pendwa ya Burudani wazee wa kuburudika hili ndilo chimbo letu ...
16
Rais wa Yanga na waziri wa michezo Rwanda
Rais wa ‘klabu’ ya Yanga Eng. Hers Said amekutana na Waziri wa Michezo Rwanda Aurore Mimosa Munyangaju kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Rwanda Paul Kagame.Ambapo En...
17
Chidi Beenz aziamisha upya hisia za mashabiki
Baada ya kionjo cha wimbo kati ya Diamond na Chidi Beenz kusikika siku chache zilizopita, imeonekana wadau wengi wa muziki walikuwa na hamu ya kusikia tena sauti ya Chidi ...
02
Bumbuli aamishia majeshi NMB
Aliyekuwa msemaji wa ‘klabu’ ya Yanga Hassan Bumbuli aamishia majeshi Bank ya NMB akiwa kama Relationship Manager- sports and game. Bumbuli tayari amefanya mabadil...
18
Lazima hiphop iwe na beef kama Bongo Fleva
Baada ya kuwepo na ushindani katika muziki wa bongo fleva kumekuwa na maoni ya watu wengi kuwa ushindani huo uhamie katika #HipHop na mashabiki watoe ushirikiano kama wanavyos...
18
Young Dee na Dj AllyBi kwenye ngoma moja
Baada ya ukimya wa mwaka mmoja tangu msanii wa #Hiphop #youngdaresalama kuachia wimbo wake binafsi, ulioenda kwa jina la usiyempenda kaja, sasa msanii huyo amerudi kwenye game...
30
Mtayarishaji wa Sqyid game halipwi bonasi na Netflix
Inasemekana kuwa Mtaarishaji wa Tamthlia iliojibebea umaarufu duniani kote ya Sqyid Game, Hwang Dong-hyuk ambayo ipo Netflix hapokei Mirabaha yake licha ya Filamu hiyo ku...

Latest Post