Morgan afichua sababu ya kuvaa hereni kila wakati

Morgan afichua sababu ya kuvaa hereni kila wakati

Muigizaji na #Producer maarufu kutoka nchini #Marekani#MorganFreeman ameweka wazi sababu ya kila wakati kuonekana akiwa avaa hereni, saa na pete za dhahabu.

#Morgan amedai ana vaa pete na saa za #dhahabu kwa sababu zina thamani ya kutosha kwa mtu kumnunulia jeneza ikiwa atafariki ugenini ndiyo maana anavaa vito hivyo vya thamani.

#MorganFreeman ameonekana katika #filamu mbalimbali ikiwemo ‘London Has Fallen’, ‘A Good Person’, ‘57 Seconds’, ‘Now You See Me’ na nyinginezo.
.
.
#mwananchiscoop
#burudikanasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post