Marioo afunguka kuhusu kujiunga Wasafi, Kings

Marioo afunguka kuhusu kujiunga Wasafi, Kings

Msanii wa muziki wa bongo fleva anayetamba na wimbo wa 'Mama Amina' Marioo amefunguka na kusema kwamba ofa za kujiunga na lebo ya Kings Music Records na Wasafi hazikufanikiwa kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.

Marioo amesema Wasafi na Kings Music ni lebo kubwa

Ukanda wa Afrika Mashariki hajawahi kupata ofa hiyo ya kujiunga na kama ilitokea basi hazikuweza kufanikiwa kwa sababu zilizonje ya uwezo wao.

"Ukizungumzia Kings Music na Wasafi ni lebo kubwa sana East Africa na Africa kwa ujumla, lakini hizo ofa hazijawahi kutokea na hata kama zimetokea hazikufanikiwa kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wetu".

Pia Marioo amesema sasa hivi hana mpango wa kusainiwa lebo yoyote hapa Africa ila anapenda jinsi Kings, Wasafi na Konde Gang wanavyofanya kazi kwa wasanii wake.






Comments 5


  • Awesome Image
    Evelyn

    Keep it up Mr focus u inspire me alot 🤗

  • Awesome Image
    Faith

    Keep trusting the process Mr. Your up for a brighter future and commited to quality. Since day one you inspired me and I gat lot to learn from you. Keep it up. Keep hustling. Your destined to save many in this generation

  • Awesome Image
    Faith

    Keep trusting the process Mr. Your up for a brighter future and commited to quality. Since day one you inspired me and I gat lot to learn from you. Keep it up. Keep hustling. Your destined to save many in this generation

  • Awesome Image
    Faith

    Keep trusting the process Mr. Your up for a brighter future and commited to quality. Since day one you inspired me and I gat lot to learn from you. Keep it up. Keep hustling. Your destined to save many in this generation

  • Awesome Image
    Faith

    Keep trusting the process Mr. Your up for a brighter future and commited to quality. Since day one you inspired me and I gat lot to learn from you. Keep it up. Keep hustling. Your destined to save many in this generation

Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Saphinia Suleiman

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, career, skills development and technology.


Latest Post