05
‘Set it Off’ yampagawisha Offst, Mwakani tena
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #Offset atangaza ujio wa albumu yake mpya itakayotoka mwakani mwezi Februari baada ya albumu yake iitwayo ‘Set It Off’ a...
05
Nyota wa ‘Beverly Hills’ aitamani talaka
Muigizaji kutoka nchini Marekani Kyle Richard anadai kuwa kutengana na mume wake kutawaathiri watoto wake kwa kiasi kikubwa ingawa itamfanya yeye kuwa na nguvu mpya. Kwa mujib...
04
Binti abadilisha muonekano mara 20 ili afanane na paka
Waliosema kuishi kwingi kuona mengi, hakika walikuwa na maana kubwa, kwani kuna baadhi ya vitu ambavyo waweza dhani ni ngumu kufanyika lakini kutokana na maendeleo ya sayansi,...
04
Arnold Schwarzenegger kufikishwa mahakamani
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Arnold Schwarzenegger anatarajia kufikishwa mahakamani baada ya kumgonga na gari Mwanamama Joanne Flickinger.Kwa mujibu wa #TMZ inaele...
04
Arajiga kuamua kariakoo dabi
‘Bodi’ ya ‘Ligi’ Tanzania Bara imemtangaza #AhmedArajiga kuwa mwamuzi wa mchezo wa Kariakoo Dabi ambao ni #Simba na #Yanga utakaochezwa kesho Uwanja wa...
04
Burna Boy kulipa blog ziache kuandika habari zake
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Burna Boy ameweka wazi kuwa atalipa blog yoyote nchini humo, ili ziache kuandika story zinazo muhusu. Kupitia ukurasa wake wa X ame-sha...
04
Messi alivyopokelea Inter Miami
Kama ilivyo kawaida kwa wachezaji wakubwa katika nchini mbalimbali kupeleka tuzo walizoshinda katika ‘timu’ wanazo zichezea, Lionel Messi naye amefanya hivyo baada...
03
Akon akanusha madai ya kumbaka binti wa miaka 13
Baada ya mtayarishaji mkongwe wa muziki kutoka nchini #Marekani, #SugeKnight kudai kuwa mwanamuziki na mfanyabiashara #Akon, aliwahi kumbaka binti wa miaka 13, hatimaye mwanam...
03
Mchezaji wa Wydad Oussama afariki dunia
Beki wa ‘Klabu’ ya Wydad Casablanca kutoka nchini #Morocco #OussamaFalouh (24) amefariki dunia hospitalini alipokuwa akipatiwa matibabu.#Oussama alifikwa na umauti...
03
Fahamu njia rahisi ya kupata passward za mitandao ulizosahau
Watu wengi wamekuwa wakipata changamoto ya kutokumbuka passward (nywila) zao za mitandao ya kijamii au application mbalimbali wanazotumia, wengi changamoto hiyo huwasababishia...
03
Chanzo, wasanii wengi wa hip-hop kufariki kwa kupigwa risasi
Matukio ya wasanii kupigana risasi yamekuwa yakisikika kila kukicha katika baadhi ya mataifa, kama ilivyotokea Februari 10, 2023 kwa msanii AKA kutoka nchini Afrika Kusini , k...
03
Honey ya Zuchu yawaponza wakuu wa shule
Baada ya kusambaa kipande cha video kinachowaonesha wanafunzi wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii #Zuchu 'Honey' wilayani Tunduma, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolo...
03
Davis adai hana hatia, mauaji ya Tupac
Mshukiwa wa kwanza katika mauaji ya ‘rapa’ kutoka nchini Marekani #Tupac, #DavisKeefeD yalitokea mwaka 1996 amefikishwa mahakamani siku ya jana Alhamis ambapo kufu...
03
Kim azungumzia mtindo wa maisha wa Kanye West
Mwanamitindo na mfanyabiashara Kim Kardashian, ameeleza kuwa aliyekuwa mume wake Kanye West kwa sasa amebadilisha mtindo wake wa kuishi.Kim ameyasema hayo kupitia kipindi chao...

Latest Post