Na Aisha Lungato
Novemba kama Novemba, niliwaambia siku hazigandi bwana, na tumebakiza mwezi mmoja tuu tumalize mwaka, haya ndugu yangu vacation unaenda na pesa gani bila ya k...
Connection, conection, conection, nimeiita mara tatu waungwana, ni maatumaini yangu wote mnaelewa maana ya hili neno maana waswahili wanasema hata kazi ya kufagia barabarani i...
Aisha CharlesHellow!! my people once again tunakutana tena katika fashion hapahapa katika jarida letu pendwa la Mwananchi Scoop lengo letu sisi ni kukujuza yale yote yanayojir...
Zamaradi Mketema aendelea kuonesha furaha aliyonayo baada ya mchezo wa jana Simba kutandikwa bao tano na Yanga, kutokana na furaha hiyo Zamaradi ametoa shukrani kwa Rais wa Ya...
Baada ya ‘klabu’ ya #Simba kupokea kipigo kizito cha bao 5-1 dhidi ya ‘klabu’ ya #Yanga siku ya jana, Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano &lsqu...
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Lukamba ameeleza sababu ya kukaa kimya bila kutoa wimbo amesema kuwa ametapeliwa tsh 200 milioni.
Lukamba kupitia #Instastory yake ameandika ujumb...
Mwanamuziki mkongwe wa #BongoFleva, #ProfessorJay amedai kuwa kipindi alipokuwa mahututi ICU alishuhudia vifo vya wagonjwa wengi sana.
Akizungumza na chombo cha habari leo asu...
Mwanamuzi #DiamondPlatnumz awapiku #Asake, #BurnaBoy, #Libianca na #TaylerICU Dj baada ya kushinda tuzo ya msanii bora kutoka Afrika MTV Europe Music Award 2023.
Si mara ya kw...
Mahakama nchini #Kenya imemuadhibu mwanamke mmoja (jina limehifadhiwa) kulipa faini ya Ksh 40,000 (Sh666,165) baada ya kukutwa na hatia ya kuchukua Ksh 800 (Sh13,332) ya mpenz...
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Harmonize amedai kuwa mtu akimfurahisha anamchora tattoo na endapo akimkasirisha basi anafuta tattoo hiyo, Konde Boy ameyasema hayo baada kuonekan...
Baada ya kuibuka kwa tetesi kwamba Real Madrid ilifanya mazungumzo na wawakilishi wa mchezaji wa PSG #KylianMbappe kwa kutaka kumsajili katika dirisha lililopita, ‘mabos...
Video ya wimbo wa ‘Unavailable’ ya mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #Davido imefikisha watazamaji milioni 70 kwenye mtandao wa YouTube.
Video hiyo yenye m...