Lunya, Nandy, Zuchu na  Mbosso wamkosha Babu Tale

Lunya, Nandy, Zuchu na Mbosso wamkosha Babu Tale

Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki na Meneja wa msanii Diamond, Babu Tale ameachia rasmi list ya wasanii waliomkosha kwa mwaka 2023.

Babu Tale kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share top 4 ya wasanii ambapo wamemkosha mwaka huu akiwemo Young Lunya, Nandy, Zuchu na Mbosso huku akiwataka wadau wa muziki kuwa tayari na Top 10 ya wasanii waliofanya vizuri.

Aidha ameahidi pia kuorodhesha wasanii waliofanya vibaya kwa mwaka mzima kwa mujibu wa mtazamo wake.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post