Mwanamuziki wa Bongo Fleva na CEO wa Next Level Music, Rayvanny ameweka wazi kuwa wakati Mbosso amepanga kuondoka WCB alimfuata na kumuomba ushauri.Akizungumza na waandishi wa...
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na Kusini kufikisha stream milioni 500 kwenye mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki Boomplay.Rekod...
Zikitajwa nyimbo kumi za Bongo zenye mafanikio makubwa, lazima jina la mzalishaji muziki S2kizzy litajwe. Hii ni kutokana na mkali huyo kuhusika kwenye kutengeneza nyimbo nyin...
Usiku wa kuamkia leo Machi 3, 2025 limefanyika tukio la ugawaji wa tuzo kubwa duniani za Filamu za Oscar katika Ukumbi wa Dolby Theatre Ovation, Hollywood Los Angeles. Tuzo hi...
Baada ya video za mwanamuziki Mbosso kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwa hospitali amelazwa. Msanii huyo ameweka wazi kuwa alikuwa akisumbuliwa na tatizo l...
Mwanamuziki na mmiliki wa rekodi lebo ya WCB Diamond Platnumz amethibitisha mwanamuziki wake Mbosso kujing'oa kwenye lebo hiyo.Akizungumza na Clouds Fm Februari 5, 2025 ...
Mwanamuziki na mmiliki wa Lebo ya WCB Diamond Platnumz amekanusha msanii wake Mbosso kuondoka kwenye lebo hiyo.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameeleza kuwa tayari w...
Ukiwa ni mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii basi fika utakuwa umeshakutana na video ya binti huyu anayefahamika kwa jina la Lydia Marley ambaye aliwavutia wadau na mastaa weng...
Mwigizaji wa Hong Kong Jackie Chan ametangaza nia ya kuchangia utajiri wake wote, unaokadiriwa kufikia dola 400 milioni 'Sh 966 bilioni', kama msaada kwa watu wenye uhitaji.Mw...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Mbosso amemuenzi nguli wa muziki wa dansi marehemu Boniface Kikumbi maarufu King Kikii ambaye alifariki dunia Novemba 15, 2024 kwa kuimba wim...
Baadhi ya wanamuziki wa Bongo Fleva nchini wametajwa kuongoza orodha ya wasanii wanaotazamwa zaidi kupitia mtandao wa Youtube nchini Kenya.Kupitia blogu ya ‘Nairobi Goss...
Ikiwa jana Septemba 3, 2024 dirisha la kuwapigia kura wasanii watakaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) lilifunguliwa, hivi ndivyo vipengele 17 vinavyoshindaniwa ambavyo vime...
Mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi, anayemiliki bendi ya Bogoss Musica, Nyoshi El Saadat amewashauri wasanii wa Bongo Fleva kujikita zaidi katika kuimba muziki wa mubashara ...
Wanamuziki wa Bongo Fleva nchini Mbosso na Yammi wamejifananisha kama waigizaji kutoka nchini India Shah Rukh Khan na Kajol, hii ni baada ya kuachia video wakiwa chooni.
Kupit...