Wagonjwa 87 wa kifua kikuu hufariki kila siku

Wagonjwa 87 wa kifua kikuu hufariki kila siku

Kwa mujibu wa  wizara ya afya na Mratibu wa Kifua Kikuu na Ukoma Jijini Dar es Salaam, Dkt. Mbarouk Seif Khaleif, ameeleza kuwa kila mwaka Watu 137,000 wanaugua Kifua Kikuu (TB) na wanaofariki ni 32,000 sawa na vifo 87 kila siku.

Aidha kati ya vifo, 33 ni vya waliokuwa wanaishi na Virusi Vya UKIMWI na kusababisha hasara inayogharimu kiasi cha 7% ya Pato la Taifa. Huku  Mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza kwa 17%.

Mgonjwa mmoja wa Kifua Kikuu ambaye hajagundulika na kuanza Matibabu anaweza kuambukiza Watu 10 hadi 15 kwa mwaka.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post