22
Ahmed Ally: Simba kama dhahabu ya moto
Siku moja baada ya kipigo cha pili mfululizo kutoka kwa ‘klabu’ ya #Yanga, Meneja habari na mawasiliano wa ‘klabu’ ya #Simba #AhmedAlly ameibuka kuwati...
19
Spider -Man 4 kuingizwa jikoni mwaka huu
Marvel Studios na Sony Pictures zipo kwenye mpango wa kuanza kurekodi filamu ya "Spider-Man 4" itayoongozwa na Tom Holland, Septemba mwaka huu, na itatolewa mwishoni mwa 2025....
09
Burna Boy afikisha stream bilioni 1.1 Sportify
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, #BurnaBoy ameendelea kuupiga mwingi kupitia mtandao wa Sportify na sasa ameripotiwa kufikisha zaidi ya stream bilioni 1.1 kupitia album yake...
09
Ratiba ya Kanye kuja Afrika imekuwa tofauti
Baada ya kutangaza kurudi tena Africa kwa ajili ya kusikiliza album yake iitwayo ‘Velturels’, uongozi wa mwanamuziki Kanye West umetoa taarifa nyingine ikieleza ku...
08
J.Cole ajuta kumuongelea vibaya Kedrick
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani J.Cole amemuomba msamaha Kendrick Lamara katika onesho la Dream Ville usiku wa kuamkia leo. Cole ameeleza kuwa anajuta kumuongelea vibaya &l...
01
Mwana FA: Mashabiki wajenge utamaduni wa kushangilia muda wote
Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis Mwijuma maarufu kama #MwanaFA amewataka mashabiki wa ‘timu’ za mpira wa miguu kuacha kushangilia mabao tu kwani in...
29
Beyonce akutana na mashabiki 150 Japan
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Beyonce aliandaa tukio maalumu la kusaini autograph ambapo alikutana na mashabiki wake 150 katika duka la ‘Tower Records’ nchini...
27
Kim adaiwa kumuiga Bianca
Aliyekuwa mke wa zamani wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani #KanyeWest, #KimKardashian ameshutumiwa kumuiga mavazi mpenzi wa sasa wa star huyo #BiancaCensori. Shutuma hizo z...
26
Jina la kanumba bado linaishi
Wakati akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kuzunguka mataifa mbalimbali mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rayvanny akiwa South Africa amekutana na shabiki wa marehemu mwigizaji...
09
Bondia Ngannou awaomba radhi mashabiki
Baada ya kupokea kichapo cha ‘Knock Out’ (K.O) bondia Francia Ngannou amewaomba radhi mashabiki zake kufuatiwa na kichapo alichopewa na Anthony Joshua, pambano lil...
22
Mashabiki washangazwa na Cr7 kupaka rangi kucha za miguu
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #AlNassr, # Cristiano Ronald amezua mijadara kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuonekana amepaka rangi kucha za miguu, hali iliyopelekea ...
18
ASAP afunguka kwa mashabiki ujio album mpya ya Rihanna
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #ASAPRock amefunguka mbele ya mashabiki juu ya ujio wa Album mpya ya mpenzi wake #Rihanna baada ya kuulizwa na mashabiki nchini Ufaransa. Kw...
14
Mashabiki wahoji mabadiriko ya mdomo wa Kanye
Baada ya kuweka Grill kwenye meno yake, mashabiki wameona tofauti katika lips za ‘rapa’ Kanye West huku wakihoji nini kimetokea mpaka muonekano wa mdomo wa mwanamu...
12
Ahmedy: Mlitaka Mayele abaki kwenye timu yenu ili afe masikini
Msemaji wa Klabu ya Simba Ahmed Ally ameingilia kati tabia ya baadhi ya mashabiki kumshambulia kwa maneno aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo Fiston Mayele. Hayo yote ni baada ya ...

Latest Post