WHO’S HOT: Feisal Salum Abdalla

WHO’S HOT: Feisal Salum Abdalla

Name; Feisal Salum Abdalla

Birthday;11Th , January

Kazi; Tanzanian Football

Feisal Salum also known as Fei Toto is an Tanzania Football player and he play for Young African footbal club

Fei Toto alipata umaarufu baada ya kuonesha umahiri wake mkubwa katika uchezaji wa mpira wa miguu, Anapendwa  na kukubalika zaidi kwa jinsi anvyo funga vizuri magori na kumiliki mpira kisawa sawa uwanjani. 

He made his Tanzania national football team debut on 16 October 2018 in an AFCON qualifier against Cape Verde. And He was selected for Tanzania's 2019 Africa Cup of Nations squad. 

Kupitia mwananchi scoop Fei toto alifunguka na kueleza mashabiki kuwa “ msimu huu watarajie makubwa  zaidi na tunaanza pale pale tulipo ishia, Daima mbele nyuma mwiko” amesema Fei toto. 

We love Feitoto because he is a good player who knows how to hold the ball on the field and knows what his fans want, we advise other players who dream of being like feisal to practice enough so that they can be more continental.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm


Latest Post