01
Maneno ya washindi wa BSS 2025
Aliyekuwa mshiriki wa Shindano la Kusaka Vipaji (BSS) Moses Luka (DRC) ameibuka mshindi katika shindano hilo lililoanza mwishoni mwa 2024 na kumalizika Februari 28,2025.Moses ...
26
Kabla ya THT Barnaba, Amini, Young Dee walianzia huku
Mwaka 2006 liliandiliwa shindano la kusaka vipaji vya uimbaji lililopewa jina la 'Talent Show'. Shindano hilo lilikuwa na msisimko mkubwa kwani walijitokeza vijana wengi ambao...
01
Savanna: Familia yangu iligoma kunihudumia kisa mitandao
Na Aisha Charles Katika kutafuta njia ya kupambania ndoto zako ukiwa chini ya uangalizi wa wazazi hasa ukiwa unawategemea kwa kila kitu lazima kutakuwa na mashaka, mzazi au ml...
16
Wachezaji ndiyo wamezomewa Bandarini Dar es salaam
Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kufanyika kwa pambano la Dabi ya Kariakoo, leo kikosi cha Simba kimeanza safari kwenda Zanzibar huku kikizomewa na mashabiki wa Yanga. Baada...
22
Kinda Mtanzania ana kwa ana na Arshavin
Kinda wa Tanzania, Harrith Chunga Misonge aliyepo Russia anakoshiriki mashindano ya Games of the Future amekutana na staa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Russia, Andr...
19
GSM atoa vifaa vya matibabu Ocean Road
Mdhamini wa ‘klabu ya Yanga Ghalib Said Mohamed (GSM) ametoa zawadi ya vifaa vya matibabu katika hospitali ya Ocean Road kama zawadi ya kusheherekea siku ya yake kumbuki...
01
Mwanamuziki Haitham afariki dunia
 Mwanamuziki wa Bongo Fleva Haitham Kim, ambaye siku chache zilizopita mume wake alithibitisha kuwa mwanamuziki huyo yupo ICU akisumbuliwa na ugonjwa wa mapafu amefariki ...
05
Marufuku kupiga muziki kwenye mabanda ya sabasaba
Oooooh! Kumekucha kumekucha unaambiwa hata kama muziki ni burudani, lakini ndani ya mabanda kwenye maonyesho ya 47 ya biashara ya Kimataifa jijini Dar es Salaam maarufu Sabasa...
05
Petroli na Dizeli zashuka bei
Vicheko kwa watumiaji wa mafuta ya Petroli na dizeli Julai vitatawala kufuatia kushuka kwa bidhaa hizo katika mikoa inayochukua mafuta hayo bandari ya Dar es Salaam na Tanga i...
19
Mkuu wa mkoa akataza maandamano
Akizungumza na waandishi wa habari, mkuu wa mkoa wa jijini Dar es salaam, Albert Chalamila amewataka raia waliokusudia kuandamana kupinga mkataba wa Tanzania na DP World waach...
16
Mahakama yaamuru mwanafunzi aliyefukuzwa kurudishwa chuoni
Baada ya kufukuzwa chuo kwa kosa la kufanyiwa mtihani na mwenzake, mwanafunzi washada ya kwanza ya sheria katika chuo cha Tumain Dar es salaam (TUDARCO) aliyefahamika kwa jina...
09
Bei ya choo stendi ya mbezi luis yashuka
kumekuwa na Malalamiko mara kadhaa kuhusu bei kubwa ya huduma ya vyoo katika kituo cha daladala cha mbezi luis sasa tatizo hilo limepata suluhisho. Hivi karibuni bei imeshuka ...
24
Saba wajeruhiwa baada ya lift kudondoka
Watu saba wamejeruhiwa na kupelekwa Hospitali ya Kairuki kwa ajili ya matibabu baada ya lifti kuporomoka kutoka ghorofa ya 10 katika jengo la Millenium Tower lililopo Kijitony...
13
Waliotuma maombi ya kutolewa mahari wafikia 1000
Zimepita  siku nne tuu tangu Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma kutangaza nia ya kuwalipia mahari vijana 50 ambao wapo tayari kuoa inaelezwa kuwa zaidi ya watu...

Latest Post