Nlechoppa azichapa na shabiki wa NBA

Nlechoppa azichapa na shabiki wa NBA

Unaambiwa haikua siku nzuri kwa Rapa NleChoppa baada ya kuingia kwenye ugomvi na shabiki wa NBA Young boy Airpot.

Taarifa zinaeleza sababu ya ugomvi huo inasemekana kuwa ni baada ya NleChoppa kufanya moja ya interview  hivi kaeribuni  na kusema kwamba hapo awali NBA Young boy alikuwa mmoja kati ya wasanii wake anaowakubali zaidi lakini Kutokana na Ngoma yake mpya "Bring The Hook" aliyowa-Diss O'Block na Marehemu King Von(OTF) ameamua kumkataa.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm


Latest Post