02
Rema haofii kuacha muziki, Jina lake litaendelea kuishi
Mwanamuziki wa #Afrobeat kutoka nchini #Nigeria #Rema ambaye anaendelea kutamba duniani kote amedai kuwa hata kama akiacha muziki leo basi jina lake litaendelea kuishi kwenye ...
02
Utafiti, Paka wanamatendo yanayo fanana na Binadamu
Utafiti kutoka katika Chuo Kikuu cha California Los, Angeles nchini Marekani (UCLA) umeeleza kuwa paka wana zaidi ya mionekano 200 ambayo wanyama hao hutumia kuwasiliana wao k...
02
Dna yamponza Asamoah
Aliyekuwa nahodha wa ‘timu’ ya Taifa ya #Ghana, #AsamoahGyan, ameamriwa na mahakama kulipa fidia ya kuwakataa watoto wake na kumlipa aliyekuwa mkewe #GiftyGyan nyu...
02
Gadiel ajutia uamuzi wa kuondoka Yanga
Kuna msemo wa kukosea ni wakati wa kwenda sio kurudi. Hii ni kauli inayomlenga Gadiel Michael ambaye amezitumikia ‘timu’ tatu kubwa za ‘Ligi’ Kuu Bara....
02
Ngannou ataka pambano na Tyson lirudiwe
Siku chache zimepita baada ya pambano la bondia kutoka #Cameroon Francis Ngannou na Tyson Fury kufanyika huku #Tyson akiondoko na mkanda, bondia #Ngannou ametaka pambano hilo ...
02
Hamisi wa BSS: Dar ukiwa na akili timamu uta lala na njaa
Mwanamuziki wakizazi kipya nchini #HamisiWabss amedai kuwa katika jiji la Dar es salaam mtu ukijiweka katika nafasi ya kujifanya una akili timamu unaweza ukalala na njiaa. Aki...
02
Victoria apata mtoto akiwa na umri wa miaka 51
Mwanahabari kutoka nchini #Uingereza, Victoria Coren Mitchell, mwenye umri wa miaka 51,  amejifungua mtoto wake wa pili na mume wake David mwenye umri wa miaka 49. Victor...
02
Dereva achoma School Bus ikiwa na watoto 66
Dereva wa bus la shule ya Utah kutoka nchini Marekani anayefahamika kwa jina la Michael Austin Ford mwenye umri wa miaka 58 amekamatwa na polisi kwa tuhumima za kuchoma bus la...
02
Ziara ya The Weeknd ni babu kubwa
Ziara ya mwanamuziki kutoka nchini Canada The Weeknd ya ‘After Hours til Dawn’ imedaiwa kufikia hatua bora na kuifanya kuwa ziara yenye mafanikio zaidi ya kifedha ...
02
Simba yakemea waliompiga shabiki wa Yanga
‘Klabu’ ya #Simba imekemea vikali na kusikitishwa na tukio ambalo lilisambaa katika mitandao ya kijamii kupitia video ikionesha baada ya mchezo wa Simba Vs Ihefu, ...
01
Wachezaji wa Man United wanadai ‘jezi’ zinawabana
Inadaiwa kuwa wachezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, wanalazimika kuvaa ‘jezi’ zisizo rasmi wakati wa ‘mechi’ kutokana na ‘jezi&r...
01
Fungate ya Okothee na aliyekuwa mumewe ndiyo chanzo cha balaa lote
Mwanamuziki na mfanyabiashara kutoka nchini Kenya Akothee kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu kuachana na mume wake anayefahamika kama Denis Schweizer,'Omosh' huku akidai kuw...
01
Mke wa Professor Jay: Uvumi wa kifo cha mume wangu uliniumiza
Mke wa mwanamuziki mkongwe wa Hip-hop #ProfessorJay, #GraceMgonjo amedai kuwa taarifa ambazo zilikuwa zinamuumiza kipindi cha nyuma ni kuhusu mumewa kuzushiwa kifo wakati akiw...
01
Yanga kuwania tuzo ya ‘klabu’ bora Afrika
Mabingwa watetezi wa ‘Ligi’ Kuu Bara na washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita Yanga SC, wanawania Tuzo ya ‘klabu’ bora kwa wana...

Latest Post