19
Hatimaye Dugg amaliza kifungo chake
Rapa kutoka nchini Marekani #42Dugg amemaliza kifungo cha mwaka mmoja na nusu gerezani baada ya kushitakiwa kumiliki bunduki kinyume na sheria na kutojisalimisha kwa polisi. V...
19
Kanye adai anadalili za ugonjwa wa akili
Mwanamuziki na mwanamitindo Kanye West amedai kuwa anadalili za ugonjwa wa akili ambazo zilisababishwa na ajali aliyoipata Oktoba, 2002. Kanye alimtumia rafiki yake wa karibu ...
19
Ajifungia kwa miaka 55 kisa kuogopa wanawake
Mwanaume mmoja kutoka nchini Rwanda aliyefahamika kwa jina la Callitxe Nzamwita mwenye umri wa miaka 71 amejitenga kwa miaka 55 akidai kuwa sababu ni kuogopa wanawake. Inaelez...
19
Julia Fox: Kuwa kwenye mahusiano na Kanye West ni kama kulea mtoto
Muigizaji na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Julia Fox amefunguka kuhusu mahusiano yake ya mwezi mmoja na Kanye West akidai kuwa yalikuwa kama analea watoto wawili kwa wak...
18
Rais wa Barcelona ashitakiwa kwa rushwa
Rais wa ‘klabu’ ya #Barcelona, Joan Laporta ashitakiwa kwa tuhuma za rushwa za kununua waamuzi wa ‘mechi’ kufuatia malipo yaliyofanywa kwenda kwa makam...
18
Wimbo wa Paund and Dollars waingia kwenye tuzo za Grammy
Ikiwa ni mwezi mmoja umepita tangu wimbo wa msanii Diamond, wa Pound & dollars kuachiwa kupitia YouTube channel yake hatimaye, wimbo huo aliomshirikisha mpiga zumari maaru...
18
Wakili ‘feki’ akana mashitaka, Ataka kugombea ubunge
Brian Njagi anayetuhumiwa kufanya majukumu ya uwakili bila kuwa na vigezo vya elimu nchini Kenya amekana mashtaka hayo mahakamani leo Oktoba 18, 2023 huku akitangaza nia ya ku...
18
Harmonize awatolea povu wanaodai anaendeshwa na mapenzi
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize amewatolea uvivu wanaodai kuwa anamawazo ya mapenzi, amesema katika ma-ex wake hakuna wa kumfanya alewe. Konde amefunguka hayo kupitia Instasto...
18
Kocha wa Mtibwa Sugar apewa thank you
Mtibwa Sugar imempa mkono wa kwaheri Kocha Habib Kondo baada ya kusitisha mkataba wake kwa makubadiliano ya pande zote mbiliTaarifa inasema "Tunamshukuru Kocha Habib Kondo ka ...
18
Jinsi ya kupika Egg chops
Kwenye biashara wiki hii kama kawaida yetu nimekusogozea kitafunwa ambacho wengi wetu hukipendelea kunywa na soda ama juice, ukinywa na chai pia siyo mbaya ila havinogi udugu ...
18
Umuhimu wa matamasha ya sanaa kwa wanavyuo
Na Magreth BavumaMambo niaje wanangu ni wiki nyingine tena niwakaribishe kwenye kona yetu pendwa ya wanavyuo “unicorner” chimbo moja tu ambalo wanavyuo tunakutanis...
18
Vita ya Israel na Palestina yamponza Ghazi
‘Klabu’ ya #Mainz ya nchini Ujerumani, imemsimamisha mchezaji wao, Anwar El Ghazi, baada ya ‘kuposti’ katika #Instastory yake akionesha kuunga mkono Pa...
18
Rais Samia kununua kila goli mechi ya simba dhidi ya al ahly
Ikiwa imebaki siku moja kwa ‘klabu’ ya Simba kuingia dimbani kukipiga na Al Ahly katika michuano ya AFL, Rais Samia ameendeleza pale alipoishia ambapo ameweka wazi...
18
Mwandishi wa habari auawa kwa bomu
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Somali TV na muandishi wa habari Abdifatah Moalim Nur "Qeys", amefariki kwa shambulio la bomu alipokuwa kwenye mgahawa wa Blue Sky jijini Mogadishu uli...

Latest Post