Mtia Moyo:  Mwanafunzi anayefanya kazi ya Ushauri

Mtia Moyo: Mwanafunzi anayefanya kazi ya Ushauri

Aiseee!! Mambo yamebadilika sana mtu wangu, dunia ina kwenda kwa kasii vibaya, hapa naweza kukuhabarisha kwa namna hiyo awali imezoeleka kuwa kazi ya concelling wanafanya watu wazima ambao ukiwatazama hata wewe ukiwa na jambo lako basi unasema enheee hapa napona bhna.

Nikwambie tu mambo yamebadilika kutokana na maendeleo ya Science na Technology, leo nakukutanisha naye kijana Ezekia Mhule, maarufu kama “Mtia moyo.” Mwanafunzi kutoka Chuo cha Dar es Salaam School of Journalism (DSJ) anayefanya kazi ya ushauri licha ya umri mdogo aliokuwa nao.

This story is available exclusively to MWANANCHISCOOP members.
Become a #Scooper and start reading now.






Comments 18


  • Awesome Image
    Ezekia Mtia Moyo

    Nafurahi sana kuona makala ya kuhusu historia ya maisha yangu na kipaji changu, ninyi ni familia, siku moja itakuwa zaidi ya hapa! Nawasihi vijana wenzangu kukazania vipaji pasina kutazama watu wanasemaje? Siku moja tutafanikiwa.

  • Awesome Image
    Aisha Mohammed

    Shukran za dhati zimfikie muandishi wa hii makala lakini shukran za pekee zimfikie ndugu yetu kipenz Ezekia..tunakupenda na tunathamini mchango wako katika jamii tunakuombea afya na weledi katk kazi zako..... Shukran...

  • Awesome Image
    Khadija Euphrasie

    Mwenyeezi akujaaliye kila la heri kaka Ezekia Mhule

  • Awesome Image
    Khadija Euphrasie

    Mwenyeezi akujaaliye kila la heri kaka Ezekia Mhule

  • Awesome Image
    EVARISTO

    Bravel, keep it up.

  • Awesome Image
    Hadassah

    Hii ni kazi inayokufaa Ezekia may God help you go far

  • Awesome Image
    Hadassah

    Hii ni kazi inayokufaa Ezekia may God help you go far

  • Awesome Image

    Ndoto njema huonekana asubuhi hongera mtia moyo na mfariji wetu wanyonge

  • Awesome Image

    Huyu jamaa Yuko vizuri Sana namkubali

  • Awesome Image

    Huyu jamaa Yuko vizuri Sana namkubali

  • Awesome Image
    Janeth mtwevr

    Hongera Sana kijana! Kazi zako nzuri Sana kaza buti

  • Awesome Image
    Janeth mtwevr

    Hongera Sana kijana! Kazi zako nzuri Sana kaza buti

  • Awesome Image
    Jackline John

    Hongera San mpendw kwa Kaz hii unayoifanya kumbuka sio wote wanakipaj Kama hik Be blessed

  • Awesome Image
    Eunice moses

    May God bless you

  • Awesome Image
    Eunice moses

    May God bless you

  • Awesome Image
    Champion

    Namkubali sana group mate Wang yuko vizur San ....

  • Awesome Image
    Prof.Dorcas Emmanuel.

    Nikupe hongera nyingi sana kwa kuwa na ubunifu huo. Ni hatua kubwa mno nikutie moyo mwanangu Ezekia. Kazi yako ni njema Sana. Ushauri wangu kwako pia, Ili huduma hii iweze kustawi na kunawiri inahitaji upate huduma ya vyakula vya asili hususan kwa hawo walengwa.Ukitoa ushauri uambatane na mtu ale vyakula gani kwa ajili ya afya ya ubongo pamoja na mwili mzima kwa ujulma wake. Utakuwa umefaulu sana kwa kiwango kikubwa Hezekiah.

  • Awesome Image
    Prof.Dorcas Emmanuel.

    Nikupe hongera nyingi sana kwa kuwa na ubunifu huo. Ni hatua kubwa mno nikutie moyo mwanangu Ezekia. Kazi yako ni njema Sana. Ushauri wangu kwako pia, Ili huduma hii iweze kustawi na kunawiri inahitaji upate huduma ya vyakula vya asili hususan kwa hawo walengwa.Ukitoa ushauri uambatane na mtu ale vyakula gani kwa ajili ya afya ya ubongo pamoja na mwili mzima kwa ujulma wake. Utakuwa umefaulu sana kwa kiwango kikubwa Hezekiah.

Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Saphinia Suleiman

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, career, skills development and technology.


Latest Post