26
Rihanna bado hana mpango wa kufanya ziara
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na msanii #Rihanna kuwa anapanga kufanya #Tour kubwa mwaka 2024, kwa mujibu wa #Billboard imefichua taarifa hizo ni za uongo. Siku ya Jumapili...
25
Mfahamu mwanaume aliyetengwa baada ya kupona kwenye ajali
Siku zote waswahili wanasema ukistajaabu ya Musa utayaona ya Firauni, msemo huo ulijionesha kwenye historia ya ajali ya kuzama kwa meli ya Titanic, iliyotokea Aprili 14, 1912 ...
25
Jinsi ya kutengeneza Simple Dessert
Katika sehemu za kuuzia vyakula mbalimbali nchini, watu wameonekana kuvutiwa na kinywaji cha dessert ambacho huwa kina mchanganyiko wa matunda na maziwa na yogurt. Hivyo basi ...
25
Ijue sheria juu ya haki na wajibu wa wafanyakazi wa kazi za ndani
Ama kweli mambo ni mengi muda ni mchache, ni wiki nyingine tena tunakutana hapa kwenye segment ya kazi chimbo pekee tunakusogezea mambo mbalimbali kuhusiana na ajira. Na leo n...
25
Mwaka wa kwanza chuoni
Na Magreth BavumaNiaje niaje wakuu karibuni tena kwenye ‘kona’ yetu pendwa ya wanavyuo “unicorner” eneo moja tu linalowakutanisha wajanja wote walioko ...
25
Safari ya Xouh, Kutoka kuuza duka mpaka kutusua kwenye bongo fleva
Leo tupo na binti mwenye kipaji kikubwa kwenye upande wa muziki wa Bongo Fleva, si mwingine bali ni Zulfa Mohamed Ibrahim, na jina lake maarufu ni Xouh, wengi walimfahamu kupi...
25
Ukitaka kunukia kama Beyonce uturi laki nne
Baada ya kutoa taarifa katika ziara yake ya Renaissance kuhusiana na uzinduzi wa Perfume yake, hatimaye mfanyabiashara na mwanamuziki Beyonce amezindua manukato hayo ambayo ya...
25
Jason akanusha kuvunjika kwa ndoa yake siku ya harusi
Jason Alexander, mume wa zamani wa mwimbaji kutoka #Marekani, #BritneySpears akana madai ya kulewa siku ya harusi yao, badala yake, amesisitiza kuwa siku hiyo alikuwa amechoka...
25
Zijue nguo ambazo mwanamke mwenye matiti makubwa hatakiwi kuvaa
Hellow!! Once again on Fashion tumekutana tena hapa katika jarida lako pendwa la Mwananchi Scoop ilikupeana updates mbalimbali katika Fashion, nikusihii tu twendelee na weeken...
25
Mudathir na Feitoto kukosa ‘mechi’ tatu
‘Mastaa’ wawili wa ‘klabu’ ya #Yanga na Azam FC inadaiwa kuwa wanatarajia kuingia kwenye faini TSh 500,000 na kufungiwa ‘mechi’ tatu kutoka...
25
Muigizaji Richard afariki kwa saratani
Muigizaji kutoka nchini Marekani, #RichardRoundtree mwenye umri wa miaka 81 amefariki dunia, baada ya kuugua saratani ya kongosho iliyogundulika miezi miwili iliyopita. Kwa mu...
25
Ozil asifia kiwango cha Maguire na Onana
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya Arsenal, Mesut Ozil, amewapa maua yao wachezaji wawili kutoka ‘timu’ ya Manchester United, mlinda mlango Andre Onana, ...
25
Mwizi akamatwa baada ya kujifanya mdoli kwenye duka la nguo
Kijana wa Kipoland mwenye umri wa miaka 22 ambaye hajafahamika jina lake anashikiliwa na polisi baada ya kubainika akijifanya mdoli (mannequin) wa kuwekea nguo dukani, kwa len...
25
Mke wa Justin Beiber hataki kuambiwa mjamzito, Analea mbwa wake kwanza
Mke wa Justin Beiber, Hailey Bieber ambaye ni mwanamitindo achoshwa na maneno ya watu wanaomtuhumu kuwa ni mjamzito na wanaojadili...

Latest Post