Meek mill afata nyayo za Snop, kuipa kisogo sigara

Meek mill afata nyayo za Snop, kuipa kisogo sigara

‘Rapa’ #MeekMill ameweka wazi kuwa na yeye atafuata nyayo za msanii #SnopDogg baada ya kutangaza kuacha kuvuta sigara.

Ikiwa ni dakika chache tangu msanii #SnopDogg kuweka wazi suala hilo ‘rapa’ huyo kupitia mtandao wake wa #X ametangaza kuacha kuvuta sigara kutokana na daktari wake kumwambia ana tatizo la #emphysema ambalo linaweza kuhatarisha maisha yake.

Huku akisistiza kuwa kama itashindikana kuacha kuvuta sigara akiwa #Marekani, basi atahamia hata #Dubai ili kufanikisha suala hilo.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post