20
Penzi la Lupita na Selema lafika ukingoni
Muigizaji kutoka nchini Kenya Lupita Nyong’o ameweka wazi kuwa ameachana na mpenzi wake Selema huku sababu ikiwa ni udanganyifu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Lupita...
20
Mashabiki wamchangia Ally Kamwe million 1
Ni masaa machache tangu ‘bodi’ ya ‘Ligi’ Tanzania kumpiga ‘faini’ ya million 1,  Afisa wa habari wa ‘klabu’ ya Yanga, Ally...
20
Adele afunguka kuacha pombe
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #Adele ameweka wazi kuwa kwasasa ameacha kunywa pombe, baada ya kupata madhara ya kuwa mlevi kupindukia. Kwa mujibu wa CNN News inaeleza ku...
20
Rick Ross ajitolea kumsaidia Kanye West
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #RickRoss amejitolea kutaka kumsaidia Kanye West kuisambaza albumu yake mpya kwa kutumia label yake ‘Maybach Music Group’...
20
Benzema akanusha kuwa gaidi
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Al Ittihad, Karim Benzema amekanusha vikali taarifa zinazosambaa kwamba yeye ni miongoni mwa watu wanaounga mkono magaidi, ikiwa ni  ba...
19
Tori akimbia nyumbani kwake kwa kuhofia usalama wake
Muigizaji kutokea nchini Marekani, #ToriSpelling ameripotiwa kuhama nyumbani kwake Los Angeles baada ya kuvamiwa na jirani yake akiwa na bunduki aina ya AR-15. Tori ambaye ali...
19
Muda wa T.I kuacha muziki umefika
Mwanamziki na muigizaji kutoka nchini Marekani T.I ambaye amekuwa kwenye mziki wa hip-hop kwa zaidi ya miaka 25, amefunguka kustaafu kuimba na kuangalia miradi yake mingine. K...
19
Muigizaji mr Ibu aeleza kukatwa miguu, Aomba msaada
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Nigeria, John Ikechukwu, maarufu kama Mr Ibu ameweka wazi kuwa anapambana na ugonjwa unaotishia maisha yake huku akiwaomba watu kumsaidia pesa ...
19
Mechi ya kesho tishio kwa ‘Kocha’ wa Al Ahly
‘Kocha’ wa Al Ahly, Marcel Kohler ameeleza kuwa kuna ugumu wa ‘mechi’ ya kesho, ikizingatiwa wapinzani wao ‘klabu’ ya #Simba wana ubora na ...
19
Aliyeua mwanafunzi ahukumiwa baada ya kukiri kosa
Ikiwa imepita miaka 18 tangu kifo cha mwanafunzi Natalee Ann Holloway kutokea, hatimaye Joran van der Sloot amekiri kuhusika na mauaji hayo mbele ya mahakama nchini Marekani. ...
19
Mtoto wa MohBad kupimwa DNA, Kujua baba halali
Baada ya kuzuka sintofahamu kuhusu baba halisi wa mtoto wa marehemu Mohbad, wengine wakidai kuwa ni mtoto wa promota Sam Larry, baba mzazi wa Mohbad ametaka mtoto huyo kupimwa...
19
Mashabiki waikosoa tattoo ya Billie
Mashabiki wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Billie Eilish wameikosoa tattoo mpya ya msanii huyo aliyo ichora mgongoni. Tattoo hiyo imezua taharuki kwa mashabiki wake baad...
19
Mo Salah aomba viongozi kuingilia vita ya Palestina na Israel
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #LiverPool #MoSalah ametoa wito kwa viongozi wote duniani akiwataka kukutana pamoja kutoa msaada wa haraka wakati wa mzozo kati ya Israel na...
19
Ratcliffe kununua hisa Man United
Mfanyabiashara kutokea Uingereza Sir Jim Ratcliffe anatarajia kununua asilimia 25 ya hisa katika ‘klabu’ ya Manchester United. Endapo Ratcliffe ‘atasaini&rsq...

Latest Post