13
Fahamu Tatizo La Umeme Wa Moyo Uliokuwa Ukimtesa Mbosso
Baada ya video za mwanamuziki Mbosso kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwa hospitali amelazwa. Msanii huyo ameweka wazi kuwa alikuwa akisumbuliwa na tatizo l...
06
Mbosso atemana na WCB, Diamond athibitisha
Mwanamuziki na mmiliki wa rekodi lebo ya WCB Diamond Platnumz amethibitisha mwanamuziki wake Mbosso kujing'oa kwenye lebo hiyo.Akizungumza na Clouds Fm  Februari 5, 2025 ...
05
Diamond afafanua ishu ya Mbosso kujiondoa Wasafi
Mwanamuziki na mmiliki wa Lebo ya WCB Diamond Platnumz amekanusha msanii wake Mbosso kuondoka kwenye lebo hiyo.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameeleza kuwa tayari w...
03
Kipaji Cha Liydia Kilivyowakosha Mastaa
Ukiwa ni mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii basi fika utakuwa umeshakutana na video ya binti huyu anayefahamika kwa jina la Lydia Marley ambaye aliwavutia wadau na mastaa weng...
24
Utajiri wa Jackie Chan hauwahusu Watoto wake
Mwigizaji wa Hong Kong Jackie Chan ametangaza nia ya kuchangia utajiri wake wote, unaokadiriwa kufikia dola 400 milioni 'Sh 966 bilioni', kama msaada kwa watu wenye uhitaji.Mw...
21
Mbosso amuenzi King Kikii aimba Kitambaa Cheupe
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Mbosso amemuenzi nguli wa muziki wa dansi marehemu Boniface Kikumbi maarufu King Kikii ambaye alifariki dunia Novemba 15, 2024 kwa kuimba wim...
19
Mastaa wa bongo waiteka youtube Kenya
Baadhi ya wanamuziki wa Bongo Fleva nchini wametajwa kuongoza orodha ya wasanii wanaotazamwa zaidi kupitia mtandao wa Youtube nchini Kenya.Kupitia blogu ya ‘Nairobi Goss...
04
Hivi hapa vipengele vya wanaowania tuzo za TMA
Ikiwa jana Septemba 3, 2024 dirisha la kuwapigia kura wasanii watakaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) lilifunguliwa, hivi ndivyo vipengele 17 vinavyoshindaniwa ambavyo vime...
27
Nyoshi El Saadat ataka bongo fleva waimbe live
Mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi, anayemiliki bendi ya Bogoss Musica, Nyoshi El Saadat amewashauri wasanii wa Bongo Fleva kujikita zaidi katika kuimba muziki wa mubashara ...
13
Mbosso, Yammi kama Shah Rukh Khan na Kajol
Wanamuziki wa Bongo Fleva nchini Mbosso na Yammi wamejifananisha kama waigizaji kutoka nchini India Shah Rukh Khan na Kajol, hii ni baada ya kuachia video wakiwa chooni. Kupit...
02
Mbosso: Nikirudi Tanzania naoa
Mwanamuziki wa #Bongofleva nchini ameweka wazi kuwa akirudi Tanzania anaoa kutokana na umri kumtupa mkono.Mbosso kupitia moja ya video zake amesikika akisema kuwa anaona utuuz...
20
Wanamuziki waendeshwa na umbea
Wanamuziki wenyewe wanaendeshwa na umbea. Hawaumizi tena vichwa vyao, wanachofanya ni kupita kwenye maeneo yale yale ya umbea. Matokeo yake Hamisa anatajwa hata mara tatu kati...
18
Lunya, Nandy, Zuchu na Mbosso wamkosha Babu Tale
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki na Meneja wa msanii Diamond, Babu Tale ameachia rasmi list ya wasanii waliomkosha kwa mwaka 2023.Babu Tale kupitia ukurasa wake wa Instagra...
25
Mbosso akubali uwezo wa Kipre Junior
Mwanamuziki wa bongo fleva #Mbosso ameukubali uwezo wa mchezaji kutoka ‘Klabu’ ya Azam #KipreJunio baada ya kupiga hat-trick jana katika mcheza wao dhidi ya Mtibwa...

Latest Post