Rais Samia: Askari wenye vitambi warudi mafunzoni kuviondoa

Rais Samia: Askari wenye vitambi warudi mafunzoni kuviondoa

Mmmmmmh! Haya tukiambiwa tupunguze vitambi hatuskii sasa basi Rais Samia Suluhu Hassan amewataka askari wa uhamiaji ambao wana vitambi warudi chuoni kuviondoa na kuwa wakakamavu.


Ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya awali ya Askari wa Uhamiaji Boma Kichaka Miba mkoani Tanga.

 






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post