31
Vinicius ashinda tuzo dhidi ya ubaguzi wa rangi
Mchezaji wa ‘klabu’ ya wa #RealMadrid, #ViniciusJunior ametwaa tuzo ya Socrates kwa mapambano yake dhidi ya ubaguzi wa rangi pamoja na mchango wake wa hisani kwa j...
31
Unadhani Messi alistahiri kushinda Ballon d’Or 2023
Mshambuliaji wa ‘timu’ ya Taifa Argentina na ‘Klabu’ ya Inter Miami ya Marekani, Lionel Messi amefanikiwa kushinda Tuzo ya Ballon d’Or 2023 na ku...
30
Kim Kardashian aingia mkataba na NBA
Baada ya mwanamitindo #KimKardashian kuvunja ‘rekodi’ ya bidhaa zake za SKIMS FOR MEN kwa kuagizwa na zaidi ya watu Elfu 20 ndani ya dakika 5, hatimaye mfanyabiash...
30
Luis afungiwa miaka mitatu
Rais wa zamani wa chama cha ‘Soka’ nchini Uhispania, #LuisRubiales amefungiwa kujihusisha na ‘soka’ kwa miaka mitatu. Mwanzo Rais huyo alisimamishwa ku...
30
Suge adai Akon alimbaka binti wa miaka 13
Mtayarishaji mkongwe wa muziki kutoka nchini #Marekani, #SugeKnight amedai kuwa mwanamuziki na mfanyabiashara #Akon, kwamba aliwahi kumbaka binti wa miaka 13. Akiwa katika mah...
30
Ahmed Ally: Mpinzani aliye baki ni Yanga
Msemaji wa ‘klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly amedai kuwa mpinzani wao aliye baki ni watani wao #Yanga ambaye wanashauku ya kumfunga. Akizungumza na waandishi wa habari...
30
Keane ataka Bruno avuliwe unahodha
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya  #ManchesterUnited, #RoyKeane amemtaka ‘kocha’ wa ‘klabu’ hiyo Erik ten Hag amvue unahodha #BrunoFern...
30
Ahmed Ally amuita Gamondi mazoezini
Msemaji wa ‘klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly ametupa jiwe gizani baada ya kushusha ujumbe ambao baadhi ya mashabiki wametafsiri kuwa huwenda dongo hilo likawa linamlen...
30
‘Rapa’ The Girl JT afikiria kubadili jina
‘Rapa’ kutoka Marekani ThegirlJT amefikiria kubadili jina lake la sasa hivi. JT ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa X baada ya kuandika kuwa anafikiria kubadili...
30
Ice Spice apewa biblia na shabiki baada ya show
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Ice Spice amepewa kitabu cha dini ya Kikristo (bible) baada ya kumaliza show. Ice ali-share ‘picha’ ya kitabu hicho kupit...
30
Abu Salami: Davido anaishi maisha ya uongo
Mpiga ‘picha’ na mfanyabiashara #AbuSalami amedai kuwa msanii kutoka nchini #Nigeria #Davido hana pesa bali msanii huyo anaishi maisha ya uongo. Hii inakuja baada ...
30
Mr Eaz kumshitaki mwandishi kwa kumchafua jina
Nyota wa muziki kutoka nchini #Nigeria Mr Eazi anadaiwa kumtishia mwandishi wa habari wa X (Twitter) kutoka nchini humo #zobathegreat  kumchukulia hatua za kisheria kwa k...
30
Afunga ndoa na mwanaye wa kumlea
Mwanamke mmoja anaye fahamika kwa jina la #AisyluChizhevskaya mwenye umri wa miaka 53 kutoka nchini #Urusi amefunga ndao na mwanaye wa kumlea #DanielChizhevsky (22). #Aisylu a...
30
Mashabiki washambulia basi la wachezaji kwa mawe
‘Mechi’ kati ya ‘klabu’ ya #OlympiqueMarseille dhidi ya ‘klabu’ ya #OlympiqueLyon imeghairishwa baada ya basi la Lyon kushambuliwa kwa mawe...

Latest Post