Licha ya kuachana, Sophie achora ‘tattoo’ ya Drake

Licha ya kuachana, Sophie achora ‘tattoo’ ya Drake

Mama mtoto wa ‘rapa’ kutoka nchini Canada, Drake, Sophie Brussaux ameendelea kuonesha upendo kwa msanii huyo hadi kufikia hatua ya kuchora ‘tattoo’ ya Drake mkononi licha ya kuwa wawili hao kuachana.

Sophie ambaye amezaa mtoto mmoja na Drake aitwaye Adonis ame-share picha hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa katika moja ya tamasha la baba mtoto wake na kueleza kuwa yupo katika nyakati za furaha na familia yake.

Hata hivyo, inadaiwa kuwa ‘tatoo’ hiyo si yakudumu kwani mwanadada huyo aliweka tag kwa kampuni inayotengeneza ya ‘tattoo’ za muda mfupi.
.
.
.
#MwananchiScoop
#BurudikaNasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post