Mama Dangote hatambui penzi la Zuchu na Diamond

Mama Dangote hatambui penzi la Zuchu na Diamond

Mama mzazi wa mwanamuziki wa #Bongofleva nchini #Diamond, Mama Dangote ameeleza kuwa hatambui kama #Zuchu na mwanaye kama wako kwenye mahusiano.

Mama Dangote ameyasema hayo wakati wa mahojiano yake katika moja ya chombo cha habari baada ya mwandishi kumuuliza kuhusu kujua kuwa #Diamond ana mahusiano na Zuchu amefunguka kwa kusema

“Hajawahi kuniletea Zuchu na kusema anataka kumuoa mimi najua Zuchu ni msanii wake, ninachujua mimi mchumba ni yule aliyepeleka mahari”






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post