Rapa tokea jiji la Atlanta nchini Marekani, Young Scooter anaripotiwa kufariki dunia kutokana na majeraha yaliyosababishwa na kupigwa risasi wakati wa mzozo kwenye moja ya nyu...
Ni wazi kuwa mwanamitindo Hamisa Mobetto amegeuka mwalimu wa lugha kwa mumewe Stephanie Azizi Ki. Hiyo ni baada ya nyota huyo wa soka kuweka wazi kuwa amekuwa akifundishwa kis...
Ni wazi kuwa mkombozi wa wasanii wengi ambao hawapati usikivu kwa kiasi kikubwa, kwa sasa ni shoo za 'chaka to chaka' yaani zile zinazofanyikia vijijini.Licha ya kuwa zilikuwa...
Master Jay afichua kinachowaponza wasanii wanaomiliki leboMtayarishaji wa muziki nchini Joachim Marunda 'Master Jay' amesema rekodi lebo nyingi za wasanii Bongo zinashindwa ku...
Rapa na mtayarishaji tokea Marekani, Kanye West anaripotiwa kuingia kwenye vita mpya na aliyekuwa mke wake mwanamitindo, Kim Kardashian kufutia rapa huyo kumshirikisha binti y...
Baada ya kuibuka kwa video zikimuonesha baba wa staa wa muziki kutokea Nigeria Asake, akidai hapati huduma kutoka kwa mwanaye. Hatimaye baba huyo amesema tayari ameanza kupati...
Licha ya kwamba kwa sasa ameishika dini vilivyo, aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya hususani singeli na filamu, Snura Mushi amewaomba watu wamuombee ili aweze kufika p...
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na Kusini kufikisha stream milioni 500 kwenye mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki Boomplay.Rekod...
Je, wajua kuwa video tisa za muziki Tanzania ambazo zimetazamwa zaidi ya mara milioni 100 katika mtandao wa YouTube, saba kati ya hizo zimeongozwa na Director mmoja ambaye ni ...
Mshambuliaji nyota wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda hachezi mpira tu, lakini amekuwa akiwafuatilia wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini na kuwataja watatu kati yao kuwa ...
Usiku wa kuamkia leo supastaa wa Nigeria, Burna Boy amefanya onyesho la muziki ambalo limeacha historia katika mji wa Nairobi nchini Kenya. Tamasha hilo ambalo lilitawaliwa na...
Ikiwa leo siku ya kwanza ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan staa wa muziki Harmonize ametumia mwezi huu wa toba kuwaomba msamaha watu wote aliopishana nao kwa namna moja a...
Mwanamuziki kutoka Kenya ambaye ameshinda tuzo ya Trace Award katika kipengele cha msanii bora Afrika Mashariki, Bien amemkingia kifua Marioo baada ya wadau na muziki kumnanga...
LEORNADO ATAMBA BAADA YA KUSHINDA TUZO Baada ya mchekeshaji Leornado kushinda tuzo ya 'Overall Best Comedian of the year' kupitia tuzo za Tanzania Comedy Award, ambazo zilitol...