15
Manara: Sitaki tena mpira
Aliye kuwa msemaji  wa ‘klabu’ ya #Yanga Haji Sunday Manara amefunguka kuachana na masuala ya mpira na kutouzungumzia kabisa, akidai mpira umejaa uadui. Akizu...
15
Casemiro kufanya vipimo leo
Kiungo wa #ManchesterUnited, #Casemiro anatarajiwa kufanyiwa vipimo  leo baada ya kuumia kifundo cha mguu wakati akicheza katika ‘timu’ yake ya Taifa ya Brazi...
15
Jinsi ya kuzuia unukaji wa miguu, Viatu
Hali ya viatu kutoa harufu mbaya inawezekana iliwahi kukukumba ama bado inakukumba au umewahi kukarahishwa na mtu mwenye tatizo hilo, na kawaida tatizo hilo hufanya mtu kutoji...
15
Sheikh Jassim hana habari tena na Man United
Mchakato wa uuzwaji wa ‘klabu’ ya Mancheste United umeingia doa baada ya mnunuzi kutoka Qatar aliyekuwa mstari wa mbele kwenye kinyang'anyiro cha kuichukua ‘...
15
Baada ya kucheza filamu zaidi ya 160, Michael Caine astaafu kuigiza
Muigizaji mkongwe kutoka nchini  Uingereza Michael Caine ambaye  aliye wahi kuigiza filamu zaidi ya 160 atangaza kustaaf...
14
Mbosso: tungefanya sisi tungeambiwa tumeiga
Msanii wa muziki nchini Mbosso Khan ambaye anatamba na kibao chake cha ‘Sele’, ame-post video ikionesha wanaume wenye asili ya kiarabu wakiimba wimbo unaendana na ...
14
Kizz Daniel akanusha kukamatwa Ivory Coast
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Kizz Daniel akanusha taarifa ya yeye kukamatwa nchini Ivory Coast kwa madai ya kuwa alikataa kutumbuiza kwenye show moja nchini humo, licha y...
14
Jada Smith alichumbiwa na Tupac
Jada Pinkett Smith anaendelea kushika vichwa vya habari kutokana na mahojiano anayofanya akielezea maisha yake na kilichomo kwenye kitabu chake kipya, awamu hii akiwa kwenye m...
14
Chris achukizwa na Jada, amtaka aache kumuongelea
Mchekeshaji kutoka nchini Marekani amechukizwa na kitendo cha aliyekuwa mke wa Will Smith, Jada Smith kuendelea kumtaja kwenye mambo yake huku akimtaka mwanamama huyo kulitoa ...
14
Vazi linalo badilika muundo ndani ya sekunde
‘Kampuni’ ya Software Adobe kutoka nchini Marekani nimewashangaza wengi baada ya kuzindua nguo aina ya gauni ambalo linaweza kukubadilisha muonekano kila utakapo h...
14
FDA imependekeza kupiga marufuku bidhaa za kunyoosha nywele
Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani imependekeza kupiga marufuku bidhaa za kunyoosha nywele kutokana na masuala ya kiafya.Mamlaka hiyi inasema kuwa inapendekeza kupiga ...
14
Atakayetumia VPN bila kibali kukiona cha mtema kuni
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA), imepiga marufuku matumizi ya mtandao binafsi(VPN) isipokuwa kwa kibali maalum.Taarifa ya katazo hilo imetolewa jana Oktoba 13,2023 na Mk...
14
CR7 kuchapwa viboko 99
Nguli wa ‘soka’ kutoka nchini Portugal Cristiano Ronaldo amejikuta katika janga ambalo hakulitegemea baada ya vyombo vya habari nchini Iran kuripoti kuwa mchezaji ...
13
Ange ‘kocha’ bora wa mwezi
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya Tottenham, Ange Postecoglou ameibuka tena kidedea baada ya kuchaguliwa kuwa ‘kocha’ bora wa mwezi Septemba ‘Lig...

Latest Post